Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unanifanya niwaze kitabu nlichosomaga cha comic cha galactic dark net star alikuwa hang langHuyu wa kwenye Quantumania sio mkali ndio maana Ant-Man kamshinda kirahisi. Someni comics jamani, msimuchukulie poa Kang.
Hivi una jua kang ana version nyingine ambayo anajiita Iron Lad, alijigeuza akawa mtoto ana tumia Technology kuliko ya Sark japo inafanana nae. Ni balaa, usimchukulie poa
Shang chi hana superpower yoyote ile yeye anapiga mkono tu. Unless atumie zile ring. Hata hivyo hafui dafu kwa Kang. Version ya Rama-Tut inajua trick zote alizonazo wong.
Kang ni habari nyingine ngoja tukifika kwa Galactus sijui mtasemaje sasa. Maana sterling ni hawa hawa na Galactus yeye anaweza kuila dunia au Solar system nzima
DCU inachekesha sana sijui labda kwa hizi project zinazokuja lakin hizi zilizotoka hapa nyuma zinatia kichefuchefuDa'Vinci karibu DCU....[emoji23] MCU saivi hamna kitu... Ni flop after flop....[emoji23] Nadhani we mwenyewe unajionea..
Ndo maana yake.... Hizi project za James Gunn zitakua[emoji91][emoji91][emoji91]DCU inachekesha sana sijui labda kwa hizi project zinazokuja lakin hizi zilizotoka hapa nyuma zinatia kichefuchefu
Tuseme Tu ukweliDa'Vinci karibu DCU....[emoji23] MCU saivi hamna kitu... Ni flop after flop....[emoji23] Nadhani we mwenyewe unajionea..
hujaielewa.... unaweza kuelezea inahusu nini??Tuseme Tu ukweli
Hii muvi mbaya bhanaa [emoji38][emoji38]View attachment 2602606
Mwanzo alivyosema kuwa snyder verse imekufa nilichukia lakin baada ya kuziachia project zake kweli nimeona ana malengo na DCNdo maana yake.... Hizi project za James Gunn zitakua[emoji91][emoji91][emoji91]
kabisa kanisa.... ila hatuna sababu ya kufurahia 100% movie hazitabirikiMwanzo alivyosema kuwa snyder verse imekufa nilichukia lakin baada ya kuziachia project zake kweli nimeona ana malengo na DC
Ana project kama 25 ila ambazo ameshazitangaza ni 10 tunataka tumuone ni kweli kama ataipa upinzan marvelkabisa kanisa.... ila hatuna sababu ya kufurahia 100% movie hazitabiriki
james gunn yuko vizuri.... si ndo ame-direct GOTG...Ana project kama 25 ila ambazo ameshazitangaza ni 10 tunataka tumuone ni kweli kama ataipa upinzan marvel
Naweza kusema ni best superhero movie director baada ya Russo brothersjames gunn yuko vizuri.... si ndo ame-direct GOTG...
christopher nolan- the dark knight trilogyNaweza kusema ni best superhero movie director baada ya Russo brothers
Kweli sikuielewa kwa sababu muvi yenyewe inaboa balaa nikawa nasinzia tuhujaielewa.... unaweza kuelezea inahusu nini??
achana nayo tu kama inakuboa.... 😂Kweli sikuielewa kwa sababuuvi yenyewe inaboa balaa nikawa nasinzia tu
Kwakweli this time tumeangukia pua. But mind you kuanzia mwaka kesho mambo yatakua bambam. Covid-19 ndio ilifanya MCu iwe hivi leo.Da'Vinci karibu DCU....[emoji23] MCU saivi hamna kitu... Ni flop after flop....[emoji23] Nadhani we mwenyewe unajionea..
shida sio covid shida ni parent company. Disney wamefocus kwenye pesa kuliko burudani....Kwakweli this time tumeangukia pua. But mind you kuanzia mwaka kesho mambo yatakua bambam. Covid-19 ndio ilifanya MCu iwe hivi leo.
DC nasubiria The flash trailer yake imenihamasisha. Pia Transformers Rise of the beast it look interesting na zote zinatoka june 16
Kwa nini unasema hivyoshida sio covid shida ni parent company. Disney wamefocus kwenye pesa kuliko burudani....
chache mno..... wananunua franchises zinazopendwa na watu halafu wanazitolea project nyingi ili wachote pesa.....Kwa nini unasema hivyo
Kwani Disney hawajatoa muvi yoyote kali siku za usoni
Shabani kaoneka umeyakanyaga, shabani kaoneka umedandia mtumbwi wa vibwengo. Yaani unathubutu kunikosoa mimi😅shida sio covid shida ni parent company. Disney wamefocus kwenye pesa kuliko burudani....