...Mbona unafanya ya Muwamba Ngoma Huvutia kwake??
Sema tu kweli utaeleweka.
Daladala za kawaida zote tunazojua za route ya Mbezi - Mbagala zote ni seat 30. Na sio wote wanaoanzia mbezi wanakwenda Mbagala.
Humu njiani kuna kushuku na kupanda kibao.
Seat moja inapofika Mbagala inakuwa imekaliwa hata na watu watatu!
WKati mwingine Serikali inapaswa kuwa kichwa maji tu na Kusema amri ni hii, anayetaka aendelee kufanya kazi kwa amri hii na asiyetaka akaweke gari lake Uwani afugie kuku!
Hawa hawa wanaotingisha kiberiti wataingia wenyewe barabarani!!
Sent using
Jamii Forums mobile app