Marvel Cinematic Universe special thread

Marvel Cinematic Universe special thread

Connie (butcher's mum)

phone ringing

butcher: Hello,Mum
Connie: Hey, Billy,
you ain't been picking up
butcher:Yeah, we're in a meeting.
Connie:I-i'm in New York.
butcher:Look,i told judy to tell you not to fucking come.
connie:Oh. Language
butcher:its a bleedin expensive plane ticket.
All right? and i ain't got the time to just....
connie:Billy, he's dead.
Your father's dead.
connie: You there?
butcher: when did that happen?
connie:can i see you please?
I need to see you right now.


Kama unataka kuwaenjoy mabibi kutoka London sikiliza BBC radio kwenye zile documentary.
Nime enjoy sana kumsikiliza connie kuliko walivyo onana kuna namna flani hivi mabibi wa Britain una enjoy kuwasikiliza

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
I AM GROOT official trailer imetoka mda huu

Screenshot_20220722-220519_1.jpg
 
Lads, niko confused kidogo hapa, naombeni mniweke sawa..
Kuna uhusiano gani wa Mcu_Asgard na Norse gods???? Maana watu waliopo asgard ie hela, loki, thor, odin ndio haohao wapo kwenye mythology ya norse gods.
Msaada tafadhali wajuvi.
 
Lads, niko confused kidogo hapa, naombeni mniweke sawa..
Kuna uhusiano gani wa Mcu_Asgard na Norse gods???? Maana watu waliopo asgard ie hela, loki, thor, odin ndio haohao wapo kwenye mythology ya norse gods.
Msaada tafadhali wajuvi.
Kwa maoni yangu sioni utofauti ila kuna utofauti ninaouona hapa ni vile wanavyoelezewa (inategemea ni wapi unapokea info zao) ila maudhui yanabaki palepale kwa pande zote mbili.
 
niaje wakuu, natumai mpo pouwa. mimi ninataka ku-share some nuggets of gold katika maswala ya film, ingawa sio mcu, ila madirector au events, na actors ni favourite kutoka mcu.

1. The gray man
Aisee, hii kitu iko pouwa. kama mliangalia terminal list mkaipenda, basi hii utaipenda pia. ina vibe la "john wick, nobody na extraction" kwa pamoja. Directors ni The Russo bros(hakuna mcu bila hawa jamaa), wameitendea vyema movie, pia yupo "cap A" katika nafasi ya roho mbaya, kwa maoni yangu kaitendea vyema sana, Pia kuna ryan gosling, mwamba alipotea sana, kafanya vyema sana, hopefully ndo itakuwa time ya yeye kurudi kwenye spotling.

imeshatoka, imeandalia na netflix.


2. The Woman King
Bila shaka wote tunawafahamu "Dora miraje", wale walinzi wa familia ya kifalme ya Wakanda, pia wanashika nafasi ya ujenerali katika nchi ya wakanda(kwenye what if tuliona mama yake black panther ni general anayeongoza jeshi la waknda, pia alitoka katika kikosi cha Dora miraje){Pia Black ponther ali-freeze alivyomuona lupita nyongo ambae ni covert operative/spy kutoka kikosi cha dora miraje, labda tungekuja kuona black panther akimuoa huyo dora miraje.[Until Valhalla, Chadwick.]}.

Sasa, tushawahi kufikiria labda Dora miraje ni "Inspiration" kutoka historia ya kweli? Kwamba kuna kikundi cha kijeshi cha wanawake watupu kilichowahi kuwepo hapa africa? Na kilikuwa vyema katika medani za vita?

Woman King inatupa muono kidogo wa kikosi cha walinzi wanawake wa ufamle wa Dahomey(Dahomey women warriors), waliokuwa na jukumu la kulinda familia ya kifamle na ufamle wa dahomey kwa ujumla. imekaa pouwa sana{trailers}, pia humo ndani kuna fight scenes{kutoka kwenye trailer} zimekaa ki-dora miraje sana(tunajua kutokana na mcu, dora miraje wako pouwa sana, si waoga, na wanajua wakifanyacho, well, bucky, cap A mpya na yule Cap A wa muda kutoka falcon and winter soldier, wanaifahamu shughuli yao ipasavyo). Dahomey inapatika huko Benin.

