Masaa 72 Yanga waliowapa TPLB yamekwisha, Sasa tukutane CAS

Masaa 72 Yanga waliowapa TPLB yamekwisha, Sasa tukutane CAS

Yaan mkae Kikao Mtandaoni kisha mpewe point 3 na gharama za maandalizi?

Afu kesho mkapeleka Basi Mo simba Arena na wachezaji sijui likiwa tupu?
 
Utopolo hamna akili kweli.

Kwanza mkienda huko CAS mtakutana na mafaili kibao ya wachezaji wanaidai yanga.

Mechi itarudiwa na mtacheza tu .

point za Bure hamna subiri tarehe ipangwe uje kwa Mkapa uvuje jasho la damu dkk 90 utafute point 3 za halali.
 
Tukumbuke tarehe March 10, 2025.
Yanga waliandika barua Kwa bodi ya ligi kudai haki Yao ya magoli 3 pamoja na points 3 na fidia ya Tshs million 56,435,000 baada ya uvunjifu wa mchezo ambao ulikuwa ufanyike tarehe 8 March

Simba waliwashinikiza bodi ya ligi katika hali isiyo ya kawaida bodi ya ligi Kwa kuongozwa na hisia na bila ya kufuata kanuni wanavunja mchezo

Bodi ya ligi walijulishwa wao wakachagua kukaa kimya bila kujibu madai ya young Africans

Sasa baada ya saa 72 kutamatika shauri linaenda kwenye mahakama ya usulihisi wa michezo kimataifa CAS

Hapa hata bodi ya ligi walipanga tarehe mpya ya mchezo hakuna kitakachoendelea Kwa kuwa shauri litakuwa CAS

Kila la heri Young Africans
Yanga bingwa
yule manara mshenzi sana maneno yake ni kama yalitulaani
 
Patrick apigwe marufuku kuandika barua kwenda CAS, atawaangusha utopolo kama alivyowaangusha Kesi za kina Morison na hivi Karibuni Kagoma!

Suluhisho ni kumuomba ama JK au Sande Manara ndo Waandike barua CAS, maana peke yao ndo Wamebakiwa na AKILI
 
Hichi kitimu chenye kuwakilishwa na rangi ya mavi mavi,njano mavi ya mwanadamu na kijani mavi ya ndege..wanamambo ya mavi mavi kama rangi zao..takataka mavi kunuka
 
Tulieni na ninyi simlisha kimbiaga daby? Sasa kelele za nini? Simba siwame lipizatu kuweka mizani sawa mtani?
 
Tukumbuke tarehe March 10, 2025.
Yanga waliandika barua Kwa bodi ya ligi kudai haki Yao ya magoli 3 pamoja na points 3 na fidia ya Tshs million 56,435,000 baada ya uvunjifu wa mchezo ambao ulikuwa ufanyike tarehe 8 March

Simba waliwashinikiza bodi ya ligi katika hali isiyo ya kawaida bodi ya ligi Kwa kuongozwa na hisia na bila ya kufuata kanuni wanavunja mchezo

Bodi ya ligi walijulishwa wao wakachagua kukaa kimya bila kujibu madai ya young Africans

Sasa baada ya saa 72 kutamatika shauri linaenda kwenye mahakama ya usulihisi wa michezo kimataifa CAS

Hapa hata bodi ya ligi walipanga tarehe mpya ya mchezo hakuna kitakachoendelea Kwa kuwa shauri litakuwa CAS

Kila la heri Young Africans
Yanga bingwa
Mtakutana mnywe uji wa mapande.
 
Back
Top Bottom