Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Kwani kila mtu mwanafunzi huku?Unaenda mjini kufanya Nini?
Vyuo vimefungwa,shule zimefungwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kila mtu mwanafunzi huku?Unaenda mjini kufanya Nini?
Vyuo vimefungwa,shule zimefungwa.
Watu msiopanda daladala mnaonaga rahisi sana, gari ya kutoka tegeta to kkoo abiria wa kwanza kushuka ni moroco utapakia abiria gani tena kuanzia hapo?Kwahiyo unaona serikali hawajui ni kiasi gani unapata au hasara? Watu wanaingia na kushuka mpaka gari linafika kituo cha mwisho sit ilishakaliwa Mara nne.hutaki acha wanaoweza watafanya.
Kwa utaratibu huu itakuwa vigumu sana. Biashara ya dalal dala ni ngumu sana. Mfano hapo Mwanza dalala kwa kawaida inatoza Tshs.400 kwa tripu na nyingi zina viti vya abiria 15 kwahiyo kama ni level seat itachukua abiria 15 @ 400 = 6000 na kwa siku inaenda safari 20 yaani kwenda safari 10 na kurudi safari 10 na hivyo Tshs.6000x20 Tshs.120,000. Mafuta kwa siku ni kama lita 30x2260 = Tshs.67,800, Hela ya Tajiri kila siku Tshs.50,000. Hela ya wale wajamaa Tshs.5,000, Hela ya dereva na tingo Tshs.20,000, Mafuta kwa siku inayofuata Tshs.67,800. Hvyo gharama yote kwa siku ni Tshs.210,000. Mapato kwa siku ni Tshs.120,000 - 210,000 (-90,600) ambayo ni hasara. Kwa utaratibu huu itabidi Serikali ikae chini na Wadau wote wanaohusika na usafiri ili muafaka upatikane.
Kwa namna Gonjwa lilivyozito na linavyotisha potelea pwete, Dar es salaam ni eneo dogo sana. Bora wagome tu nayo itakuwa njia ya kupambana na Corona. Kwa Mtazamo wangu huyo Mwanaharakati wa Madereva ataanza kutekeleza sheria mara tu baada ya Mwenyewe au Mke wake au Mtoto wake kupata Corona-Covid 19Wakuu,
Serikali imepiga marufuku daladala kusimamisha na kujaza abiria, taratibu ambao haukuzoeleka sana haswa kwa jiji la Dar.
Mimi nikiwa mmoja wa wamiliki wa daladala hizi naishauri Serikali mambo machache haswa katika kipindi hiki cha mpito kwakuwa Serikali imesema daladala itakayosimamisha abiria itapigwa faini laki Tisa au gerezani miaka miwili ifanye hivi ili kubalance situation.
Mfano daladala ikitoka mbezi hadi Temeke umbali wa kilomita 37 Kila abiria analipa 600 na daladala moja inasiti za abiria 26 hadi 22 akifika temeke anakuwa anapata 15600tsh hadi 13200tsh ambapo kwa umbali huo gari inaweza kutumia lita 5 ambapo ambapo ni sawa na tsh 11000.
Sasa Kama gari hadi inafika Temeke imekusanya 15600 za nauli ukitoa mafuta 11000tsh inamaana daladala hi itabakiwa na 4600.
Sasa kwa namna hii je huyo dereva atapataje hesabu na posho yake ya kila siku, bado kuna zile pesa za kupigia kiwi za jamaa zetu wale aliosema mkuu ambapo kwa siku nzima huenda zikafika 10000 tena hizi huwa hazinaga ubishi lazima utatoa tu.
Ushauri wangu, Serikali ipunguze bei za mafuta kwa daladala zote ikiwezekana iwe na vituo vyake vya mafuta na maduka yake maalumu ya vipuri pia Serikali itafute muda ikae na wadau husika lakini sio kufanya maamuzi bila kushirikiana na wadau watakaoteseka ni wananchi wakawaida wanategemea magari haya.
Wengine hupewa gari ina lita10 tu ndio kianzio, ndio maana unakuta gari inaingia sheli inajaza ya 5000 au 10000 ili ikipaki ibaki na mafuta kidogo ya kuanzia,Mzee umechambua vema sana hizo gharama za uendeshaji daladala ‘Mwanza’ kwa siku, ila sielewi kitu kimoja hebu nifumbue macho:
Ninavyojua mimi [ninavyosikia], dereva anakabidhiwa gari ikiwa na mafuta ‘full tank’ anaanza kazi.... anachotakiwa ni kuhakikisha akirudi kupark gari iwe full mafuta kama alivyokabidhiwa.
Sasa hapo umepiga hesabu ya mafuta mara mbili, kwa maana mafuta ya siku na mafuta ya kesho.... hili likoje..?
Na ni kweli kila siku tunaona daladala zikiingia ‘sheli’ kujaza mafuta kila wakati, sasa lile full tank walilolaza jana linaishia wapi.? kama umenielewa nipe shule hapo.
Ushauri wangu, paki daladala lako, jikinge na Corona na uepuke kusambaza kwa wengine. Ukiamua kuingia barabarani, fuata maelekezo ya Serikali dhidi ya uambukizaji wa Corona! Ukakaidi, ushughulikiwe!Wakuu,
Serikali imepiga marufuku daladala kusimamisha na kujaza abiria, taratibu ambao haukuzoeleka sana haswa kwa jiji la Dar.
Mimi nikiwa mmoja wa wamiliki wa daladala hizi naishauri Serikali mambo machache haswa katika kipindi hiki cha mpito kwakuwa Serikali imesema daladala itakayosimamisha abiria itapigwa faini laki Tisa au gerezani miaka miwili ifanye hivi ili kubalance situation.
Mfano daladala ikitoka mbezi hadi Temeke umbali wa kilomita 37 Kila abiria analipa 600 na daladala moja inasiti za abiria 26 hadi 22 akifika temeke anakuwa anapata 15600tsh hadi 13200tsh ambapo kwa umbali huo gari inaweza kutumia lita 5 ambapo ambapo ni sawa na tsh 11000.
Sasa Kama gari hadi inafika Temeke imekusanya 15600 za nauli ukitoa mafuta 11000tsh inamaana daladala hi itabakiwa na 4600.
Sasa kwa namna hii je huyo dereva atapataje hesabu na posho yake ya kila siku, bado kuna zile pesa za kupigia kiwi za jamaa zetu wale aliosema mkuu ambapo kwa siku nzima huenda zikafika 10000 tena hizi huwa hazinaga ubishi lazima utatoa tu.
Ushauri wangu, Serikali ipunguze bei za mafuta kwa daladala zote ikiwezekana iwe na vituo vyake vya mafuta na maduka yake maalumu ya vipuri pia Serikali itafute muda ikae na wadau husika lakini sio kufanya maamuzi bila kushirikiana na wadau watakaoteseka ni wananchi wakawaida wanategemea magari haya.
Ulimwambia nani?Nilisema mapema kabisa, Yatokanayo na huu Ugonjwa ndiyo yatatuumiza zaidi.
Wengine hupewa gari ina lita10 tu ndio kianzio, ndio maana unakuta gari inaingia sheli inajaza ya 5000 au 10000 ili ikipaki ibaki na mafuta kidogo ya kuanzia,
Pamoja na kupigia mafuta mara 2 hata ukitoa hiyo moja bado ni hasara tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kidongochekundu na KibandamaitiSerikali inachimba mafuta yake kutoka eneo gani?