Marvel Cinematic Universe special thread

Marvel Cinematic Universe special thread

Hii scene ya fast x pale kwenye mlipuko wa magari ya mafuta, inafaa kabisa kuombea nafasi ya kuwa ghost rider MCU
Maana ule moto kwenye matairi pale umenogesha sana na ile turbo charger pale daah noma sana
Ile scene ilikuwa ya kibabe sana
 
Dah
Ndio maana story naona siipati kabisa kwenye.
Nimeangalia zote Black Widow, Shang Chi R, Eternals ,Spider-Man: No Way Home , Doctor Strange in the Multiverse of Madness ,Thor Love and Thunder ,Black Panther Wakanda Forever, Ant-Man and the Wasp Quantumania ila naona hazina link up ngoja nianze kucheki hizo series ulizorecommend taratibu.

Kilichonifanya niamue kuangalia movie tu za marvel bila series ni sababu i grew up watching Star war Universe na Star trek Universe na nikawa Marvel nnaangalia movie moja moja last year ndo nikaanza kuangalia kwa mfuatano kufuata release date.

Tatizo linakuja Star War Universe na Star trek Universe wana a lot of movies and series having interconnected storyline with a vast timeline wanatoa almost series 4 kila mwaka. Itabidi nijibalance niangalie taratibu MCU.
Usisahau kuangalia WHAT IF utapata idea nzuri zaidi ya Multiverse
 
DCU David corenswet atakuwa superman mpya na Rachel Brosnahan atakuwa lois lane mpya kwenye movie ya Superman:legacy ambayo itakuwa released july,2025
1687897207483.jpg
 
So far James gunn namuona ndo director bora wa comic movies kuliko yeyoye, naona anaenda kuifanya DC kuwa bora kuliko marvel
Shida sio ubora wa director. Shida ilianzisha yeye mwanzoni kabisa kwa kuwagawa mashabiki ndani ya DC hapo unategemea nini? Akaenda mbali zaidi kwa kudharau mashabiki na maoni yao kwa ujumla
Screenshot_20230629-125108.png


Alichimba kaburi mwenyewe ajiandae kujifukia ndani yake.
 
Back
Top Bottom