Marvel Cinematic Universe special thread

Marvel Cinematic Universe special thread

Season 2

1691341612011.jpg
 
Mzee huu mzigo ni mkali nidownload na story yake inahusu nini kwa ufupi
Katuni kabisa unaita mzigo mkali ,
😁
😁
wakati wa kuangalia huwa mnajifungia wapi ili msionekane kuwa mnatizama katuni?
 
Naihitaji sana hii series inaitwa WESTWORLD. Naipata chimbo lipi toka season 1 mpaka 4? Nimeitafuta nimeikosa
20230816_192645.jpg
 
Bro, ana experience ya kum-match thor?
Thor ameenda against literal gods kwenye life yake, amemjerui hata Zeus, mkuu.

Tumeona stormbreaker ikiizidi nguvu beam ya Infinity gauntlet, sasa ile beam ya Captain Marvel itaizidi beam inayotolewa na Infinity stones.

Thor anamkalisha vizuri kabisa Hulk, Groot.
Valkyrie, Cap A., Abomination na wengineo wote wanakalishwa chini na Thor Odinson.

Mkuu, Thanos wa Infinity war au Endgame anamkalisha vizuri tu huyo Giah.

Captain Marvel anamkalisha vizuri tu Giah, tena akija ile version ya kwenye endgame ndo kabisa mkuu.

THOR ODINSON, tena bila hata ya kumweka in his ultimate god level, Anamkalisha vizuri sana Giah.

Kusema Galactus ndio wa kuja kuchapa Giah ni matumizi mabaya ya wale characters.

MCU wamefanikiwa kutengeneza moja ya characters Overpowered, ila huyo character hampigi Thor Odinson, King of Asgard, God of Lighting and Thunder.
Mcu strongest character so far anabaki kuwa
Mmoja tu nae ni ultron wa what if akiwa na ile armour ya infinity stones

Hands down and its not even close
Infinity ultron ni balaa akiwa na mindstone tu peke yake alimuondoa thanos in 5 seconds flat
 
Back
Top Bottom