Tetesi: Marufuku ya kuzidisha abiria ili kupambana na Corona, Daladala zimeanza kugoma Dar es Salaam

Tetesi: Marufuku ya kuzidisha abiria ili kupambana na Corona, Daladala zimeanza kugoma Dar es Salaam

Hivi vitu vidogo vidogo tu vinatushinda kucontrol na kuviwekea mazingira safi sasa tukipewa kazi yenyewe ya kutafuta dawa ya Corona tunataweza kweli..?

Hili janga linatakiwa litufundishe kitu sisi raia juu ya aina ya wanasiasa na viongozi tulionao na tunaowashabikia huku Africa.
 
Pakinii majumbani msubiri corona...Uganda wamesimamisha bar zote
Sherehe zote
Basiizote mwendoo wakukaa ....
Simngeliamachoziyadamuu
Pakinitu PESA na corona nn boraa
 
Yaani ubaya wa hivi virus havifi haraka kwenye surface,tofauti na vile vya HIV Ni vinakufa ndani ya dakika tu.hivi mtu anatoka kamasi akijifuta,vinabaki mkononi,akishika bomba la daladala,anaviachapo na kila atakaeshika Hapo atavibeba mkononi na akigusa mdomo ama pua tu,imo
Dawa kila daladala iwe na sanitizer,
 
4,600× trip kwa siku = ?

Tupigie Kwanza hapo ndo tukuelewe mwisho wa siku umelaza kiasi gani?
 
hapo kwenye kupunguziwa bei ya mafuta ni ngumu sana kwasababu serikali haifanyi biashara ya mafuta na hata kama ingekuwa inauza mafuta hakuna namna ambayo ingeweza kupunguza bei ya hayo mafuta.
Wafanya subsidies. Au huko serikalini kuna vibuyu
 
Kiongozi kila "Muamba ngozi huvuta kwake" mbona kama unapotosha ukweli hebu rudia hesabu zako usije ukaumbuka!!

Wakuu,

Serikali imepiga marufuku daladala kusimamisha na kujaza abiria, taratibu ambao haukuzoeleka sana haswa kwa jiji la Dar.

Mimi nikiwa mmoja wa wamiliki wa daladala hizi naishauri Serikali mambo machache haswa katika kipindi hiki cha mpito kwakuwa Serikali imesema daladala itakayosimamisha abiria itapigwa faini laki Tisa au gerezani miaka miwili ifanye hivi ili kubalance situation.

Mfano daladala ikitoka mbezi hadi Temeke umbali wa kilomita 37 Kila abiria analipa 600 na daladala moja inasiti za abiria 26 hadi 22 akifika temeke anakuwa anapata 15600tsh hadi 13200tsh ambapo kwa umbali huo gari inaweza kutumia lita 5 ambapo ambapo ni sawa na tsh 11000.

Sasa Kama gari hadi inafika Temeke imekusanya 15600 za nauli ukitoa mafuta 11000tsh inamaana daladala hi itabakiwa na 4600.

Sasa kwa namna hii je huyo dereva atapataje hesabu na posho yake ya kila siku, bado kuna zile pesa za kupigia kiwi za jamaa zetu wale aliosema mkuu ambapo kwa siku nzima huenda zikafika 10000 tena hizi huwa hazinaga ubishi lazima utatoa tu.

Ushauri wangu, Serikali ipunguze bei za mafuta kwa daladala zote ikiwezekana iwe na vituo vyake vya mafuta na maduka yake maalumu ya vipuri pia Serikali itafute muda ikae na wadau husika lakini sio kufanya maamuzi bila kushirikiana na wadau watakaoteseka ni wananchi wakawaida wanategemea magari haya.
 
Kwanza sijui kwanini wamehangaika na wenye mabasi.......................... sijui daladala......................

Ni kuitangazia umma tuu ukikutwa umesimama kwenye daladala unapata fain ya Tsh 50elf. sasa uone nani atadhubutu kuingia kwenye gari iliyopo level seat. uamue kutoa 50 au kuchukua uber kabisa maana lazima sisi Watanzania tu learn in a hard way.

Na hapo tueone kama watalalamika sasa hivi abiria hawapandi. Na konda pia alimwe fain kwanini kazidisha abiria
 
Ili waweze kusikia ushauri wenu itawalizimu mkubariane wote kupark magari yenu japo siku mbili tatizo nchi yetu kila kitu Siasa hlf hao viongozi wenyewe wao wapo kwenye mavx uko si wapinzani si watawala...
Wakuu,

Serikali imepiga marufuku daladala kusimamisha na kujaza abiria, taratibu ambao haukuzoeleka sana haswa kwa jiji la Dar.

Mimi nikiwa mmoja wa wamiliki wa daladala hizi naishauri Serikali mambo machache haswa katika kipindi hiki cha mpito kwakuwa Serikali imesema daladala itakayosimamisha abiria itapigwa faini laki Tisa au gerezani miaka miwili ifanye hivi ili kubalance situation.

Mfano daladala ikitoka mbezi hadi Temeke umbali wa kilomita 37 Kila abiria analipa 600 na daladala moja inasiti za abiria 26 hadi 22 akifika temeke anakuwa anapata 15600tsh hadi 13200tsh ambapo kwa umbali huo gari inaweza kutumia lita 5 ambapo ambapo ni sawa na tsh 11000.

Sasa Kama gari hadi inafika Temeke imekusanya 15600 za nauli ukitoa mafuta 11000tsh inamaana daladala hi itabakiwa na 4600.

Sasa kwa namna hii je huyo dereva atapataje hesabu na posho yake ya kila siku, bado kuna zile pesa za kupigia kiwi za jamaa zetu wale aliosema mkuu ambapo kwa siku nzima huenda zikafika 10000 tena hizi huwa hazinaga ubishi lazima utatoa tu.

Ushauri wangu, Serikali ipunguze bei za mafuta kwa daladala zote ikiwezekana iwe na vituo vyake vya mafuta na maduka yake maalumu ya vipuri pia Serikali itafute muda ikae na wadau husika lakini sio kufanya maamuzi bila kushirikiana na wadau watakaoteseka ni wananchi wakawaida wanategemea magari haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni mboyoyo.... tii sheria bila shuruti .....kama hamuwezi njooni muuze Mkaa kama Mimi!
 
Kwa umbali mfupi kama wa buguruni tabata sasa hv natembea kwa mguu
 
Back
Top Bottom