Waigizaji, mimi nimemuona na kumfahamu mmoja tu, yule mother black wa kwenye Suicide squad. anatoa shoo ya nguvu.

bado ni trailer tu, ila inatoka mwezi wa 9 au 10. kwa maoni yangu, ni worth the watch.
 

Attachments

  • Capture.PNG
    Capture.PNG
    732.1 KB · Views: 13
  • Capture1.PNG
    Capture1.PNG
    189 KB · Views: 13
  • Capture2.PNG
    Capture2.PNG
    427.4 KB · Views: 16
niaje wakuu, natumai mpo pouwa. mimi ninataka ku-share some nuggets of gold katika maswala ya film, ingawa sio mcu, ila madirector au events, na actors ni favourite kutoka mcu.

1. The gray man
Aisee, hii kitu iko pouwa. kama mliangalia terminal list mkaipenda, basi hii utaipenda pia. ina vibe la "john wick, nobody na extraction" kwa pamoja. Directors ni The Russo bros(hakuna mcu bila hawa jamaa), wameitendea vyema movie, pia yupo "cap A" katika nafasi ya roho mbaya, kwa maoni yangu kaitendea vyema sana, Pia kuna ryan gosling, mwamba alipotea sana, kafanya vyema sana, hopefully ndo itakuwa time ya yeye kurudi kwenye spotling.

imeshatoka, imeandalia na netflix.


2. The Woman King
Bila shaka wote tunawafahamu "Dora miraje", wale walinzi wa familia ya kifalme ya Wakanda, pia wanashika nafasi ya ujenerali katika nchi ya wakanda(kwenye what if tuliona mama yake black panther ni general anayeongoza jeshi la waknda, pia alitoka katika kikosi cha Dora miraje){Pia Black ponther ali-freeze alivyomuona lupita nyongo ambae ni covert operative/spy kutoka kikosi cha dora miraje, labda tungekuja kuona black panther akimuoa huyo dora miraje.[Until Valhalla, Chadwick.]}.

Sasa, tushawahi kufikiria labda Dora miraje ni "Inspiration" kutoka historia ya kweli? Kwamba kuna kikundi cha kijeshi cha wanawake watupu kilichowahi kuwepo hapa africa? Na kilikuwa vyema katika medani za vita?

Woman King inatupa muono kidogo wa kikosi cha walinzi wanawake wa ufamle wa Dahomey(Dahomey women warriors), waliokuwa na jukumu la kulinda familia ya kifamle na ufamle wa dahomey kwa ujumla. imekaa pouwa sana{trailers}, pia humo ndani kuna fight scenes{kutoka kwenye trailer} zimekaa ki-dora miraje sana(tunajua kutokana na mcu, dora miraje wako pouwa sana, si waoga, na wanajua wakifanyacho, well, bucky, cap A mpya na yule Cap A wa muda kutoka falcon and winter soldier, wanaifahamu shughuli yao ipasavyo). Dahomey inapatika huko Benin.

Waigizaji, mimi nimemuona na kumfahamu mmoja tu, yule mother black wa kwenye Suicide squad. anatoa shoo ya nguvu.

bado ni trailer tu, ila inatoka mwezi wa 9 au 10. kwa maoni yangu, ni worth the watch.
Wa Suicide squad ni Viola Davis mwanamama anafanya kazi nzuri sana ni súper talented kwakweli

Nimeangalia trailer ila kwenye comment section naona people are on each other throats kila mtu ana lake la kusema kuhusuana na ufalme wa Dahomey

wanasema basically the history of Dahomey Kingdom ni kwamba... ufalme ulikuwa unanguvu za kijeshi kukamata waafrica wenzao na kuwauza kwa whites kama slaves, kulipotokea ile abolition ya slave trade ilisababisha hiyo Kingdom ku colapse maana haikuwa na nguvu tena

