Tetesi: Marufuku ya kuzidisha abiria ili kupambana na Corona, Daladala zimeanza kugoma Dar es Salaam

Tetesi: Marufuku ya kuzidisha abiria ili kupambana na Corona, Daladala zimeanza kugoma Dar es Salaam

hapo kwenye nauli umedanganya nauli ya kutoka mbezi hadi temeke ni sh 750
 
Labda serikali iongeze mabasi, kusolve hilo tatzo maana yaliyopo hayatoshi.. Wanaotumia usafiri wa umma ni wengi sana. Mfano mzuri tu angalia mabasi ya g/mboto na mbagala mida ya jion yanavyojaza af uwaambie watu wakae level seat si wengine watajikuta wapo kituoni had usiku wa manane.
Well! nimekuelewa Lenie , so mabasi yakiwa mengi watu watakaa level seat then wamiliki wa mabasi ambao ni wafanyabiashara watalalamika kuwa hawapati faida kama mleta uzi anavyoclaim.

Hilo swala la kujazana kwenye daladala linawafaidisha sana madereva na ni jambo ambalo wanatamani liendelee kuwepo karne na karne.
 
Wakuu,

Serikali imepiga marufuku daladala kusimamisha na kujaza abiria, taratibu ambao haukuzoeleka sana haswa kwa jiji la Dar.

Mimi nikiwa mmoja wa wamiliki wa daladala hizi naishauri Serikali mambo machache haswa katika kipindi hiki cha mpito kwakuwa Serikali imesema daladala itakayosimamisha abiria itapigwa faini laki Tisa au gerezani miaka miwili ifanye hivi ili kubalance situation.

Mfano daladala ikitoka mbezi hadi Temeke umbali wa kilomita 37 Kila abiria analipa 600 na daladala moja inasiti za abiria 26 hadi 22 akifika temeke anakuwa anapata 15600tsh hadi 13200tsh ambapo kwa umbali huo gari inaweza kutumia lita 5 ambapo ambapo ni sawa na tsh 11000.

Sasa Kama gari hadi inafika Temeke imekusanya 15600 za nauli ukitoa mafuta 11000tsh inamaana daladala hi itabakiwa na 4600.

Sasa kwa namna hii je huyo dereva atapataje hesabu na posho yake ya kila siku, bado kuna zile pesa za kupigia kiwi za jamaa zetu wale aliosema mkuu ambapo kwa siku nzima huenda zikafika 10000 tena hizi huwa hazinaga ubishi lazima utatoa tu.

Ushauri wangu, Serikali ipunguze bei za mafuta kwa daladala zote ikiwezekana iwe na vituo vyake vya mafuta na maduka yake maalumu ya vipuri pia Serikali itafute muda ikae na wadau husika lakini sio kufanya maamuzi bila kushirikiana na wadau watakaoteseka ni wananchi wakawaida wanategemea magari haya.
Mbona level seat ipo siku zote Zanzibar?
 
Sisi wenye private car itakuwa fursa kwetu maana kila siku asubuh na jioni napakia abiria kutoka Chamazi - Kariakoo Kwa tsh 2000/= .
Huo mgomo wa daladala ukianza Tu tutapakia Kwa tsh 3000 kama hutaki tembea kwa miguu
 
Faida za level seats

1. Kuwahi kufika unalokwenda sababu inamfanya mtoa huduma kukuwaisha kufika ili achukue wengine.

2. Kuwa na vyombo vya usafiri vya uhakika Mana gari bovubovu na lililochakaa haliwezekan kuwah zile nenda Rudi hvyo litajitoa lenyewe kwenye kutoa huduma

3. Kulifanya jiji kuwa Safi na lenye uhakika wa Safari

4. Kufanya wamiliki waboreshe huduma Kama cards au vocha za Safari au discounts kwenye maduka au huduma flan Kama utalipa ya muda mrefu

5. Kupunguza mateja barabarani na kwenye vituo vya kupakia abiria.

6. Kuwafanya watanzania wajue kuplan kuhusu Safari na maisha kwa ujumla
 
Mkuu sio lazima iwe mbezi--- temeke,

mimi naenda g.lamboto---ubungo,
Kituo cha kwanza kuanza kushusha ni buguruni. Ukitoka hapo ni stand ya mkoa!

Natumia mafuta ya tsh. 13,000. ( Kwenda tu)

Level seat ni abiria 42 nauli ni 500. Napata 21,000 tu.

