binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Umefurahi basi!! 😀Na hasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefurahi basi!! 😀Na hasa
kweli usemalo ndio maana nikisema niliyoyasema. tuzidi kumtanguliza Mungu kuongeza jitihada tunaweza kuwa yoyote mradi Mungu yuppie tumwombee ndugu yetu afanikiwe inawezekana siku moja tukaenda kujifunza kwakweKondoka kwenye poverty circle sio swala rahisi kama tunavyoelekezana!
tuanze tu kwa mfano halisi iliyokuwepo:-
kwa mifano michache unaweza kuona japo unatakiwa kufikiri zaidi ya haya hivyo kwa huyu ni haki yake akiwa baba yake alikuwa balozi akiwa na miaka 19 unategemea nini? sisi wengine kama watoto wetu waalimu basi tukitoboa sana wengi tutaishia ukuu wa shule!
- Ajuaye ni fundi selemara wa kawaida ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 31 akiwa amebakiza miaka 14 ya kufanya kazi ngumu kwa uwezo wake wa kawaida.
- katika umri huu ana mke na mtoto mmoja mwenye mwaka mmoja ambaye alimpata baada ya kuoa akiwa na miaka 29.
- baada ya miaka saba mtoto wa kwanza ataanza darasa la kwanza wakati yeye akiwa na miaka 38 akibakiza miaka saba ya kufanya kazi kwa nguvu. lakini ndani ya miaka saba wamezaliwa ndugu wengine wawili na kufanya jumla ya watoto 3
- anapomaliza darasa la saba mtoto wa kwanza na baba umri wa kufanya kazi vizuri umekwama atajitahidi angalau avuke kidato cha nne kwa mbinde sasa hapa dogo aombe afauru baba anaweza kujitahidi mpaka kidato cha sita
- akianza chuo inabidi dogo sehemu ya boom lake aweke ili amsaidie baba kuwavusha wadogo zake hivyo fikra zake ni jinsi ya kupunguza umaskini kwao kwa shule za madogo wakati huyu wa familia bora pamoja na boom bado baba anamwekea 150,000 kila mwenzi na ikiwezekana mafuta ya gari nje ya shule atafikiria vitu vikubwa vya kufanya wakati huyu anafikiria wadogo zake.
- na yeye atachelewa kuoa kwa kuwa kipato kidogo na hana network na connection ya kazi za maana hivyo tunarudi palepale yeye kutegemea kazi na kuomba serikali iongeze mshahara na anakazana watoto wasome hafikiri maisha mengine zaidi ya ajara kwa watoto wake.
Hapana nimesikitika hauna hata ya kuvukia barabaraUmefurahi basi!! [emoji3]
Like father like sonWadau wa JF
Nawasalimu wote kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Benki ya Dunia (World Bank) imefanya uteuzi wa Meneja wake Nchini Cambodia
Aliyeuliwa ni Bi Maryamu Salim ambaye ni Mtanzania mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye sekta ya fedha duniani
Kabla ya uteuzi huo Bi Maryam alihudumu kwenye nafasi hiyo kwa muda wa miaka minne nchini Albania
Mteuliwa huyo ni Binti wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Dkt Salim Ahmed Salim
Japo unabisha lakini akili zimehusikaje hapo?Nilipaswa niseme najipenda pia?
haujaona zimehusikaje? pole.Japo unabisha lakini akili zimehusikaje hapo?
Kama inakupa faraja kuamini hivyo... well and good.Hapana nimesikitika hauna hata ya kuvukia barabara
Goli la nje..ndugu hao!Kwa mbali anafanana na Bi' Kairuki.. Ama kweli. Lisemwalo lipo
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Hainipi faraja bali nasikitikaKama inakupa faraja kuamini hivyo... well and good.
Mpk tuwaelewa si leo mkuuGoli la nje..ndugu hao!
Yule"cheupe" yupo kwenye kitengo pia kama mama yake...
umeniwahiKwa mbali anafanana na Bi' Kairuki.. Ama kweli. Lisemwalo lipo
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Frank wa lushoto naelewa sana tungo zake, alikuwa kichwa sanaHuyu tangu amemaliza shule alikuwa akifanya kazi huko huko world bank; ni uteuzi huu hauna uhusiano na utanzania wake, bali unatokana na yeye kuwa mmoja wao. Zamani kidogo kulikuwa Dr Humplick akiongoza kitengo cha barabara cha world bank. Dr Humplick ni binti wa aliyekuwa mwanamuziki zamani sana akijulikana kama Frank na dada zake, jina lake halisi likiwa ni Frank Humplick
Ina maana Madam SSH wakati anateua waziri wa fedha hakumwona huyu Maryam Salim au Madam hana CV zake?
Kuna Watanzania ni vichwa kweli kweli na wanatumiwa sana na taasisi za Kimataifa lakini sisi hapa nyumbani tunawapuuzia.
Unajua umri wangu?Duh huyo ni binti au maza? si mnaona sura hiyo anaelekea saa 11 kasoro jioni au macho yetu yanaona tofauti wakuu.
Makalio mchepuko.😀😀! Dah....mmeacha tena wenye makalio akili zimeanza kurudi?
Maji hufuata mkondo.Hongera zake.Wadau wa JF
Nawasalimu wote kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Benki ya Dunia (World Bank) imefanya uteuzi wa Meneja wake Nchini Cambodia
Aliyeuliwa ni Bi Maryamu Salim ambaye ni Mtanzania mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye sekta ya fedha duniani
Kabla ya uteuzi huo Bi Maryam alihudumu kwenye nafasi hiyo kwa muda wa miaka minne nchini Albania
Mteuliwa huyo ni Binti wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Dkt Salim Ahmed Salim
Wadau wa JF
Nawasalimu wote kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Benki ya Dunia (World Bank) imefanya uteuzi wa Meneja wake Nchini Cambodia
Aliyeuliwa ni Bi Maryamu Salim ambaye ni Mtanzania mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye sekta ya fedha duniani
Kabla ya uteuzi huo Bi Maryam alihudumu kwenye nafasi hiyo kwa muda wa miaka minne nchini Albania
Mteuliwa huyo ni Binti wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Dkt Salim Ahmed Salim
Yesu akukemeeMakalio mchepuko.
Wa ndani you need somebody with brains.
😆😆😆Akashaghulikie na pensheni ya Meja Jen. Mstaafu Rodric Magawa[emoji3][emoji3][emoji3]