Maryam Salim ateuliwa kuwa Meneja wa Benki ya Dunia nchini Cambodia

Maryam Salim ateuliwa kuwa Meneja wa Benki ya Dunia nchini Cambodia

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau wa JF

Nawasalimu wote kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Benki ya Dunia (World Bank) imefanya uteuzi wa Meneja wake Nchini Cambodia

Aliyeteuliwa ni Bi Maryamu Salim ambaye ni Mtanzania mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye sekta ya fedha duniani

Kabla ya uteuzi huo Bi Maryam alihudumu kwenye nafasi hiyo kwa muda wa miaka minne nchini Albania

Mteuliwa huyo ni Binti wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Dkt Salim Ahmed Salim

al-maryam-roma-report-event-439.jpg
 
Daaah mwisho wa siku nikajua jina litakuja Mariam matonya au rose kamba ndefu niseme mtoto gani huyo wa mkulima kaula huko duniani daah kumbe Asante kwa kutujuza binamu hamna la ajabu hapo kutokea namtakia Kila la kheri kwenye nafasi mpya alopewa akatuwakilishe vyema watanzania Sisi kina James mbelenyuma bado tuna safari ndefu ndio kwanza tunazisaka connection za kuukwaaa hata nafasi nyeti hapa nchini
 
Wadau wa JF

Nawasalimu wote kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Benki ya Dunia (World Bank) imefanya uteuzi wa Meneja wake Nchini Cambodia

Aliyeuliwa ni Bi Maryamu Salim ambaye ni Mtanzania mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye sekta ya fedha duniani

Sahihisha hapo kijana
 
Wadau wa JF

Nawasalimu wote kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Benki ya Dunia (World Bank) imefanya uteuzi wa Meneja wake Nchini Cambodia

Aliyeuliwa ni Bi Maryamu Salim ambaye ni Mtanzania mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye sekta ya fedha duniani

Kabla ya uteuzi huo Bi Maryam alihudumu kwenye nafasi hiyo kwa muda wa miaka minne nchini Albania

Mteuliwa huyo ni Binti wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Dkt Salim Ahmed Salim

Anafanana na baba yake
 
Daaah mwisho wa siku nikajua jina litakuja Mariam matonya au rose kamba ndefu niseme mtoto gani huyo wa mkulima kaula huko duniani daah kumbe Asante kwa kutujuza binamu hamna la ajabu hapo kutokea namtakia Kila la kheri kwenye nafasi mpya alopewa akatuwakilishe vyema watanzania
Kondoka kwenye poverty circle sio swala rahisi kama tunavyoelekezana!
tuanze tu kwa mfano halisi iliyokuwepo:-
  1. Ajuaye ni fundi selemara wa kawaida ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 31 akiwa amebakiza miaka 14 ya kufanya kazi ngumu kwa uwezo wake wa kawaida.
  2. katika umri huu ana mke na mtoto mmoja mwenye mwaka mmoja ambaye alimpata baada ya kuoa akiwa na miaka 29.
  3. baada ya miaka saba mtoto wa kwanza ataanza darasa la kwanza wakati yeye akiwa na miaka 38 akibakiza miaka saba ya kufanya kazi kwa nguvu. lakini ndani ya miaka saba wamezaliwa ndugu wengine wawili na kufanya jumla ya watoto 3
  4. anapomaliza darasa la saba mtoto wa kwanza na baba umri wa kufanya kazi vizuri umekwama atajitahidi angalau avuke kidato cha nne kwa mbinde sasa hapa dogo aombe afauru baba anaweza kujitahidi mpaka kidato cha sita
  5. akianza chuo inabidi dogo sehemu ya boom lake aweke ili amsaidie baba kuwavusha wadogo zake hivyo fikra zake ni jinsi ya kupunguza umaskini kwao kwa shule za madogo wakati huyu wa familia bora pamoja na boom bado baba anamwekea 150,000 kila mwenzi na ikiwezekana mafuta ya gari nje ya shule atafikiria vitu vikubwa vya kufanya wakati huyu anafikiria wadogo zake.
  6. na yeye atachelewa kuoa kwa kuwa kipato kidogo na hana network na connection ya kazi za maana hivyo tunarudi palepale yeye kutegemea kazi na kuomba serikali iongeze mshahara na anakazana watoto wasome hafikiri maisha mengine zaidi ya ajara kwa watoto wake.
kwa mifano michache unaweza kuona japo unatakiwa kufikiri zaidi ya haya hivyo kwa huyu ni haki yake akiwa baba yake alikuwa balozi akiwa na miaka 19 unategemea nini? sisi wengine kama watoto wetu waalimu basi tukitoboa sana wengi tutaishia ukuu wa shule!
 
Ms. Maryam Salim is the new Country Manager of the World Bank for Albania. Ms. Salim has around twenty years of experience in the World Bank, during which she has led a number of Program and Policy reform initiatives.

Prior to this position, Ms. Salim was Advisor in the Office of the Chief Executive Officer and Senior Vice President for Operations. She worked also as Operations Advisor and Program Leader for Investment Project Financing. Ms. Salim joined the Bank as a Young Professional in 1998 and has worked in health and social protection programs in the Africa, Europe and Central Asia, and East Asia and Pacific Regions.

A Tanzanian national, she holds a Masters in International Economics and International Relations from the John Hopkins University, Paul H. Nitze School of Advanced Studies and a Juris Doctor from Georgetown University.
 
Nilipoona jina,nikawaza hizi nafasi upati tu lazima uwe na Elimu iliyonyooka, na familia unayotoka, counts.

Safi sana, huku Mond kwenye muziki! Huku Madame Salim kwenye anga za kimataifa. Bongo juu juu juu zaidi.

Allah akbar
 
Back
Top Bottom