Marufuku: Tabia zifuatazo kwa mwaka 2024

Marufuku: Tabia zifuatazo kwa mwaka 2024

Kuna mtu namdai hela nyingi sana aisee,, nilijisemea moyoni nimemsamehe maana hadi leo ni mwaka wa pili umeingia na hana mpango wa kunipa..Lakini kila nikionana nae naumia na sina chakumfanya kwasababu ni mtu wangu wa karibu sana
Hii tunashare maumivu nina ndugu wa karibu aliomba kiasi kikubwa kwa mambo yake ya ujenzi kwa ahadi analipa baada ya siku nne ila mpaka sasa ni mwezi na nusu sijaona hiyo hela .

Nikipiga kumkumbusha hakuwi kusema hana [emoji848] yeye anasema ngoja nikitoka Kwa wakala nakutumia baada ya hapo simu zangu huwa hazipokelewi mpaka siku nyingine ni mtu na mheshimu afterall anajua jinsi nisivyopenda kumdharau .

Nimeamua kusamehe 2024 nimeanza upya nitajitafuta kwa upande mwngine nirudishe hiyo hasara .

Ila upande wa microfinance ya ukopeshaji wazinguzi ni wengi ila kuna mwamba hapa jamvini kanipa namba ya mtaalamu ni mwendo wa kuwajaza matumbo na mharo usioisha na huku nawapigia aisee leteni hela niwaponye[emoji3]

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Kwa mamlaka niliyojipa ninapiga marufuku tabia zifuatazo kwa mwaka 2024;
1. Kufungua threads za kuwasimanga single mothers.

2. Kukopa ovyo bila mpangilio na mwisho wa siku kujikuta kwenye matatizo yasiyo ya lazima. Waalimu wengi mzingatie sana hili.

3. Wanawake kuwapa kipaumbele viongozi wenu wa kiroho kuliko waume zenu. Huu upumbavu sitaki kuuona wala kusikia kwa 2024. Kama una baba wa kiroho acha mara moja.

4. Kwenda kula vinono migahawani huku nyumbani kwako wakishindia dagaa. Wanao na mke pia wanapenda zile chapati mbili na supu ya mbuzi. Hakikisha na wao wanakula unachokula wewe. Pumbav sana.

5. Kuishi kistaa mijini huku kijijini kwenu wazazi wakiwa wanaishi kifukara kwenye mbavu za mbwa. Unajisikiaje kuishi pazuri ukisukuma ndinga kali town huku familia yako ikiishi kifukara? Huu upumbavu mwishi ilikuwa 2023.

6. Kuendekeza mambo yasiyokuongezea thamani kwa mwaka mzima kama vile kufuatilia sana mechi za mpira. Fuatilia mambo ya burudani ila jiongezee thamani. Kama mhasibu huna CPA fanya uitafute mwaka huu. Wale wa IT kuna zile professional certifications pambaneni mzipate.

7. Wale mnaouza utu na kutojali maadili kisa pesa muache mara moja. Kibaya zaidi akijitokeza mtu kukemea na kukosoa upuuzi mnadhihaki kwa kumwambia "Acha makasiriko tafuta hela"... acheni kuabudu pesa kwa mwaka 2024.

Ongeza tabia nyingine unayoona haifai kuwepo kwa mwaka huu.
Kata washa kata washa....
 
Kwa mamlaka niliyojipa ninapiga marufuku tabia zifuatazo kwa mwaka 2024;
1. Kufungua threads za kuwasimanga single mothers.

2. Kukopa ovyo bila mpangilio na mwisho wa siku kujikuta kwenye matatizo yasiyo ya lazima. Waalimu wengi mzingatie sana hili.

3. Wanawake kuwapa kipaumbele viongozi wenu wa kiroho kuliko waume zenu. Huu upumbavu sitaki kuuona wala kusikia kwa 2024. Kama una baba wa kiroho acha mara moja.

4. Kwenda kula vinono migahawani huku nyumbani kwako wakishindia dagaa. Wanao na mke pia wanapenda zile chapati mbili na supu ya mbuzi. Hakikisha na wao wanakula unachokula wewe. Pumbav sana.

5. Kuishi kistaa mijini huku kijijini kwenu wazazi wakiwa wanaishi kifukara kwenye mbavu za mbwa. Unajisikiaje kuishi pazuri ukisukuma ndinga kali town huku familia yako ikiishi kifukara? Huu upumbavu mwishi ilikuwa 2023.

6. Kuendekeza mambo yasiyokuongezea thamani kwa mwaka mzima kama vile kufuatilia sana mechi za mpira. Fuatilia mambo ya burudani ila jiongezee thamani. Kama mhasibu huna CPA fanya uitafute mwaka huu. Wale wa IT kuna zile professional certifications pambaneni mzipate.

7. Wale mnaouza utu na kutojali maadili kisa pesa muache mara moja. Kibaya zaidi akijitokeza mtu kukemea na kukosoa upuuzi mnadhihaki kwa kumwambia "Acha makasiriko tafuta hela"... acheni kuabudu pesa kwa mwaka 2024.

