Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
Ushindi ni ushindi tu akuna aina ya ushindi wa kushangilia wowote hule unashangiliwa tu mbona nyie simba mmeshangilia ushindi wa kumfunga yanga na wa kufa kiume wakati auna impact yoyote why yanga wasishangilie ushindi kwa malumo angali unafaida kemkem kwaoMimi sijakataa kwamba mtapiga , maana hiyo timu hata wakichenza na Namungi wanachazwa vibaya! Kwahiyo sioni sababu ya mtu kushangikia ushindi wa kumpiga mlevi.., no way!
Kipimo ulichotumia ni kipi?Mimi sijakataa kwamba mtapiga , maana hiyo timu hata wakicheza na Namungo wanachakazwa vibaya! Kwahiyo sioni sababu ya mtu kushangilia ushindi wa kumpiga mlevi.., no way! Na mlivyokosa aibu mtakuja hapa kushangilia
Huko UEFA na EUROPA mifano iko mingi tu.Leeds ya kina mark viduka ilitoka nusu fainali uefa cl hadi kushuka daraja
Kombe la shirikishoMtu aniambie, ni lini hapa duniani timu inayoshiriki nusu fainali ya mashindano ya vilabu ya bara husika ikawa kwenye mkia wa ligi kuu ya nchi yake kiasi cha kuelekea kushuka daraja? Nyie mmewahi kuona wapi?
Na yanga ikishuka daraja SA, basi kolo watashuka mpaka ligi ya kolokoloni!!!Rimu kama yanga ikienda kushiriki ligi ya SA, inashika mkia na kushuka daraja.
Umecheza na Namungo juzi tupe matokeo!Mimi sijakataa kwamba mtapiga , maana hiyo timu hata wakicheza na Namungo wanachakazwa vibaya! Kwahiyo sioni sababu ya mtu kushangilia ushindi wa kumpiga mlevi.., no way! Na mlivyokosa aibu mtakuja hapa kushangilia
Si wamecheza na Namungo juzi tu hapa ulikua aje?Kipimo ulichotumia ni kipi?
Ule mpango wenu wa kwenda kucheza ligi ya Zambia uliishia wapi?Rimu kama yanga ikienda kushiriki ligi ya SA, inashika mkia na kushuka daraja.
Walisare kiumeUmecheza na Namungo juzi tupe matokeo!
King music wahasemajeRimu kama yanga ikienda kushiriki ligi ya SA, inashika mkia na kushuka daraja.
Jamaa hata Mirembe haponiJiulize kwanza kamfungaje Pyramid anayeshika nafasi ya tatu Misri?
Kiwango cha sasa cha pyramids kinazidiwa na cha namungo?Mimi sijakataa kwamba mtapiga , maana hiyo timu hata wakicheza na Namungo wanachakazwa vibaya! Kwahiyo sioni sababu ya mtu kushangilia ushindi wa kumpiga mlevi.., no way! Na mlivyokosa aibu mtakuja hapa kushangilia