Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Hua naipita tu nadhani nitaiangalia nicheke na mieView attachment 2369756Hii movie nimeiangalia Jana iko funny [emoji16] ina comedy haijajichukulia serious nimeielewa nkaona nifanye sharing
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hua naipita tu nadhani nitaiangalia nicheke na mieView attachment 2369756Hii movie nimeiangalia Jana iko funny [emoji16] ina comedy haijajichukulia serious nimeielewa nkaona nifanye sharing
Alimchagua baba yake asta kama mpishi, akienda kwenye dinner ya baba yake asta anapenda kula pie kinouma. Atawanyima wote ila sio Asta.Katengeneza hadi Handaki la kujificha wao wawili tu sasa anatafuta watu wa kuwasaidia kupika na kufua wakiwa kwenye handaki yeye na Asta [emoji1787]
Alien mpuuzi sana, kuna kitu nashindwa kukielezea ambacho zaidi ndio kimenifanya niipende ile series na uigizaji wa Alien, yaan anaweza akaropoka jambo wengi wasimtilie maanani hadi muhusika mwenyewe ndio ajue, friji lake haligandishi ukimwambia kitu anaropoka hajali kinaweza kuleta madhara ganiAlimchagua baba yake asta kama mpishi, akienda kwenye dinner ya baba yake asta anapenda kula pie kinouma. Atawanyima wote ila sio Asta.
Si hana emotions, ndio maana anakuwa vile(though saa hivi ndo kaanza kujifunza mambo ya emotions, anaona kuwa na emotions ni weak trait.), mambo ya consequences hajali, mpaka Asta amwambie.Alien mpuuzi sana, kuna kitu nashindwa kukielezea ambacho zaidi ndio kimenifanya niipende ile series na uigizaji wa Alien, yaan anaweza akaropoka jambo wengi wasimtilie maanani hadi muhusika mwenyewe ndio ajue, friji lake haligandishi ukimwambia kitu anaropoka hajali kinaweza kuleta madhara gani
Ewaaa sasa hapa ndio umenifafanulia kile nilichoshindwa kukisema hana emotions.... Alivyomuumbua Asta kwa familia yake kua ana Mtoto wa miaka 16 [emoji2] wakati mwenyewe alifanya siri [emoji119]Si hana emotions, ndio maana anakuwa vile(though saa hivi ndo kaanza kujifunza mambo ya emotions, anaona kuwa na emotions ni weak trait.), mambo ya consequences hajali, mpaka Asta amwambie.
Yeah man saw this news too, needless to say m so pumped right now for deadpool 3.HUGH JACKMAN IS COMING BACK FOR DEADPOOL 3 people......![emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
View attachment 2370161
Detective comicsKirefu cha DC Ni nini, pia naomba kujua haya makampuni Marvel na Dc ni tofauti au ni kampuni moja
Hii ndo project niliokuwa naisubiria kinoma😑😑 dah Koh Hapa 2023 Kuna movie 3 za marvel
Ok now lupita kawa pure definition ya african queenNew pictures from Black panther 2
View attachment 2371767View attachment 2371768View attachment 2371769
Nahitaji Official trailer sasa. Can't wait anymore.
Kwa sababu gani yale mandege ndege?Hiii top gun ichukue tuzo zote
[emoji3][emoji3] eti Yale mandege, kiongoz hio movie haijatengenezwa studio kipuuzi kama hizi zinazopambwa na mavfx kwanzia mazingira hadi nguoKwa sababu gani yale mandege ndege?
Kitu kwenye Military camp kweli[emoji3][emoji3] eti Yale mandege, kiongoz hio movie haijatengenezwa studio kipuuzi kama hizi zinazopambwa na mavfx kwanzia mazingira hadi nguo
Tom cruise akili nyingi sana
DCBlack Adam imetayarishwa na marvel au dc
Ni Kampuni tofauti zinazotengeneza Movie za universes tofauti zilizo katika genres zinazofanana, kiufupi hawa ni competitors though siku hizi there’s no much of anyDc na marvel ni kampuni moja au
ARMOR WARS sasa kuwa single movie badala ya series kama ilivyopangwa hapo mwanzo. View attachment 2372055View attachment 2372056
Ni taarifa nzuri..!