Labda kwa bahati baada ya kushuka watu, wapande wengine 10(ni wengi sana!)
Nitakuwa na jumla ya tsh. 26,000×10 (trip ninazoenda kwa siku. Nikikomaa sana naenda 12. Ambazo ni =312,000.

Pia kuna mida ya mchana abiria sio wengi.

Matumizi kwa wafanyakazi 3 kwa siku tsh. 20,000.
Kubrash viatu 10,000.
Mafuta 130,000.
Hesabu ya gari 140,000.
Kulaza gari na kuliosha 7,000.
Jumla ni 307,000.

312,000 kutoa 307,000!?

Kama serekali inawajali wanyonge wanaotumia usafiri wa uma, ingeangalia namna nzuri ya kufidia hasara inayotokea ili wanyonge waendelee kupata huduma ya usafiri.

Vinginevyo daladala zitashindwa kujiendesha na zote zitapaki"

Sent using Redmi Y2
 
Kuhusu kuwai kufika, ulivoeleza sio kweli"
Trip za daladala hapa mjini kila njia ina idadi ya trip ambazo huwezi zidisha!

Foleni ndo inaballance trip za daladala.
Kimfano g.lamboto mawasiliano ni 5 kwa 10 au 6 kwa 12. Na huwezi zidisha" ( hii ni kwa eitcher na tata)

Rout nyingi wastani ni huo kwa gari kubwa.
Rout chache wanaenda 7. Na rout nyingine mwisho ni 5 tu! Mfano ni mbagala--kawe, chanika-- makumbusho nk.
Faida za level seats

1. Kuwahi kufika unalokwenda sababu inamfanya mtoa huduma kukuwaisha kufika ili achukue wengine.

2. Kuwa na vyombo vya usafiri vya uhakika Mana gari bovubovu na lililochakaa haliwezekan kuwah zile nenda Rudi hvyo litajitoa lenyewe kwenye kutoa huduma

3. Kulifanya jiji kuwa Safi na lenye uhakika wa Safari

4. Kufanya wamiliki waboreshe huduma Kama cards au vocha za Safari au discounts kwenye maduka au huduma flan Kama utalipa ya muda mrefu

5. Kupunguza mateja barabarani na kwenye vituo vya kupakia abiria.

6. Kuwafanya watanzania wajue kuplan kuhusu Safari na maisha kwa ujumla

Sent using Redmi Y2
 
Wakuu,

Serikali imepiga marufuku daladala kusimamisha na kujaza abiria, taratibu ambao haukuzoeleka sana haswa kwa jiji la Dar.

Mimi nikiwa mmoja wa wamiliki wa daladala hizi naishauri Serikali mambo machache haswa katika kipindi hiki cha mpito kwakuwa Serikali imesema daladala itakayosimamisha abiria itapigwa faini laki Tisa au gerezani miaka miwili ifanye hivi ili kubalance situation.

Mfano daladala ikitoka mbezi hadi Temeke umbali wa kilomita 37 Kila abiria analipa 600 na daladala moja inasiti za abiria 26 hadi 22 akifika temeke anakuwa anapata 15600tsh hadi 13200tsh ambapo kwa umbali huo gari inaweza kutumia lita 5 ambapo ambapo ni sawa na tsh 11000.

Sasa Kama gari hadi inafika Temeke imekusanya 15600 za nauli ukitoa mafuta 11000tsh inamaana daladala hi itabakiwa na 4600.

Sasa kwa namna hii je huyo dereva atapataje hesabu na posho yake ya kila siku, bado kuna zile pesa za kupigia kiwi za jamaa zetu wale aliosema mkuu ambapo kwa siku nzima huenda zikafika 10000 tena hizi huwa hazinaga ubishi lazima utatoa tu.

Ushauri wangu, Serikali ipunguze bei za mafuta kwa daladala zote ikiwezekana iwe na vituo vyake vya mafuta na maduka yake maalumu ya vipuri pia Serikali itafute muda ikae na wadau husika lakini sio kufanya maamuzi bila kushirikiana na wadau watakaoteseka ni wananchi wakawaida wanategemea magari haya.

Itoshe kusema tunapita kwenye kipindi kigumu sana kwa kweli.Moja haikai wala mbili haikai.
 
Wakuu,

Serikali imepiga marufuku daladala kusimamisha na kujaza abiria, taratibu ambao haukuzoeleka sana haswa kwa jiji la Dar.

