Marumo Gallants wamefikaje nusu fainali CAF? Wako mbioni kushuka daraja

Marumo Gallants wamefikaje nusu fainali CAF? Wako mbioni kushuka daraja

Picha chini inajieleza, hao Marumo Gallants wako nafasi ya 14 kwenye ligi kuu ya Afrika kusini, in short wanaelekea kushuka daraja.

Mtu aniambie, ni lini hapa duniani timu inayoshiriki nusu fainali ya mashindano ya vilabu ya bara husika ikawa kwenye mkia wa ligi kuu ya nchi yake kiasi cha kuelekea kushuka daraja? Nyie mmewahi kuona wapi?

Sasa timu kama hii ukiifunga unaweza ukatoka mbele kusema umeshinda kweli?

View attachment 2610647
Wako nafasi ya 14 inachekesha
 
Yanga wana kila sababu ya kufika fainali.
Wasipofika itakua ni kituko cha karne, maana itachukua miaka 100 kuja tena kupata mtelezo kama huu, ni kama wameshapata penalty tayari, washindwe wao tu
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Kaiza chief mwaka 2020 alifika final caf champion league.ili hali alimaliza wa 14 kwao
 
Tafsiri sahihi ya kombe la Washindwa.
 
Picha chini inajieleza, hao Marumo Gallants wako nafasi ya 14 kwenye ligi kuu ya Afrika kusini, in short wanaelekea kushuka daraja.

Mtu aniambie, ni lini hapa duniani timu inayoshiriki nusu fainali ya mashindano ya vilabu ya bara husika ikawa kwenye mkia wa ligi kuu ya nchi yake kiasi cha kuelekea kushuka daraja? Nyie mmewahi kuona wapi?

Sasa timu kama hii ukiifunga unaweza ukatoka mbele kusema umeshinda kweli?

View attachment 2610647
Km unajua malengo na mipango yao tuambie kwanza. Lkn kwa nini Marumo tu na sii West Ham?
 
Back
Top Bottom