Hii ni emergence kipind hiki ni cha muda, wavumilie.Watu msiopanda daladala mnaonaga rahisi sana, gari ya kutoka tegeta to kkoo abiria wa kwanza kushuka ni moroco utapakia abiria gani tena kuanzia hapo?
Yaani hata kwa akili ya kawaida haiwezekani hata kidogo, mwendokasi ya serikali wenyewe wameshindwa pakia level seat
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya imewezekanaje? Tena Kenya lazima abiria afunge mkanda.Level seat kwa daladala za Dar mmh haiwezekani, kuna kipindi walileta hii sheria ila iligonga mwamba.
Ukiona biashara hiyo hailipi acha fanya mengine yenye maslahi mkuu, watu waambukizane korona kisa nyie kupata hela?
Tatizo letu Watanzania ni kutofuata sheria au maelekezo ya serikali hata kwa mambo muhimu kam kujikinga na maradhi ya COVID 19. Kenya waliweza kuzuia matatu kubeba abiria zaidi lakini sisi hapa umekuwa kama wimbo! Juzi nilisafiri kwenda Msho kutoka Arusah, coaster ilijaza abiria wakiwa wamekaa watano watano na wengine walisimama licha ya serikali kutoa maelekezo ya kutobeba abiria wengi zaidihapo kwenye kupunguziwa bei ya mafuta ni ngumu sana kwasababu serikali haifanyi biashara ya mafuta na hata kama ingekuwa inauza mafuta hakuna namna ambayo ingeweza kupunguza bei ya hayo mafuta.
Itawezekana pundeLevel seat kwa daladala za Dar mmh haiwezekani, kuna kipindi walileta hii sheria ila iligonga mwamba.
Pa;e moshi kulikuwa na katazo la kutupa takataka ovyo, kwa jinsi watu walivyokuwa wanatozwa faini, ilibidi wajiongeze na Mji ukawa msafi. Kwa hiyo, hata daladal ziwekewe utaratibu huo, abiria akikutwa amesimama katika daladal apigwe faini na dereva pia apigwe faini. Hapo tutatii sheria bila shurutiKwanza sijui kwanini wamehangaika na wenye mabasi.......................... sijui daladala......................
Ni kuitangazia umma tuu ukikutwa umesimama kwenye daladala unapata fain ya Tsh 50elf. sasa uone nani atadhubutu kuingia kwenye gari iliyopo level seat. uamue kutoa 50 au kuchukua uber kabisa maana lazima sisi Watanzania tu learn in a hard way.
Na hapo tueone kama watalalamika sasa hivi abiria hawapandi. Na konda pia alimwe fain kwanini kazidisha abiria
Hayo mataifa mengine ambayo usafiri ni level seat wao wamefanikiwaje??Level seat kwa daladala za Dar mmh haiwezekani, kuna kipindi walileta hii sheria ila iligonga mwamba.
Amri siyo utekelezaji wewe... chezea level seat... tena Dar!!!? NeverNdo ishaamriwa hivyo sasa
Mungu awasaidie wa huko aiseeAmri siyo utekelezaji wewe... chezea level seat... tena Dar!!!? Never
Sent using Jamii Forums mobile app
...Mbona unafanya ya Muwamba Ngoma Huvutia kwake??Wakuu,
Serikali imepiga marufuku daladala kusimamisha na kujaza abiria, taratibu ambao haukuzoeleka sana haswa kwa jiji la Dar.
Mimi nikiwa mmoja wa wamiliki wa daladala hizi naishauri Serikali mambo machache haswa katika kipindi hiki cha mpito kwakuwa Serikali imesema daladala itakayosimamisha abiria itapigwa faini laki Tisa au gerezani miaka miwili ifanye hivi ili kubalance situation.
Mfano daladala ikitoka mbezi hadi Temeke umbali wa kilomita 37 Kila abiria analipa 600 na daladala moja inasiti za abiria 26 hadi 22 akifika temeke anakuwa anapata 15600tsh hadi 13200tsh ambapo kwa umbali huo gari inaweza kutumia lita 5 ambapo ambapo ni sawa na tsh 11000.
Sasa Kama gari hadi inafika Temeke imekusanya 15600 za nauli ukitoa mafuta 11000tsh inamaana daladala hi itabakiwa na 4600.
Sasa kwa namna hii je huyo dereva atapataje hesabu na posho yake ya kila siku, bado kuna zile pesa za kupigia kiwi za jamaa zetu wale aliosema mkuu ambapo kwa siku nzima huenda zikafika 10000 tena hizi huwa hazinaga ubishi lazima utatoa tu.
Ushauri wangu, Serikali ipunguze bei za mafuta kwa daladala zote ikiwezekana iwe na vituo vyake vya mafuta na maduka yake maalumu ya vipuri pia Serikali itafute muda ikae na wadau husika lakini sio kufanya maamuzi bila kushirikiana na wadau watakaoteseka ni wananchi wakawaida wanategemea magari haya.
Umeongea bila kushirikiana na akili yako.hivi unajua madhara ya watu kutokwenda kazini kwa wiki moja.yaani umeandika upuuzi tupu huku jazba ya waziwazi imekujaaa.nyinyi ndio huwa mnakuwaga na maneno machafu kwenye daladala...Mbona unafanya ya Muwamba Ngoma Huvutia kwake??
Sema tu kweli utaeleweka.
Daladala za kawaida zote tunazojua za route ya Mbezi - Mbagala zote ni seat 30. Na sio wote wanaoanzia mbezi wanakwenda Mbagala.
Humu njiani kuna kushuku na kupanda kibao.
Seat moja inapofika Mbagala inakuwa imekaliwa hata na watu watatu!
WKati mwingine Serikali inapaswa kuwa kichwa maji tu na Kusema amri ni hii, anayetaka aendelee kufanya kazi kwa amri hii na asiyetaka akaweke gari lake Uwani afugie kuku!
Hawa hawa wanaotingisha kiberiti wataingia wenyewe barabarani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Namna ipo, kwa kuvipunguzia kodi vituo vya mafuta na kodi nyingi za vyombo vya usafiri kwa msimu huu na kupanga bei ya dharura,kama baadhi ya chi nyingi zilivyofanya kwa vitu vyote.Sisi tuzingatie kwanza usafiti kisha mengineyo.Wanashindwa mini,mbo8na misaada wanapatahapo kwenye kupunguziwa bei ya mafuta ni ngumu sana kwasababu serikali haifanyi biashara ya mafuta na hata kama ingekuwa inauza mafuta hakuna namna ambayo ingeweza kupunguza bei ya hayo mafuta.
Unapewagwa lifti na jirani mini?Hivi kwenye mwendokasi inakuwaje