the boys inatembea na matukio.
hii kitu ni mzuka sana,tena kama unapenda mambo ya kijeshi ni A+
Nimekuelewa mkuu✊🏾hii kitu ni mzuka sana,tena kama unapenda mambo ya kijeshi ni A+
Hadi Marcelo na Lewandowski wapo [emoji3][emoji3][emoji3]
Ni muendelezo wa Harry Potter jambz niyule dg kwny movie zilizo pita ana nywele nyeupeHivi mwandishi wa harry Potter na fantastic beasts ni mmoja au?
Naangalia hapa fantastic beasts naona wapo shuleni kwa harry alafu kupo vile vile
Mwenye kuelewa anipe kidogo maarifa hapa
Aura dah! ninyi nenden tu kila la kheri wengine hatupo town kwa sasaThe Wait is Over ... Tukutane Cinemax kesho In shaa Allah.View attachment 2284756
Aisee last episode imenishangaza Sana,mbaya zaidi yule dogo nae ameanza kuikubali tabia ya baba yake.Mkuu naomba twende wote🙏
NB. Umeitazama Episode ya mwisho ya The Boys?
Aisee last episode imenishangaza Sana,mbaya zaidi yule dogo nae ameanza kuikubali tabia ya baba yake.
Yeah nimeona hilo,wenzetu wanajua sanayap mkuu, mwandishi ni mmoja. Fantastic beasts ni prequel ya harry potter, ingawa ni miaka mingi nyuma.
mkuu, napenda sema butcher ni kama batman ambaye anaua(batman hana tabia ya kuua , hata iweje), yaan jamaa ni no matter what mambo lazima plan ikamilike, except ikiwa inamuhusu dead wife wake.Ngoja niiangalie naskia imejaa mishtuko😅(suprises) hahaha kishwahili kilivyo aisee
grindelwald, afu jamaa ndo anamiliki master ward sahivi, inamaanisha kwa namna moja ama nyingine atapigwa au kuuawa na dumbledore katika muendelezo wake.Ni muendelezo wa Harry Potter jambz niyule dg kwny movie zilizo pita ana nywele nyeupe
Mkuu, stormbreaker sio ya hovyo hovyo.
Umemanisha nini apoOut of Context!!View attachment 2286242
mimi mwenyew sijailewa hiyo meme mkuu..ila namejaribu kufatilia tangu hiyo #minions iwe released kwenye cinema ni kama imeingiza mpunga mrefu balaaUmemanisha nini apo
Hatarimimi mwenyew sijailewa hiyo meme mkuu..ila namejaribu kufatilia tangu hiyo #minions iwe released kwenye cinema ni kama imeingiza mpunga mrefu balaa
kitu kingine nimeona clip zinatrend,watu hasa teens wanaingia kwa makundi kweny cinema kucheck hiyo muvi, huku wamekula suti[emoji28][emoji28] wanasema worth watch it!!