Mimi nikiwa mmoja wa wamiliki wa daladala hizi naishauri Serikali mambo machache haswa katika kipindi hiki cha mpito kwakuwa Serikali imesema daladala itakayosimamisha abiria itapigwa faini laki Tisa au gerezani miaka miwili ifanye hivi ili kubalance situation.

Mfano daladala ikitoka mbezi hadi Temeke umbali wa kilomita 37 Kila abiria analipa 600 na daladala moja inasiti za abiria 26 hadi 22 akifika temeke anakuwa anapata 15600tsh hadi 13200tsh ambapo kwa umbali huo gari inaweza kutumia lita 5 ambapo ambapo ni sawa na tsh 11000.

Sasa Kama gari hadi inafika Temeke imekusanya 15600 za nauli ukitoa mafuta 11000tsh inamaana daladala hi itabakiwa na 4600.

Sasa kwa namna hii je huyo dereva atapataje hesabu na posho yake ya kila siku, bado kuna zile pesa za kupigia kiwi za jamaa zetu wale aliosema mkuu ambapo kwa siku nzima huenda zikafika 10000 tena hizi huwa hazinaga ubishi lazima utatoa tu.

Ushauri wangu, Serikali ipunguze bei za mafuta kwa daladala zote ikiwezekana iwe na vituo vyake vya mafuta na maduka yake maalumu ya vipuri pia Serikali itafute muda ikae na wadau husika lakini sio kufanya maamuzi bila kushirikiana na wadau watakaoteseka ni wananchi wakawaida wanategemea magari haya.
Kwa hiyo unataka watu waambukizani corona tu kwa faida yako? Mbona biashara zingine pia zimeathirika unafikiri ni wewe tu? Yaani hujari maisha ya wengine kabisa!
 
Naunga mkono hoja
Wakuu,

Serikali imepiga marufuku daladala kusimamisha na kujaza abiria, taratibu ambao haukuzoeleka sana haswa kwa jiji la Dar.

Mimi nikiwa mmoja wa wamiliki wa daladala hizi naishauri Serikali mambo machache haswa katika kipindi hiki cha mpito kwakuwa Serikali imesema daladala itakayosimamisha abiria itapigwa faini laki Tisa au gerezani miaka miwili ifanye hivi ili kubalance situation.

Mfano daladala ikitoka mbezi hadi Temeke umbali wa kilomita 37 Kila abiria analipa 600 na daladala moja inasiti za abiria 26 hadi 22 akifika temeke anakuwa anapata 15600tsh hadi 13200tsh ambapo kwa umbali huo gari inaweza kutumia lita 5 ambapo ambapo ni sawa na tsh 11000.

Sasa Kama gari hadi inafika Temeke imekusanya 15600 za nauli ukitoa mafuta 11000tsh inamaana daladala hi itabakiwa na 4600.

Sasa kwa namna hii je huyo dereva atapataje hesabu na posho yake ya kila siku, bado kuna zile pesa za kupigia kiwi za jamaa zetu wale aliosema mkuu ambapo kwa siku nzima huenda zikafika 10000 tena hizi huwa hazinaga ubishi lazima utatoa tu.

Ushauri wangu, Serikali ipunguze bei za mafuta kwa daladala zote ikiwezekana iwe na vituo vyake vya mafuta na maduka yake maalumu ya vipuri pia Serikali itafute muda ikae na wadau husika lakini sio kufanya maamuzi bila kushirikiana na wadau watakaoteseka ni wananchi wakawaida wanategemea magari haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu kuwai kufika, ulivoeleza sio kweli"
Trip za daladala hapa mjini kila njia ina idadi ya trip ambazo huwezi zidisha!

Foleni ndo inaballance trip za daladala.
Kimfano g.lamboto mawasiliano ni 5 kwa 10 au 6 kwa 12. Na huwezi zidisha" ( hii ni kwa eitcher na tata)

Rout nyingi wastani ni huo kwa gari kubwa.
Rout chache wanaenda 7. Na rout nyingine mwisho ni 5 tu! Mfano ni mbagala--kawe, chanika-- makumbusho nk.


Sent using Redmi Y2

Ikiwa level seats naamanisha gari itakuwa inachukua abiria wa one-way nasio pandashusha hvyo kutakuwa na gar za kituo a to c au kituo a to b au kituo a to d hvyo pandashusha itajiondoa yenyewe bila kuzuiwa na mtu yeyotw
 
Back
Top Bottom