Marvel Cinematic Universe special thread

Mkuu naomba twende wote[emoji120]

NB. Umeitazama Episode ya mwisho ya The Boys?
Nimeiona jana episode ya mwisho, kwa kweli season 4 itakua ya moto sana, naona kabisa Ryan atawasumbua nimeona lile tabasamu lake pale mwishoni baada ya baba yake kumuua yule jamaa na wajinga kushangilia lile tabasamu limeongea vitu vingi sana kwa ajili ya next season,

Mission bado inaendelea next season itakua ya Victoria, The Boys watajipanga jinsi ya kumuondoa,

Nimependa MM ameungana tena na Mtoto wake maana kila siku nilikua namfikiria kama Mtoto wake atampenda tena,

Queen Maeve kua hai na Ashley kufuta zile footages nimependa sana, ila kipondo alichompa Homelander sio mchezo [emoji119] sikujua kama ana nguvu kiasi kile,

Sasa Soldier Boy wamemuhifadhi tena ikitokea kafunguliwa sijui itakuaje hizo hasira zake,

A-Train kanipa huzuni kaka ake alivyomkataa,

Hivi huyu Deep hua ana matatizo gani?? Kwanini asiishi tu baharini na Samaki wenzie naona kama Nchi kavu hapamfai kila siku anatia yeye huruma tu,

Black Noir kanihuzunisha sana, Homelander kweli hana rafiki, nilicheka alipowaambia kwenye kile kikao chao cha dharura "you guys are not my family, i don't need your help"

Haya tusubiri season 4 sijui wataileta lini tena.
 
Episode tamu sana, imetuacha na vibe la kujua what next huku kila mtu kawa na happy ending kasoro A-Train na Deep
 
Episode tamu sana, imetuacha na vibe la kujua what next huku kila mtu kawa na happy ending kasoro A-Train na Deep
Hao ndio kila siku inakuaga ivo…just kupotray the mental health of superheroes…apart from that hamna kitu…hawajahusika kabisa katika mapigano
 
The boys imeweza Mix hadi animation humo humo vipande vya Noir na musical 🎶 numbers kama broadway...ile episode Kimiko anacheza Hospitali, nikawaheshimu

PS: aliengalia MoM kwa mara ya kwanza ile Music notes fight scene aliionaje😅?
 
Your browser is not able to display this video.


Dr strange suit up scene
 
Inabidi na mimi niiangalie hiyo the boys sasa.
groot umenifurahisha kitu unajua nn, keeping up with the internet, movies and memes inakuwa ngumu kweli siku hiz, na ukiachwa unajihis kama unazeeka flan

Kuna siku nlikutana na wadau zangu tukawa mahali wanaongelea stranger things wakati sijaona hata episode moja siku ile nlijiuliza nmefuata nini hapa [emoji23][emoji3064]
 
Kweli aisee😂😂. Maana nimejikuta kila siku naachwa njia panda😅
 
MCU wana akili sana ya kupiga pesa, kila series yao, iwe animated au live action, wanaunganisha na muvi inayosubiriwa. kudos kwa the fegie bros na team yao nzima.
 
Ms. MARVEL Imevunja rekodi ya highest score kwa tv series zote za marvel 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…