lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
Tupe hesabu kwa Sasa mnapata shilingi ngapi?Low estimate trip 10=46,000
High estimate trip 20=92,000
Boss anachukua ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe hesabu kwa Sasa mnapata shilingi ngapi?Low estimate trip 10=46,000
High estimate trip 20=92,000
Nauli iongezwe katika kipindi hiki hadi hapo hali itakapotengemaa.Kwa wakati huu mgumu nashauri polisi pia wapunguza za kubrashi iwe 2000 kwa siku nawewe tajiri punguza hesabu ya siku siyo kila siku mpunguziwe nyie tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hujawahesabu abiria wanaopanda na kushuka njiani? Ambao kimsingi ni wengi zaidi kuliko wanaoanza safari hadi mwishoWakuu,
Serikali imepiga marufuku daladala kusimamisha na kujaza abiria, taratibu ambao haukuzoeleka sana haswa kwa jiji la Dar.
Mimi nikiwa mmoja wa wamiliki wa daladala hizi naishauri Serikali mambo machache haswa katika kipindi hiki cha mpito kwakuwa Serikali imesema daladala itakayosimamisha abiria itapigwa faini laki Tisa au gerezani miaka miwili ifanye hivi ili kubalance situation.
Mfano daladala ikitoka mbezi hadi Temeke umbali wa kilomita 37 Kila abiria analipa 600 na daladala moja inasiti za abiria 26 hadi 22 akifika temeke anakuwa anapata 15600tsh hadi 13200tsh ambapo kwa umbali huo gari inaweza kutumia lita 5 ambapo ambapo ni sawa na tsh 11000.
Sasa Kama gari hadi inafika Temeke imekusanya 15600 za nauli ukitoa mafuta 11000tsh inamaana daladala hi itabakiwa na 4600.
Sasa kwa namna hii je huyo dereva atapataje hesabu na posho yake ya kila siku, bado kuna zile pesa za kupigia kiwi za jamaa zetu wale aliosema mkuu ambapo kwa siku nzima huenda zikafika 10000 tena hizi huwa hazinaga ubishi lazima utatoa tu.
Ushauri wangu, Serikali ipunguze bei za mafuta kwa daladala zote ikiwezekana iwe na vituo vyake vya mafuta na maduka yake maalumu ya vipuri pia Serikali itafute muda ikae na wadau husika lakini sio kufanya maamuzi bila kushirikiana na wadau watakaoteseka ni wananchi wakawaida wanategemea magari haya.
Labda serikali iongeze mabasi, kusolve hilo tatzo maana yaliyopo hayatoshi.. Wanaotumia usafiri wa umma ni wengi sana. Mfano mzuri tu angalia mabasi ya g/mboto na mbagala mida ya jion yanavyojaza af uwaambie watu wakae level seat si wengine watajikuta wapo kituoni had usiku wa manane.Kibiashara hailipi, lakini kiafya pia haifai, tunafanyaje hapa mkuu?
Kuongeza mabasi, kwa zile sehemu zenye wakazi wengi.Ok
Unadhani solution inaweza kuwa nini ?
Inawezekana mbona Kenya, Uganda, Rwanda hawasimamishi abilia wakajifunze huko wameweza vipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishawahi kufanya biashara? Au unaropoka tu?Ukiona biashara hiyo hailipi acha fanya mengine yenye maslahi mkuu, watu waambukizane korona kisa nyie kupata hela?
Wakuu,
Serikali imepiga marufuku daladala kusimamisha na kujaza abiria, taratibu ambao haukuzoeleka sana haswa kwa jiji la Dar.
Mimi nikiwa mmoja wa wamiliki wa daladala hizi naishauri Serikali mambo machache haswa katika kipindi hiki cha mpito kwakuwa Serikali imesema daladala itakayosimamisha abiria itapigwa faini laki Tisa au gerezani miaka miwili ifanye hivi ili kubalance situation.
Mfano daladala ikitoka mbezi hadi Temeke umbali wa kilomita 37 Kila abiria analipa 600 na daladala moja inasiti za abiria 26 hadi 22 akifika temeke anakuwa anapata 15600tsh hadi 13200tsh ambapo kwa umbali huo gari inaweza kutumia lita 5 ambapo ambapo ni sawa na tsh 11000.
Sasa Kama gari hadi inafika Temeke imekusanya 15600 za nauli ukitoa mafuta 11000tsh inamaana daladala hi itabakiwa na 4600.
Sasa kwa namna hii je huyo dereva atapataje hesabu na posho yake ya kila siku, bado kuna zile pesa za kupigia kiwi za jamaa zetu wale aliosema mkuu ambapo kwa siku nzima huenda zikafika 10000 tena hizi huwa hazinaga ubishi lazima utatoa tu.
Ushauri wangu, Serikali ipunguze bei za mafuta kwa daladala zote ikiwezekana iwe na vituo vyake vya mafuta na maduka yake maalumu ya vipuri pia Serikali itafute muda ikae na wadau husika lakini sio kufanya maamuzi bila kushirikiana na wadau watakaoteseka ni wananchi wakawaida wanategemea magari haya.