Ongeza tabia nyingine unayoona haifai kuwepo kwa mwaka huu.
Kutuchangisha miela kibao kwa ajili ya harusi alafu baada ya fungate mnaachana.
 
Kwa mamlaka niliyojipa ninapiga marufuku tabia zifuatazo kwa mwaka 2024;
1. Kufungua threads za kuwasimanga single mothers.

2. Kukopa ovyo bila mpangilio na mwisho wa siku kujikuta kwenye matatizo yasiyo ya lazima. Waalimu wengi mzingatie sana hili.

3. Wanawake kuwapa kipaumbele viongozi wenu wa kiroho kuliko waume zenu. Huu upumbavu sitaki kuuona wala kusikia kwa 2024. Kama una baba wa kiroho acha mara moja.

4. Kwenda kula vinono migahawani huku nyumbani kwako wakishindia dagaa. Wanao na mke pia wanapenda zile chapati mbili na supu ya mbuzi. Hakikisha na wao wanakula unachokula wewe. Pumbav sana.

5. Kuishi kistaa mijini huku kijijini kwenu wazazi wakiwa wanaishi kifukara kwenye mbavu za mbwa. Unajisikiaje kuishi pazuri ukisukuma ndinga kali town huku familia yako ikiishi kifukara? Huu upumbavu mwishi ilikuwa 2023.

6. Kuendekeza mambo yasiyokuongezea thamani kwa mwaka mzima kama vile kufuatilia sana mechi za mpira. Fuatilia mambo ya burudani ila jiongezee thamani. Kama mhasibu huna CPA fanya uitafute mwaka huu. Wale wa IT kuna zile professional certifications pambaneni mzipate.

7. Wale mnaouza utu na kutojali maadili kisa pesa muache mara moja. Kibaya zaidi akijitokeza mtu kukemea na kukosoa upuuzi mnadhihaki kwa kumwambia "Acha makasiriko tafuta hela"... acheni kuabudu pesa kwa mwaka 2024.

Ongeza tabia nyingine unayoona haifai kuwepo kwa mwaka huu.
Kutoroka na masanduku ya kura.
 
Kwa mamlaka niliyojipa ninapiga marufuku tabia zifuatazo kwa mwaka 2024;
1. Kufungua threads za kuwasimanga single mothers.

2. Kukopa ovyo bila mpangilio na mwisho wa siku kujikuta kwenye matatizo yasiyo ya lazima. Waalimu wengi mzingatie sana hili.

3. Wanawake kuwapa kipaumbele viongozi wenu wa kiroho kuliko waume zenu. Huu upumbavu sitaki kuuona wala kusikia kwa 2024. Kama una baba wa kiroho acha mara moja.

4. Kwenda kula vinono migahawani huku nyumbani kwako wakishindia dagaa. Wanao na mke pia wanapenda zile chapati mbili na supu ya mbuzi. Hakikisha na wao wanakula unachokula wewe. Pumbav sana.

5. Kuishi kistaa mijini huku kijijini kwenu wazazi wakiwa wanaishi kifukara kwenye mbavu za mbwa. Unajisikiaje kuishi pazuri ukisukuma ndinga kali town huku familia yako ikiishi kifukara? Huu upumbavu mwishi ilikuwa 2023.

6. Kuendekeza mambo yasiyokuongezea thamani kwa mwaka mzima kama vile kufuatilia sana mechi za mpira. Fuatilia mambo ya burudani ila jiongezee thamani. Kama mhasibu huna CPA fanya uitafute mwaka huu. Wale wa IT kuna zile professional certifications pambaneni mzipate.

7. Wale mnaouza utu na kutojali maadili kisa pesa muache mara moja. Kibaya zaidi akijitokeza mtu kukemea na kukosoa upuuzi mnadhihaki kwa kumwambia "Acha makasiriko tafuta hela"... acheni kuabudu pesa kwa mwaka 2024.

Ongeza tabia nyingine unayoona haifai kuwepo kwa mwaka huu.
Tume ya uchaguzi ya 2023.
 
Kwa mamlaka niliyojipa ninapiga marufuku tabia zifuatazo kwa mwaka 2024;
1. Kufungua threads za kuwasimanga single mothers.

2. Kukopa ovyo bila mpangilio na mwisho wa siku kujikuta kwenye matatizo yasiyo ya lazima. Waalimu wengi mzingatie sana hili.

3. Wanawake kuwapa kipaumbele viongozi wenu wa kiroho kuliko waume zenu. Huu upumbavu sitaki kuuona wala kusikia kwa 2024. Kama una baba wa kiroho acha mara moja.

4. Kwenda kula vinono migahawani huku nyumbani kwako wakishindia dagaa. Wanao na mke pia wanapenda zile chapati mbili na supu ya mbuzi. Hakikisha na wao wanakula unachokula wewe. Pumbav sana.

