Marvel Cinematic Universe special thread

Marvel Cinematic Universe special thread

Daah zombie strange hawa jamaa wameamua
FB_IMG_16449023487999899.jpg
 
Hivi huyu mr Whitman (john snow) anakua ni nani?
Ile sword ni eskalaba kama ni ndio maana anakua Arthur?

Alafu ikaris ni yule ndugu yake john snow kwenye GOT?

Nimegundua anaongea English ya Ireland au niseme kama wale wa peak blinders

Post credit mbili? MCU hatari sana.

Nawaza tu jamaa akigundua nguvu zake kwaiyo atainua panga lake na kumtafuta sersi uko kwa srishem?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nani anaweza dadavua ile sauti iliyosema "are you sure you are ready for that Mr.whitman?" Ni nani?
 
Kingsman

Son: I can't wait for my solo flight

Father:do you remember what happened to ikaris when he flew close to the sun?

Daah kama haujaona eternals hauwezi elewa hii conversation
Wazungu bhana
 
Hivi huyu mr Whitman (john snow) anakua ni nani?
Ile sword ni eskalaba kama ni ndio maana anakua Arthur?

Alafu ikaris ni yule ndugu yake john snow kwenye GOT?

Nimegundua anaongea English ya Ireland au niseme kama wale wa peak blinders

Post credit mbili? MCU hatari sana.

Nawaza tu jamaa akigundua nguvu zake kwaiyo atainua panga lake na kumtafuta sersi uko kwa srishem?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nani anaweza dadavua ile sauti iliyosema "are you sure you are ready for that Mr.whitman?" Ni nani?
Ile ni Ebony Blade mkuu, sio Excalibar, na Whitman atakuwa Black knight kama sijakosea.
 
Kingsman

Son: I can't wait for my solo flight

Father:do you remember what happened to ikaris when he flew close to the sun?

Daah kama haujaona eternals hauwezi elewa hii conversation
Wazungu bhana
Mkuu, King'sman imekuwa set kipindi cha WW1, pale walikuwa hamuongelei ikaris wa eternal, ila ni jamaa mwingine kabisa katika Greek mythology(ambapo the idea ya Icarus imetokea).
 
Mkuu, King'sman imekuwa set kipindi cha WW1, pale walikuwa hamuongelei ikaris wa eternal, ila ni jamaa mwingine kabisa katika Greek mythology(ambapo the idea ya Icarus imetokea).
It make sense now.
Thanks
 
Mkuu, King'sman imekuwa set kipindi cha WW1, pale walikuwa hamuongelei ikaris wa eternal, ila ni jamaa mwingine kabisa katika Greek mythology(ambapo the idea ya Icarus imetokea).

Kumbe kuna mtu anasomaga greek mythology humu aisee Percy Jackson, dah nimekumbuka hivyo vitabu
 
Ile ni Ebony Blade mkuu, sio Excalibar, na Whitman atakuwa Black knight kama sijakosea.
Naam Dane Whitman atakua Black Knight na kuna uwezekano akawepo pa kwenye muvi ya Blade mwaka 2024.
Mkuu, King'sman imekuwa set kipindi cha WW1, pale walikuwa hamuongelei ikaris wa eternal, ila ni jamaa mwingine kabisa katika Greek mythology(ambapo the idea ya Icarus imetokea).
You're right.
Kumbe kuna mtu anasomaga greek mythology humu aisee Percy Jackson, dah nimekumbuka hivyo vitabu
I do too.
Na sio kwamba Classsical mythology pekee bali hadi mythology za afrika hasa hapa Bongo Especially Maasai mythology. Kuna kitu nilikua naandika toka march 2021 kuhusu Mythology around the global niliishia njiani. Maana post ingekua ndeeefu sana!!
Btw Usomaji wa Mythology mbalimbali unafanya ujitenge na Jews mythology ambayo tunaitumia sasa binaadamu wengi🚶🚶🚶
 
Daah nimeangalia leo asubuhi DS2 trailer yake

Man niseme tu ..shit's getting real




Naona marvel sasa wame introduce X-Men kwenye universe yao daah cha kushangaza zaidi sanamu la my favorite character loki [emoji1787] nimeliona



Anyway Kuna possibility kweli kuwa na iron Man variant ambaye inasemekana atacheza tom cruise daah si mmeona Ultron amekuwa programmed kwenye yale maroboti
Kama Ultron atarudi jamani James Spader ndio aweke sauti na sio Ross maquand kama walivyofanya kwenye What if....?

Ila mimi ningependa James McAvoy ndio angecheza nafasi ya Professor X maana bado kijana na Stewart ndo ivo umri umeenda.
Illuminati they're coming kama nilivyoeleza post zilizopita huko nyuma, nadhani bado Mr Fantastic tu kundi litimie. Ngoja tusubiri Fantastic Four itoke tuone.

Mungu atujailie Uhai na afya wite huumu
Za ndaaaani kabisa zinasema deadpool atakuwepo View attachment 2119999
Nadhani hii Muvi itatumika kuingiza character wote waliokuwepo Fox hivyo tutegemee kuona mengi zaidi. Natumain End credit scene watakuwepo Fantastic Four
 
Hivi huyu mr Whitman (john snow) anakua ni nani?
Ile sword ni eskalaba kama ni ndio maana anakua Arthur?

