Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
Ushindi ni ushindi tu akuna aina ya ushindi wa kushangilia wowote hule unashangiliwa tu mbona nyie simba mmeshangilia ushindi wa kumfunga yanga na wa kufa kiume wakati auna impact yoyote why yanga wasishangilie ushindi kwa malumo angali unafaida kemkem kwaoMimi sijakataa kwamba mtapiga , maana hiyo timu hata wakichenza na Namungi wanachazwa vibaya! Kwahiyo sioni sababu ya mtu kushangikia ushindi wa kumpiga mlevi.., no way!