5. Kuishi kistaa mijini huku kijijini kwenu wazazi wakiwa wanaishi kifukara kwenye mbavu za mbwa. Unajisikiaje kuishi pazuri ukisukuma ndinga kali town huku familia yako ikiishi kifukara? Huu upumbavu mwishi ilikuwa 2023.

6. Kuendekeza mambo yasiyokuongezea thamani kwa mwaka mzima kama vile kufuatilia sana mechi za mpira. Fuatilia mambo ya burudani ila jiongezee thamani. Kama mhasibu huna CPA fanya uitafute mwaka huu. Wale wa IT kuna zile professional certifications pambaneni mzipate.

7. Wale mnaouza utu na kutojali maadili kisa pesa muache mara moja. Kibaya zaidi akijitokeza mtu kukemea na kukosoa upuuzi mnadhihaki kwa kumwambia "Acha makasiriko tafuta hela"... acheni kuabudu pesa kwa mwaka 2024.

Ongeza tabia nyingine unayoona haifai kuwepo kwa mwaka huu.
Madai ya Katiba mpya.
 
Kwa mamlaka niliyojipa ninapiga marufuku tabia zifuatazo kwa mwaka 2024;
1. Kufungua threads za kuwasimanga single mothers.

2. Kukopa ovyo bila mpangilio na mwisho wa siku kujikuta kwenye matatizo yasiyo ya lazima. Waalimu wengi mzingatie sana hili.

3. Wanawake kuwapa kipaumbele viongozi wenu wa kiroho kuliko waume zenu. Huu upumbavu sitaki kuuona wala kusikia kwa 2024. Kama una baba wa kiroho acha mara moja.

4. Kwenda kula vinono migahawani huku nyumbani kwako wakishindia dagaa. Wanao na mke pia wanapenda zile chapati mbili na supu ya mbuzi. Hakikisha na wao wanakula unachokula wewe. Pumbav sana.

5. Kuishi kistaa mijini huku kijijini kwenu wazazi wakiwa wanaishi kifukara kwenye mbavu za mbwa. Unajisikiaje kuishi pazuri ukisukuma ndinga kali town huku familia yako ikiishi kifukara? Huu upumbavu mwishi ilikuwa 2023.

6. Kuendekeza mambo yasiyokuongezea thamani kwa mwaka mzima kama vile kufuatilia sana mechi za mpira. Fuatilia mambo ya burudani ila jiongezee thamani. Kama mhasibu huna CPA fanya uitafute mwaka huu. Wale wa IT kuna zile professional certifications pambaneni mzipate.

7. Wale mnaouza utu na kutojali maadili kisa pesa muache mara moja. Kibaya zaidi akijitokeza mtu kukemea na kukosoa upuuzi mnadhihaki kwa kumwambia "Acha makasiriko tafuta hela"... acheni kuabudu pesa kwa mwaka 2024.

Ongeza tabia nyingine unayoona haifai kuwepo kwa mwaka huu.
Mgombea huyo huyo miaka nenda miaka rudi.
 
Kwa mamlaka niliyojipa ninapiga marufuku tabia zifuatazo kwa mwaka 2024;
1. Kufungua threads za kuwasimanga single mothers.

2. Kukopa ovyo bila mpangilio na mwisho wa siku kujikuta kwenye matatizo yasiyo ya lazima. Waalimu wengi mzingatie sana hili.

3. Wanawake kuwapa kipaumbele viongozi wenu wa kiroho kuliko waume zenu. Huu upumbavu sitaki kuuona wala kusikia kwa 2024. Kama una baba wa kiroho acha mara moja.

4. Kwenda kula vinono migahawani huku nyumbani kwako wakishindia dagaa. Wanao na mke pia wanapenda zile chapati mbili na supu ya mbuzi. Hakikisha na wao wanakula unachokula wewe. Pumbav sana.

5. Kuishi kistaa mijini huku kijijini kwenu wazazi wakiwa wanaishi kifukara kwenye mbavu za mbwa. Unajisikiaje kuishi pazuri ukisukuma ndinga kali town huku familia yako ikiishi kifukara? Huu upumbavu mwishi ilikuwa 2023.

6. Kuendekeza mambo yasiyokuongezea thamani kwa mwaka mzima kama vile kufuatilia sana mechi za mpira. Fuatilia mambo ya burudani ila jiongezee thamani. Kama mhasibu huna CPA fanya uitafute mwaka huu. Wale wa IT kuna zile professional certifications pambaneni mzipate.

7. Wale mnaouza utu na kutojali maadili kisa pesa muache mara moja. Kibaya zaidi akijitokeza mtu kukemea na kukosoa upuuzi mnadhihaki kwa kumwambia "Acha makasiriko tafuta hela"... acheni kuabudu pesa kwa mwaka 2024.

Ongeza tabia nyingine unayoona haifai kuwepo kwa mwaka huu.
Kuzuia mwili mochuari.
 
Back
Top Bottom