Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Kumbe??haya basi banduliwa kama unatakaNi wewe akili zako ume wekeza huko neno kubanduliwa halina uhusiano na ngono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe??haya basi banduliwa kama unatakaNi wewe akili zako ume wekeza huko neno kubanduliwa halina uhusiano na ngono
Halafu unajua kuwa walitaka kujitoa kabla hawajafika makundi isipokuwa kila wakitaka kujifungisha magoli yanaenda kufungwa kwa wapinzani,Bado ni ya kipuuzi, Simba ilijitoa tu makusudi sababu haikuwa hadhi yake
Mtani, yaani utauliza sana na hizo robo zenu nne..!!Kuna nini?.
Ushaambiwa hili ni shindano la vilaza,mabumunda,losers,failures,waliofeli ,walioshindwa,mapoyoyo,mautopolo yote ndio yanakutana huko[emoji23][emoji23][emoji23]Picha chini inajieleza, hao Marumo Gallants wako nafasi ya 14 kwenye ligi kuu ya Afrika kusini, in short wanaelekea kushuka daraja.
Mtu aniambie, ni lini hapa duniani timu inayoshiriki nusu fainali ya mashindano ya vilabu ya bara husika ikawa kwenye mkia wa ligi kuu ya nchi yake kiasi cha kuelekea kushuka daraja? Nyie mmewahi kuona wapi?
Sasa timu kama hii ukiifunga unaweza ukatoka mbele kusema umeshinda kweli?
View attachment 2610647
Nyie ndo mmeingia sasa kelele...Mtani, yaani utauliza sana na hizo robo zenu nne..!!
Kabylie alivyoingia robo fainali hamkuandika hizi nyuzi za kuhoji kwanini Kabylie anashuka daraja lakini kafuzu robo fainali klabu bingwa View attachment 2610658
Maaskini MAKOLOPicha chini inajieleza, hao Marumo Gallants wako nafasi ya 14 kwenye ligi kuu ya Afrika kusini, in short wanaelekea kushuka daraja.
Mtu aniambie, ni lini hapa duniani timu inayoshiriki nusu fainali ya mashindano ya vilabu ya bara husika ikawa kwenye mkia wa ligi kuu ya nchi yake kiasi cha kuelekea kushuka daraja? Nyie mmewahi kuona wapi?
Sasa timu kama hii ukiifunga unaweza ukatoka mbele kusema umeshinda kweli?
View attachment 2610647
MAKOLO mnashangaza sana [emoji23][emoji23][emoji23]Na hapo imepanda tu juzi lakin baada ya kumaliza mechi za makundi na kuongoza ilikuwa ya mwisho kabisa, kiukwel ni maajabu, sijui aliweza vipi kumtoa Pyramidi
Tumekubal,tuachen tupumzikeMAKOLO mnashangaza sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mmebakiza kugombea kombe lipi? La Mbuzi au kuku?
Sasa ninyi mpumzike na Mo Dewji afanyeje?Tumekubal,tuachen tupumzike
Yaani wanatutesa sana ni vile hawajui tu mbwa hawaMarumo hawajui wanasababisha tusikae kwa amani