Marvel Cinematic Universe special thread

Marvel Cinematic Universe special thread

[emoji378]
FB_IMG_1657956757373.jpg
 
Ms marvel ni mutant(X-Men) Bora wangemuacha awe inhuman tu ,sijui kwanini wali introduce black bolt ngoja tusubiri sdcc feige stasemaje
 
I respect Keanu ila hii role abaki Jamaa yule wa The Agents of Shield... Gabriel Luna nafikir
Honestly, watakuwa wanazingua sana. Walete sura mpya. Big stars wa marvel hawakuwa maarufu sana kabla ya kuingia hapo mcu, ila cheki now, kina chris pat, chris hemsworth, cap A, antonie, tony stark, mark ruffalo, late black panther, scarlett johansson etc. Kuleta an already established big actor/ess, ni kama wana-"ride" mafanikio individual ya huyo muigizaji.

For instance, ishu ya kumleta Charlie Theron kama Clea pale mwisho wa doc starnge, personally niliona wamezingua hivi. Tayari nishamwona theron katika block buster kadhaa hivi karibuni fast&furious, old guard etc katika role inayofanana, "a badass-asskicker woman with looks that can literally kill", na mcu naoi wanadandia tena hapo. Waingie chimbo wawatafute wapya.

personal opinion.
 
"a badass-asskicker woman with looks that can literally kill",

personal opinion.

hii description iko on point sana...brother wewe ni jini 😅🙌🏽

and nakubaliana na mawazo yako kumchukua mtu ambae hajawa star sana inakuwa rahis kufanya debut when it comes to superhero movies ... na tushazoea Marvel hawategemei kuuza movies zao kutokana na bignames za casting yao kama wanavyofanya Netflix (Red Notice)

Casting yao sasa hivi kuna mahali hapako sawa, mfano Eternals wamejaza A-listers kibao Angelina Jolie binafsi nilikuwa nategemea afanye mambo mengi lakini kaishia kuwa ana freak out kila akipata screen time... wakajaza cast ya GOT na hamna la maana movie ikawa Flop

Walete new blood aisee na sio Keanu maana nikimuona namuona John Wick...without beards anakuwa Neo/Mr Anderson
 
So guys, ina maana Thor bado tunae??? Maana ilivyoishia ni Jane kafa na Thor anaendeleza mapambano na yule Mtoto, nilijua Thor ndio movie yake ya mwisho na Jane ana take over...
20220717_195600.jpg
 
hii description iko on point sana...brother wewe ni jini 😅🙌🏽

and nakubaliana na mawazo yako kumchukua mtu ambae hajawa star sana inakuwa rahis kufanya debut when it comes to superhero movies ... na tushazoea Marvel hawategemei kuuza movies zao kutokana na bignames za casting yao kama wanavyofanya Netflix (Red Notice)

Casting yao sasa hivi kuna mahali hapako sawa, mfano Eternals wamejaza A-listers kibao Angelina Jolie binafsi nilikuwa nategemea afanye mambo mengi lakini kaishia kuwa ana freak out kila akipata screen time... wakajaza cast ya GOT na hamna la maana movie ikawa Flop

Walete new blood aisee na sio Keanu maana nikimuona namuona John Wick...without beards anakuwa Neo/Mr Anderson
Bro, Theron anajicho flani hivi akikuangalia, woi, moyo unamelt tu.

Jolie walizingua sana mkuu, then wakampa jina la Thena/Athena, a freaking goddess of war, then wao wakamdogolisha flani hivi, hata fight scenes zake zilikuwa subpar sana. Athena anamkalisha chini ares na hercules kwenye combat, mle wanatuonesha anaweweseka tu, like wtf, arya stark would have done better.

plus walivyomuua gilgamesh, man, i was sad.
 
So guys, ina maana Thor bado tunae??? Maana ilivyoishia ni Jane kafa na Thor anaendeleza mapambano na yule Mtoto, nilijua Thor ndio movie yake ya mwisho na Jane ana take over...View attachment 2294646
Thor itakuwa bado yupo yupo, hakuna avenger wa kupigana na hercules man-to-man kwa sasa. plus comics zipo hivyo{ingawa hawako comic accurate}
 
Bro, Theron anajicho flani hivi akikuangalia, woi, moyo unamelt tu.

Jolie walizingua sana mkuu, then wakampa jina la Thena/Athena, a freaking goddess of war, then wao wakamdogolisha flani hivi, hata fight scenes zake zilikuwa subpar sana. Athena anamkalisha chini ares na hercules kwenye combat, mle wanatuonesha anaweweseka tu, like wtf, arya stark would have done better.

plus walivyomuua gilgamesh, man, i was sad.
Btw nilikuwa nawaza kwanini arya kachelewa sana kuja mcu.
Wait,kwenye new mutant yule si arya stark?
 
Back
Top Bottom