Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau ulibanduliwa huko shirikishoKwani ulikuwa hujui kama kombe hilo ni la loser.
huko mbali Sevilla juzi hapa kamtoa Man utd huku ana struggle kubaki LaligaMarumo sio wabovu
Kumbukeni hata villareal iliwatoa Bayern Munich uku barcelona wakinawa 3- nenda rudi
Kijana unawaza kubanduliwa tu,im straight nigga.Bila kusahau ulibanduliwa huko shirikisho
Wako nafasi ya 14 inachekeshaPicha chini inajieleza, hao Marumo Gallants wako nafasi ya 14 kwenye ligi kuu ya Afrika kusini, in short wanaelekea kushuka daraja.
Mtu aniambie, ni lini hapa duniani timu inayoshiriki nusu fainali ya mashindano ya vilabu ya bara husika ikawa kwenye mkia wa ligi kuu ya nchi yake kiasi cha kuelekea kushuka daraja? Nyie mmewahi kuona wapi?
Sasa timu kama hii ukiifunga unaweza ukatoka mbele kusema umeshinda kweli?
View attachment 2610647
Hatuwezi cheza mashindano ya kipuuzi hivyo, itakuwa kujishushia heshimaBasi nendeni CAF makapewe nyie hio nafasi kama hao Marumo hawastahili
Mhhh mashindano ya kipuuzi haukumbuki simba walichoma moto katikati ya uwanja ili waingie nusu fainali na ikashindikanaHatuwezi cheza mashindano ya kipuuzi hivyo, itakuwa kujishushia heshima
Bado ni ya kipuuzi, Simba ilijitoa tu makusudi sababu haikuwa hadhi yakeMhhh mashindano ya kipuuzi haukumbuki simba walichoma moto katikati ya uwanja ili waingie nusu fainali na ikashindikana
Namungo hii hii iliyotoka sare na Simba au nyingine?Mimi sijakataa kwamba mtapiga , maana hiyo timu hata wakicheza na Namungo wanachakazwa vibaya! Kwahiyo sioni sababu ya mtu kushangilia ushindi wa kumpiga mlevi.., no way! Na mlivyokosa aibu mtakuja hapa kushangilia
Ahahahahahaaaa..!! Ya kipuuzi mliyoroga NJE YA NCHI hadi mkapigwa FINE, and YET hakufika NUSU fainali..!!?? AU mengine?Hatuwezi cheza mashindano ya kipuuzi hivyo, itakuwa kujishushia heshima
Wasipofika itakua ni kituko cha karne, maana itachukua miaka 100 kuja tena kupata mtelezo kama huu, ni kama wameshapata penalty tayari, washindwe wao tuYanga wana kila sababu ya kufika fainali.
Ni wewe akili zako ume wekeza huko neno kubanduliwa halina uhusiano na ngonoKijana unawaza kubanduliwa tu,im straight nigga.
Basi mtulie kiherehere cha nini kwenye mambo ya watuHatuwezi cheza mashindano ya kipuuzi hivyo, itakuwa kujishushia heshima
Km unajua malengo na mipango yao tuambie kwanza. Lkn kwa nini Marumo tu na sii West Ham?Picha chini inajieleza, hao Marumo Gallants wako nafasi ya 14 kwenye ligi kuu ya Afrika kusini, in short wanaelekea kushuka daraja.
Mtu aniambie, ni lini hapa duniani timu inayoshiriki nusu fainali ya mashindano ya vilabu ya bara husika ikawa kwenye mkia wa ligi kuu ya nchi yake kiasi cha kuelekea kushuka daraja? Nyie mmewahi kuona wapi?
Sasa timu kama hii ukiifunga unaweza ukatoka mbele kusema umeshinda kweli?
View attachment 2610647
Kuna nini?.