Kwahiyo hiyo Movie ni sehemu nyingine ya Hollywood kufeli kumuwakilisha muafrica on the big screen.. God, hii Movie ikitoka itazid kuwa controversial maana sio ule ubishani

Btw i don’t know shit about history nataka nikafuatlie kidg nifahamu zaid kuhusu hiyo Kingdom
 
Wa Suicide squad ni Viola Davis mwanamama anafanya kazi nzuri sana ni súper talented kwakweli

Nimeangalia trailer ila kwenye comment section naona people are on each other throats kila mtu ana lake la kusema kuhusuana na ufalme wa Dahomey

wanasema basically the history of Dahomey Kingdom ni kwamba... ufalme ulikuwa unanguvu za kijeshi kukamata waafrica wenzao na kuwauza kwa whites kama slaves, kulipotokea ile abolition ya slave trade ilisababisha hiyo Kingdom ku colapse maana haikuwa na nguvu tena

Kwahiyo hiyo Movie ni sehemu nyingine ya Hollywood kufeli kumuwakilisha muafrica on the big screen.. God, hii Movie ikitoka itazid kuwa controversial maana sio ule ubishani

Btw i don’t know shit about history nataka nikafuatlie kidg nifahamu zaid kuhusu hiyo Kingdom
yap, viola davis.

tunajua ni falme nyingi za kiafrica zilifanya hivyo. baada ya vita waliuza mateka na kuwaoa wakezao kama "spoils of war', we all know that. kutokana na hiyo ndo tunakutana na jamii mpya, mfano carribean islandsm origin ya pipo zake ni huko, benin/dahomey wa dini yao inaitwa vudon, carribean wanaita voodoo.

hiyo kwa comment section ndo mambo ya "political correctedness", kila kitu kina pande mbili, dini, maisha, tamaduni etc. hollywood wameamua kuonesha upande mmoja, hao wengine waoneshe upande mwingine.

the kingdom ni interesting bro, mpaka leo wapo, wanam-serve "woman king" wao.
 
yap, viola davis.

tunajua ni falme nyingi za kiafrica zilifanya hivyo. baada ya vita waliuza mateka na kuwaoa wakezao kama "spoils of war', we all know that. kutokana na hiyo ndo tunakutana na jamii mpya, mfano carribean islandsm origin ya pipo zake ni huko, benin/dahomey wa dini yao inaitwa vudon, carribean wanaita voodoo.

hiyo kwa comment section ndo mambo ya "political correctedness", kila kitu kina pande mbili, dini, maisha, tamaduni etc. hollywood wameamua kuonesha upande mmoja, hao wengine waoneshe upande mwingine.

the kingdom ni interesting bro, mpaka leo wapo, wanam-serve "woman king" wao.
ngoja tusubiri hiyo sept... ila trailer kali sana nimependa nimeona mwanadada mmoja anapiga ile move ya black Widow

Halafu sielewagi wa Africa tunashida gani unajua baadhi ya tribes zilikuwa hazipendanagi toka zaman alafu tunakimbia kumtupia lawama mzungu kuwa mbaya, of course ana ubaya wake lakini na sisi sio ndio innocent kivile
 
Xaph87 The Gray Man itabid niicheki japo sikupenda gosling awe lead character

and title iko lame, 😁 mtu mwingine anaweza akasema mimi ni hater...just a thought tu ndg zangu
 
Xaph87 The Gray Man itabid niicheki japo sikupenda gosling awe lead character

and title iko lame, 😁 mtu mwingine anaweza akasema mimi ni hater...just a thought tu ndg zangu
Huna tofauti na mimi bro, ila aicheki bro, netflix wamepatia sana.

Kuhusu jina la title utapa ufumbuzi ndani ya movie, kwanini iwe "The gray man."
 
Back
Top Bottom