bravocharlie
JF-Expert Member
- Feb 1, 2020
- 861
- 857
Movie gani hii?What the fu!ck did you say??[emoji28]
View attachment 2287416
Movie gani hii?
Basi huko sijafika,ila kina scene ya billy ni nzuri unafurah kumuona akiongea na the way he carry him self,ila napenda MM na frenchie wanavyo jua kujiongeza yaaanSeries: The boys
Nimeiona jana episode ya mwisho, kwa kweli season 4 itakua ya moto sana, naona kabisa Ryan atawasumbua nimeona lile tabasamu lake pale mwishoni baada ya baba yake kumuua yule jamaa na wajinga kushangilia lile tabasamu limeongea vitu vingi sana kwa ajili ya next season,Mkuu naomba twende wote[emoji120]
NB. Umeitazama Episode ya mwisho ya The Boys?
Episode tamu sana, imetuacha na vibe la kujua what next huku kila mtu kawa na happy ending kasoro A-Train na DeepYes, maeve pale kamkalisha Homelander sema alikuwa ana practice kweli kweli kipindi kile na ikalipa
besides maeve nimependa writers walivyomuandaa mpaka kujitoa muanga kuwasaidia wenzake
Unakumbuka kule alipowageuka wasimuue soldier boy...mpaka starlight akamwambia “I thought you were a hero” Maeve akamjibu kwa kusema “there is no such thing” lakini ironically baadae Maeve ndio akawa “hero” kajitoa sadaka ili awaokoe wenzie nilipenda sana, kudos kwa writers room
Kingine soldier-boy backstory ya baba ake kutomkubali kumwambia kuwa kachukua shortcut whatsoever... imetufanya tumuone na yeye ni human after all japo ni piece of shit, kwahiyo alivyokuwa anamkataa Homelander na mjukuu wake huku akimuita Homelander p*ssy attention seeker sijui [emoji23](nilicheka balaa)
Alikuwa ana maana labda plan yake ilikuwa akiwa na mtoto wake amfanye awe better man alafu akamkuta mwanae homelander ndio vile dumpster fire...
na kuna vitu niliviona vilifanana na ile riot ya capital kipindi cha trump kama niko sahihi
Hii episode nikisema niichambue ntaandika gazet... mambo hayo ya jamaa etu sio mm[emoji28]
Mwishon I felt sorry for deep...japo kuwa ana matatizo yake ila yule dem kazingua sana yaani kamuandika jamaa kitabu kabisa na kapata airtime kwenye talk-show utakuta anamponda mwana[emoji23]
Ningekuwa mm ngemfanya mengi yule demu
Hao ndio kila siku inakuaga ivo…just kupotray the mental health of superheroes…apart from that hamna kitu…hawajahusika kabisa katika mapiganoEpisode tamu sana, imetuacha na vibe la kujua what next huku kila mtu kawa na happy ending kasoro A-Train na Deep
Hiyo ni S03Basi huko sijafika,ila kina scene ya billy ni nzuri unafurah kumuona akiongea na the way he carry him self,ila napenda MM na frenchie wanavyo jua kujiongeza yaaan
groot umenifurahisha kitu unajua nn, keeping up with the internet, movies and memes inakuwa ngumu kweli siku hiz, na ukiachwa unajihis kama unazeeka flanInabidi na mimi niiangalie hiyo the boys sasa.
Kweli aisee😂😂. Maana nimejikuta kila siku naachwa njia panda😅groot umenifurahisha kitu unajua nn, keeping up with the internet, movies and memes inakuwa ngumu kweli siku hiz, na ukiachwa unajihis kama unazeeka flan
Kuna siku nlikutana na wadau zangu tukawa mahali wanaongelea stranger things wakati sijaona hata episode moja siku ile nlijiuliza nmefuata nini hapa [emoji23][emoji3064]
Janja janjaMCU wana akili sana ya kupiga pesa, kila series yao, iwe animated au live action, wanaunganisha na muvi inayosubiriwa. kudos kwa the fegie bros na team yao nzima.
Watoto wengi wameangalia.Ms. MARVEL Imevunja rekodi ya highest score kwa tv series zote za marvel [emoji23][emoji23]View attachment 2290907
Ms. MARVEL Imevunja rekodi ya highest score kwa tv series zote za marvel 😂😂View attachment 2290907
Watoto wengi wameangalia.
Maana mzigo wa Moon knight watoto wa Nickelodeon hawawez kubaliwa kuangalia na wazazi wao. my guess hahahaha
Wahindi na wapakistan sababu imetangaza asili na utamaduni wao duniani.Walio review hao bila shaka ni vitoto😂
Wahindi na wapakistan sababu imetangaza asili na utamaduni wao duniani.