LGE2024 Mary Chatanda: CCM ina Imani kubwa na Wanawake kwa Maendeleo ya Taifa

LGE2024 Mary Chatanda: CCM ina Imani kubwa na Wanawake kwa Maendeleo ya Taifa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwenyekiti wa UWT Taifa, Ndg. Mary Chatanda (MCC) amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina imani kubwa sana na wanawake na kinaamini wanamchango mkubwa sana kwa maendeleo ya Taifa.

1732516263090.png
Chatanda amayasema hayo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Riverside, Kata ya Mwembesongo waliojitokeza kwenye kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hii leo.

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Hata hivyo, Chatanda ameendelea na kampeni zake za Mtaa kwa Mtaa, Nyumba kwa Nyumba, Mguu Kwa Mguu huku akielezea mafanikio makubwa ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

1732516283405.png

1732516306242.png
 
WAJINGA WATAMWELEWA🙂Unaegua wagombea wote wa chadema unapiga kampen ya nn
 
ALIFIKA KARATU ANASEMA CCM ITASHNDA NA MKICHAGUA UPINZANI NANI ATAWALETEA MAENDELEO WAKATI HAWANA RAIS
 
Sawa mchango wao wote tumeona katika kukuza deni.Mungu awazidishie roho za kukopa.Hovyo kabisa
 
Hilo lishangazi linaongelea ccm ipi?
 
Wanawake wa CCM watatuletea Rais Mwanaume kutoka CCM 2025
 
Back
Top Bottom