Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Umeona eeh, ila yeye kaelezea in deepNaona wote mnaelezea kitu sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeh, ila yeye kaelezea in deepNaona wote mnaelezea kitu sawa
Ingekua ni mtihani ulikua ushafeli,Hapana Naomba nikukosoe kidogo HOD inaelezea zaidi tukio la vuta ya wenyewe kwa wenyewe katika koo ya Targaryen. Vita hivyo inafahamika kama A dance of Dragons kipo kitabu chake... Nadhani HOD itatuonyesha pia jinsi House Strong kutoka mji wa Harenhall ulivyoteketea. Nasubiri nione pia kama wataonyesha jinsi koo ya Castamere ilivyoteketezwa na koo ya Lannisters. Hadi wakatunga wimbo wa The rain of Castamere [emoji3577]
Unataka kusemaje Danvers jamaniHii wiki naona kwangu ilianza vibaya na ninaimaliza vibaya
Avatar iliyopo theaters si ni ile ya 2009, wamerudia kuitoa tena kwa mara ya tatu sasa[emoji23][emoji23][emoji23]Watu wasiri humu kumbe Avatar iko Theatre na hatuambizani kweli!
Nazeeka aisee
Kumbe aahAvatar iliyopo theaters si ni ile ya 2009, wamerudia kuitoa tena kwa mara ya tatu sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
Avatar 2 ( the way of water ) itakuwa released 16 December 2022.
Umenifumbua macho mbona Aura walikua wanaenda kula hela yangu jumatano hii [emoji134]Avatar iliyopo theaters si ni ile ya 2009, wamerudia kuitoa tena kwa mara ya tatu sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
Avatar 2 ( the way of water ) itakuwa released 16 December 2022.
Ni nani huyu??
Aah kama ni ile ya 2009 siendi kuingalia nitasubiri hiyo Dec in shaa Allahhahah kweli sema hata part 1 hatuelewi tunaenda tena kuangalia kwa sababu c’me on it’s freaking Avatar... The visual is insaneView attachment 2369063
Jana nimecheck Thor love and thunder sina cha kusema zaidi ya I'm disappointed.
Wametumia nguvu nyingi kuifanya kama Ragnarok lakini wamefeli vibaya.
Aura chaka letu pendwaUmenifumbua macho mbona Aura walikua wanaenda kula hela yangu jumatano hii [emoji134]
Kumbe ni ile ya zamani yaani wanatukumbusha ya zamani then waje watoe mpyaaa!!!?
Alien kazama kwa Asta kinouma.Guys hivi hii series nani kaiona???
Aisee nimecheeeeeka nadhani tangu mwaka uanze ndio nimecheka namna hii,
That Man is a real Comedian [emoji119]View attachment 2362642
Huyu mwamba hachomoki kwa Asta.Baadae kalainika ameshakua attached na Humans World, madai yake amekua inlove
Namor the Sub-Mariner (born Namor McKenzie) is an anti-hero in the Marvel Universe, and is the son of an Atlantean princess and a human, making him a mutant-Atlantean hybrid. Despite often being a villain himself, he has redeemable qualities, and is willing to not only protect the sea, but the world.Ni nani huyu??
Tutamuona kwenye black pantherNi nani huyu??
Katengeneza hadi Handaki la kujificha wao wawili tu sasa anatafuta watu wa kuwasaidia kupika na kufua wakiwa kwenye handaki yeye na Asta [emoji1787]Huyu mwamba hachomoki kwa Asta.
Sawaa ngoja tuone umachachari wakeTutamuona kwenye black panther