Alafu ikaris ni yule ndugu yake john snow kwenye GOT?

Nimegundua anaongea English ya Ireland au niseme kama wale wa peak blinders

Post credit mbili? MCU hatari sana.

Nawaza tu jamaa akigundua nguvu zake kwaiyo atainua panga lake na kumtafuta sersi uko kwa srishem?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nani anaweza dadavua ile sauti iliyosema "are you sure you are ready for that Mr.whitman?" Ni nani?

Ila eternals aisee eti John snow na Rob stark wote wanampenda sersi... Lanister i guess [emoji23][emoji23][emoji23]

*Maana cerci had a thing for brothers
 
I do too.
Na sio kwamba Classsical mythology pekee bali hadi mythology za afrika hasa hapa Bongo Especially Maasai mythology. Kuna kitu nilikua naandika toka march 2021 kuhusu Mythology around the global niliishia njiani. Maana post ingekua ndeeefu sana!!
Btw Usomaji wa Mythology mbalimbali unafanya ujitenge na Jews mythology ambayo tunaitumia sasa binaadamu wengi🚶🚶🚶
Mythologies ziko pouwa sana na interesting pia. Ziko- integrated kwenye vitu vingi sana hasa kwenye astronomy(constellations etc), logo za makampuni/brands(eg Subaru - "The plaides") etc.

Mythology yangu ya kwanza kabisa ni "journey to the west"(kipindi nilikuwa naijua kama "SHIVOOO"), ilikuwa inaoneshwa na itv enzi hizo. Ndo nikawa exposed kwa "Monkey King", moja ya myths safi sana za kichina, akina nine-tailed fox(alionekana kwa shang chi) plus ile misimba yao, na dragons, bila kumsahau pheonix bird.

Then ndo zikija Greeko-latin-roman myths kuhusu kina Zeus,Jupiter,Mars, VeNus, Poseidon, Hades, Vulcan, Apollo, Hygeia, Asclepius(god of healing, child of apollo, ile staff yenye nyoka kwenye mashirika mengi ya hospitali na afya inaitwa "staff of Asclepius") , Febris, Hercules, Achilles, gods na demigods na mortals waliofanya mambo yao etc.

Nordic myths ndo bora kwangu, kina Odin(the all father), Thor na wanae, Freya/Freyja, Valkyries, The Aesir. Idea ya kwamba ukiwa uwanja wa vita/mapambano haijalishi ulikuwa rafiki au adui, wote mtaenda sehemu moja, huko mtapokelewa kama mashujaa, Valhalla au Freya's/Freyja's field.

Mythy za kiafrika zile za kaskazini na magharibi zipo pouwa, na pia za africa ya kati(Congo DRC).
 
Mythologies ziko pouwa sana na interesting pia. Ziko- integrated kwenye vitu vingi sana hasa kwenye astronomy(constellations etc), logo za makampuni/brands(eg Subaru - "The plaides") etc.

Mythology yangu ya kwanza kabisa ni "journey to the west"(kipindi nilikuwa naijua kama "SHIVOOO"), ilikuwa inaoneshwa na itv enzi hizo. Ndo nikawa exposed kwa "Monkey King", moja ya myths safi sana za kichina, akina nine-tailed fox(alionekana kwa shang chi) plus ile misimba yao, na dragons, bila kumsahau pheonix bird.

Then ndo zikija Greeko-latin-roman myths kuhusu kina Zeus,Jupiter,Mars, VeNus, Poseidon, Hades, Vulcan, Apollo, Hygeia, Asclepius(god of healing, child of apollo, ile staff yenye nyoka kwenye mashirika mengi ya hospitali na afya inaitwa "staff of Asclepius") , Febris, Hercules, Achilles, gods na demigods na mortals waliofanya mambo yao etc.

Nordic myths ndo bora kwangu, kina Odin(the all father), Thor na wanae, Freya/Freyja, Valkyries, The Aesir. Idea ya kwamba ukiwa uwanja wa vita/mapambano haijalishi ulikuwa rafiki au adui, wote mtaenda sehemu moja, huko mtapokelewa kama mashujaa, Valhalla au Freya's/Freyja's field.

Mythy za kiafrika zile za kaskazini na magharibi zipo pouwa, na pia za africa ya kati(Congo DRC).
Basi kutufundisha tupia hapa kama unavyo am sure wadau hawawez kumind
 
Da'Vinci hii scene peter ni kama alitoka kidogo nje ya character akaongea British accent, am sure nipo sahihi,ila nawaza why wameruhusu hii kitu itoke ivyo ivyo? Au kwa vile ilikua kidogo sana.
IMG_20220215_172213_706.jpg
 
Kama sio misogynistic cheki Movie inaitwa
  • The 355
    Then angalia
  • Kingsman
  • uncharted, hii usubir kidogo maana iko cinemas sasa hivi
Nimemalizana na kingsman long live kingsman asante kwa your suggestion. Ongeza nyingine tamu kama hiyo😎
 
Back
Top Bottom