Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mashangazi 😄Mshangazi ndo kama hivi tunampa kampani asijione mpweke
Kwanini? Wenzio hawatupendi kuna mmoja alinipaka maringo mengi na bikira ndo sina😅😅😅jibu analo lakiniSijui kwanini huwa napenda mwanamke anae ringa 😅
Ila JF vivulana vinatongoza sana PM.😂Ni kama miezi 3 kwenye social networks nyingine.
Ila JF vivulana vinatongoza sana PM.
Ni kama vimetumwa kunijaribu.
Mazuri hayana mambo mengi ni nyie tu na viuno vyenuIla mashangazi 😄
OyaWeka bei tuko njee ya mda
Kuna fujo +vurugu saivi balaaaVurugu zimeanza
😁😁nahisi tu nawamudu 🤣🤣🤣🤣🤣Kwanini? Wenzio hawatupendi kuna mmoja alinipaka maringo mengi na bikira ndo sina😅😅😅jibu analo lakini
Acha Uongo. Hakuna watu wastaarabu Duniani kama wanafamilia wa hapa. Umeamua kutudhalilisha, Haya weka screenshots tuone
Likurumbembe.Hao mabonge tunawaita 'lijishangazi'
Anatongoza na moja, anapiga sound yupo vizuri hela si tatizo....anapiga u turn na id nyingine anakuja kukuomba hela 😹😹😹Jifunze kuweka kufuli, humu kuna ID huzioni zikicomment, ila zinarandaranda PM tu. Utatongozwa na mtu mmoja mwenye ID zake 10. Mambo ni mengi humu, kama unga wa ngano.
Mimi ingependeza kama tungeanzahili battle pamoja au unasemaje😄Mazuri hayana mambo mengi ni nyie tu na viuno vyenu
Utakuwa mvumilivu sana kwenye vitu vingi kimaisha😁😁nahisi tu nawamudu 🤣🤣🤣🤣🤣
Alaf hata hatongozwi kaamua kuanzisha huu uzi ili kualika kutongozwa afatwe Pm angekua kweli anatongozwa na hapendi angefunga pmWa hivi huwa hawa-reply utasubiri sana
MnaleaAnatongoza na moja, anapiga sound yupo vizuri hela si tatizo....anapiga u turn na id nyingine anakuja kukuomba hela 😹😹😹