Marumo Gallants wamefikaje nusu fainali CAF? Wako mbioni kushuka daraja

Marumo Gallants wamefikaje nusu fainali CAF? Wako mbioni kushuka daraja

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Picha chini inajieleza, hao Marumo Gallants wako nafasi ya 14 kwenye ligi kuu ya Afrika kusini, in short wanaelekea kushuka daraja.

Mtu aniambie, ni lini hapa duniani timu inayoshiriki nusu fainali ya mashindano ya vilabu ya bara husika ikawa kwenye mkia wa ligi kuu ya nchi yake kiasi cha kuelekea kushuka daraja? Nyie mmewahi kuona wapi?

Sasa timu kama hii ukiifunga unaweza ukatoka mbele kusema umeshinda kweli?

1342A14C-E25B-4EB1-BBF4-B7EFE7DCEB29.jpeg
 
Picha chini inajieleza, hao Marumo Gallants wako nafasi ya 14 kwenye ligi kuu ya Afrika kusini, in short wanaelekea kushuka daraja. Mtu aniambie, ni lini hapa duniani timu inayoshiriki nusu fainali ya mashindano ya vilabu ya bara husika ikawa kwenye mkia wa ligi kuu ya nchi yake kiasi cha kuelekea kushuka daraja? Nyie mmewahi kuona wapi?

Sasa timu kama hii ukiifunga unaweza ukatoka mbele kusema umeshinda kweli?

View attachment 2610647
Leeds ya kina mark viduka ilitoka nusu fainali uefa cl hadi kushuka daraja
 
Picha chini inajieleza, hao Marumo Gallants wako nafasi ya 14 kwenye ligi kuu ya Afrika kusini, in short wanaelekea kushuka daraja. Mtu aniambie, ni lini hapa duniani timu inayoshiriki nusu fainali ya mashindano ya vilabu ya bara husika ikawa kwenye mkia wa ligi kuu ya nchi yake kiasi cha kuelekea kushuka daraja? Nyie mmewahi kuona wapi?

Sasa timu kama hii ukiifunga unaweza ukatoka mbele kusema umeshinda kweli?

View attachment 2610647
I think ungemuuliza Ahmed Ali msemaji wa CAF atakua na majibu sahihi
 
Picha chini inajieleza, hao Marumo Gallants wako nafasi ya 14 kwenye ligi kuu ya Afrika kusini, in short wanaelekea kushuka daraja. Mtu aniambie, ni lini hapa duniani timu inayoshiriki nusu fainali ya mashindano ya vilabu ya bara husika ikawa kwenye mkia wa ligi kuu ya nchi yake kiasi cha kuelekea kushuka daraja? Nyie mmewahi kuona wapi?

Sasa timu kama hii ukiifunga unaweza ukatoka mbele kusema umeshinda kweli?

View attachment 2610647
Ameingia nusu fainali kwa kuwafunga aliowafunga..!! Kama ambavyo Simba iliishia robo fainali kwa kufungwa na mbabe wake..!! Au unadhani walipigiwa KURA?
 
Sisi atukumwambia acheze nusu caf alafu ashuke daraja sisi atujui hiyo tutampiga kama mbwa koko aliyeiba chupi
Mimi sijakataa kwamba mtapiga , maana hiyo timu hata wakicheza na Namungo wanachakazwa vibaya! Kwahiyo sioni sababu ya mtu kushangilia ushindi wa kumpiga mlevi.., no way! Na mlivyokosa aibu mtakuja hapa kushangilia
 
Back
Top Bottom