Marufuku: Tabia zifuatazo kwa mwaka 2024

Mm upande wangu kubeti, pamoja na ubishi nimeacha Jana Rasmi
 
Nenda kakope bank alaf wacheleweshee ndo utajua hujui
 
Kuna mtu namdai hela nyingi sana aisee,, nilijisemea moyoni nimemsamehe maana hadi leo ni mwaka wa pili umeingia na hana mpango wa kunipa..Lakini kila nikionana nae naumia na sina chakumfanya kwasababu ni mtu wangu wa karibu sana
Inauma sana, kuna mtu anaitwa Yona Nyingi nilisoma naye chuo, akapata kazi Moshi akiwa Mbeya akawa hana nauri akaomba nimuazime nauri nikampatia na ya kula kabisa. Lakini baada ya kupata akajizima data kabisa, nikimucheki ananiambia nitakupa tu, niliamua kumusamehe ila nikikutana naye Facebook unakuta kaposit maneno ya kiMungu ndo mpaka ananichosha. Mpaka ameshakata urafiki na Mimi. Yani watu wa hivyo wananikera sana. Ila kanifunza na amewaponza waliokuwa wakihitaji msaada kwangu make kuanzia hapo simuamini mtu.
 
Pole Sana aisee
 
Nenda kakope bank alaf wacheleweshee ndo utajua hujui
Hata benki kuna Loan rescheduling kama mkikaa chini mkaongea. Kitakachoongezeka ni riba ila kunakuwa na unafuu wa kulipa. Tatizo watu wengi huwa wanakopa bila kuwa na nia ya kurejesha. Na wale wapuuzi zaidi huwa hawasomi hata kilichoandikwa kwenye loan agreement akija kushtuka ndo baadhi huleta uzi wa kulalamika anaonewa.
 
Nauri = nauli.. wewe nae acha kuendekeza ufukara. Nauli nacho si kitu cha kumsaidia tu mtu?
 
Uraibu wa Mikopo ya Mitandaoni Nusura initoe roho. Mwaka huu wanisahau.
 
Wanawake wapunguze
1. kujitongozesha kwa wanaume.
2. Kuvaa nusu uchi
3. Kuwa na tamaa
4. Kuwasema vibaya waume zao kwa watoto wao.
5. Ushirikina
6. Ngono zembe. Watumie condom.
7. Kuzurura ovyo usiku. Watulie nyumbani.
8. Kujichubua
9. Kuchati na simu wanapokuwa kwenye boda boda.
10. kusema uwongo.
11. Kula nauli wanazotumiwa na mabwana zao.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…