and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Hao mabonge tunawaita 'lijishangazi'Huyu anaonekana ni mshangazi mjanja mjanja sio wale mabonge bonge big mamaz.
Halali yangu.
Mambo yako haya lucha nilitaka nikuite nikasema utakuja tuMshangazi mambo?
Asa anamind kitu ganiMshangazi kujiita tu hilo jina tayari ni tangazo toshaπ€£
We naniii usiwaelekeze bhana kufunga pmJifunze kuweka kufuli, humu kuna ID huzioni zikicomment, ila zinarandaranda PM tu. Utatongozwa na mtu mmoja mwenye ID zake 10. Mambo ni mengi humu, kama unga wa ngano.
Ngoja tuning'inie nae humo pm, mpaka aite maji mmaπAsa anamind kitu gani
Basi me niwe yusuphAah kwa Yusuph sipindui ukiniona km kuku mwnye mdondo π€£π€£π€£
Yupo ndio maana naringaBasi me niwe yusuph
Sasa unamringia yusuph na wewe tenaaaaYupo ndio maana naringa
ojaSafi sana shem wake
Nawaringia nyie wana wa Adamuπ πSasa unamringia yusuph na wewe tenaaaa
Mshangazi ndo kama hivi tunampa kampani asijione mpwekePamoja shem, tuendelee kumkaribisha mshangazi
oja
Kwa motooooπ π π kumeanza kuchangamka
Mimi kama mtaalamu wa miandiko Kuna kitu nataka ku observe uzi wake kaandika kwa sauti ya kiume nasubiri replies ili ni confirm kama ni kweli au laaMambo yako haya lucha nilitaka nikuite nikasema utakuja tu
πππ24/7 onlineKama Kuna id ya kike ya zamani haiko active kwa muda mrefu jueni imekuja kwa style hii..
Sijui kwanini huwa napenda mwanamke anae ringa πNawaringia nyie wana wa Adamuπ π
Okay okayNawaringia nyie wana wa Adamuπ π
Wa hivi huwa hawa-reply utasubiri sanaMimi kama mtaalamu wa miandiko Kuna kitu nataka ku observe uzi wake kaandika kwa sauti ya kiume nasubiri replies ili ni confirm kama ni kweli au laa
Oyaa umesoma comment ya TAI DUME? πππSijui kwanini huwa napenda mwanamke anae ringa π