Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashallah mi napenda sana watu wenye akili.
Kwani wewe huwapendi watoto wako sababu tu unao? unaweza kupenda kitu ulichonacho pia, fikiria na upande huo!Ni kweli kila mtu anapenda kitu ambacho hana
Mbona yule binti Msuya aliyechaguliwa wa UNEP hamkusema hivyo? Wacheni ubaguzi.Daaah mwisho wa siku nikajua jina litakuja Mariam matonya au rose kamba ndefu niseme mtoto gani huyo wa mkulima kaula huko duniani daah kumbe Asante kwa kutujuza binamu hamna la ajabu hapo kutokea namtakia Kila la kheri kwenye nafasi mpya alopewa akatuwakilishe vyema watanzania Sisi kina James mbelenyuma bado tuna safari ndefu ndio kwanza tunazisaka connection za kuukwaaa hata nafasi nyeti hapa nchini
Wadau wa JF
Nawasalimu wote kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Benki ya Dunia (World Bank) imefanya uteuzi wa Meneja wake Nchini Cambodia
Aliyeuliwa ni Bi Maryamu Salim ambaye ni Mtanzania mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye sekta ya fedha duniani
Kabla ya uteuzi huo Bi Maryam alihudumu kwenye nafasi hiyo kwa muda wa miaka minne nchini Albania
Mteuliwa huyo ni Binti wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Dkt Salim Ahmed Salim
Wewe hauna akili? Ama unazo ila hazikutoshi ama umeshindwa kujua unatakiwa utumie wapiMashallah mi napenda sana watu wenye akili.
Duh huyo ni binti au maza? si mnaona sura hiyo anaelekea saa 11 kasoro jioni au macho yetu yanaona tofauti wakuu.Ameolewa huyu binti?
Hawa ndio wanawake wa kuoa
Iisemwalo lipi??Kwa mbali anafanana na Bi' Kairuki.. Ama kweli. Lisemwalo lipo
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
tatizo lako ninini? mimi kumuadmire huyo mama?Wewe hauna akili? Ama unazo ila hazikutoshi ama umeshindwa kujua unatakiwa utumie wapi
😀😀! Dah....mmeacha tena wenye makalio akili zimeanza kurudi?Ameolewa huyu binti?
Hawa ndio wanawake wa kuoa
Umesema unapenda watu wenye akili.tatizo lako ninini? mimi kumuadmire huyo mama?
Nilipaswa niseme najipenda pia?Umesema unapenda watu wenye akili.
Huyu tangu amemaliza shule alikuwa akifanya kazi huko huko world bank; ni uteuzi huu hauna uhusiano na utanzania wake, bali unatokana na yeye kuwa mmoja wao. Zamani kidogo kulikuwa Dr Humplick akiongoza kitengo cha barabara cha world bank. Dr Humplick ni binti wa aliyekuwa mwanamuziki zamani sana akijulikana kama Frank na dada zake, jina lake halisi likiwa ni Frank HumplickWadau wa JF
Nawasalimu wote kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Benki ya Dunia (World Bank) imefanya uteuzi wa Meneja wake Nchini Cambodia
Aliyeuliwa ni Bi Maryamu Salim ambaye ni Mtanzania mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye sekta ya fedha duniani
Kabla ya uteuzi huo Bi Maryam alihudumu kwenye nafasi hiyo kwa muda wa miaka minne nchini Albania
Mteuliwa huyo ni Binti wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Dkt Salim Ahmed Salim
Ungejibu unazo ama haunaNilipaswa niseme najipenda pia?
sina.Ungejibu unazo ama hauna
Na hasasina.