Marumo Gallants wamefikaje nusu fainali CAF? Wako mbioni kushuka daraja

Marumo Gallants wamefikaje nusu fainali CAF? Wako mbioni kushuka daraja

Bado ni ya kipuuzi, Simba ilijitoa tu makusudi sababu haikuwa hadhi yake
Halafu unajua kuwa walitaka kujitoa kabla hawajafika makundi isipokuwa kila wakitaka kujifungisha magoli yanaenda kufungwa kwa wapinzani,
Wakajikuta wameshafika robo fainali na ule moto ulijiwasha wenyewe.
 
Picha chini inajieleza, hao Marumo Gallants wako nafasi ya 14 kwenye ligi kuu ya Afrika kusini, in short wanaelekea kushuka daraja.

Mtu aniambie, ni lini hapa duniani timu inayoshiriki nusu fainali ya mashindano ya vilabu ya bara husika ikawa kwenye mkia wa ligi kuu ya nchi yake kiasi cha kuelekea kushuka daraja? Nyie mmewahi kuona wapi?

Sasa timu kama hii ukiifunga unaweza ukatoka mbele kusema umeshinda kweli?

View attachment 2610647
Ushaambiwa hili ni shindano la vilaza,mabumunda,losers,failures,waliofeli ,walioshindwa,mapoyoyo,mautopolo yote ndio yanakutana huko[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Picha chini inajieleza, hao Marumo Gallants wako nafasi ya 14 kwenye ligi kuu ya Afrika kusini, in short wanaelekea kushuka daraja.

Mtu aniambie, ni lini hapa duniani timu inayoshiriki nusu fainali ya mashindano ya vilabu ya bara husika ikawa kwenye mkia wa ligi kuu ya nchi yake kiasi cha kuelekea kushuka daraja? Nyie mmewahi kuona wapi?

Sasa timu kama hii ukiifunga unaweza ukatoka mbele kusema umeshinda kweli?

View attachment 2610647
Maaskini MAKOLO

Na je kutoa sare na Namungo? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na hapo imepanda tu juzi lakin baada ya kumaliza mechi za makundi na kuongoza ilikuwa ya mwisho kabisa, kiukwel ni maajabu, sijui aliweza vipi kumtoa Pyramidi
MAKOLO mnashangaza sana [emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi mmebakiza kugombea kombe lipi? La Mbuzi au kuku?
 
Back
Top Bottom