Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Seriously?
Like, for real for real?
Sheria inayokazata iko wapi?
Like, for real for real?
Sheria inayokazata iko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasubiria majibu nani kasema?Seriously?
Like, for real for real?
Sheria inayokazata iko wapi?
View attachment 1382070
Kamata hawa watoto tia ndani masaa 24 wanakuika marufuku ya kuvaa nguo za bendera!
View attachment 1382070
Kamata hawa watoto tia ndani masaa 24 wanakuika marufuku ya kuvaa nguo za bendera!
Naomba kuuliza mtoa mada: Kuna taarifa yeyote hivi karibuni kutoka kwa vyombo vya usalama wametoa hii marufuku au wewe ndio umeamua kutukumbushia...
Sio kweli, rais alishalitolea maelezo, vaeni tu hadi chooniWakuu hili suala la serikali kupiga marufuku uvaaji wa nguo ya aina yoyote yenye bendera ya Tanzania mnalichukuliaje, binafsi naona inamnyima Mtanzania kuwa huru na nchi yake kwa kujivunia rangi nzuri za bendera kupitia shati au kacha. Alafu inaleta uzalendo kwa kiwango kikubwa sana.
Nimefuatilia wenzetu Kenya aisee wale jamaa ni wazalendo na wanaipenda sana nchi yao wako huru kuitangaza bendera ya nchi yao kupitia mavazi na baadhi ya mapambo ila kwetu ni marufuku na sheria iko wazi kuwa ukikutwa umenunua vazi lenye bendera ya nchi utatozwa faini au kifungu miaka miwili jela.
Natoa rai kwa Wahusika hili suala litazamwe upya tena liwe discussed bungeni upya, hii sheria ipitiwe upya watu waruhusiwe kuitumia bendera kwa vitu positive na sio vinginevyo.
View attachment 1381980
Kuna katazo lolote hivi karibuni kukazia hiyo sheriaView attachment 1382070
Kamata hawa watoto tia ndani masaa 24 wanakuika marufuku ya kuvaa nguo za bendera!
😂 😂 😂 😂 😂 😂View attachment 1382070
Kamata hawa watoto tia ndani masaa 24 wanakuika marufuku ya kuvaa nguo za bendera!
Sawa bosi wa magogoni, tumekusikiaNasisitiza ni marufuku
Kaa mbali na
- Kacha yenye bendera ya TZ
- Leso au kitambaa chenye bendera ya TZ
- Begi lenye bendera ya TZ
- na nguo za aina zote iwe shati, tshirt, suruali au scarf yenye bendera ya TZ.
Ukikamatwa jela miaka 2.
Weka video ya tamko.Kaa mbali na
- Kacha yenye bendera ya TZ
- Leso au kitambaa chenye bendera ya TZ
- Begi lenye bendera ya TZ
- na nguo za aina zote iwe shati, tshirt, suruali au scarf yenye bendera ya TZ.
Ukikamatwa jela miaka 2.
Sheria IPI?Kaa mbali na
- Kacha yenye bendera ya TZ
- Leso au kitambaa chenye bendera ya TZ
- Begi lenye bendera ya TZ
- na nguo za aina zote iwe shati, tshirt, suruali au scarf yenye bendera ya TZ.
Ukikamatwa jela miaka 2.
Kuna katazo la serikali la hivi karibuni? Hiyo sheria zio ya leo au jana ila wewe ulivyoandika ni kama vile kuna taarifa ya katazo imetolewa leo au jana.Sehemu ya hiyo sheria.
Huyu kakurupuka huko kutoka chooni analeta taarifa zake zisizo na kichwa wala miguu.Weka video ya tamko.
Kuna katazo la serikali la hivi karibuni? Hiyo sheria zio ya leo au jana ila wewe ulivyoandika ni kama vile kuna taarifa ya katazo imetolewa leo au jana.
Haya mambo mengine msiwe mnakurupuka kujiandikia au kuchukua taarifa kutoka uchochoroni huko na kuleta taharuki.