Masaa 72 Yanga waliowapa TPLB yamekwisha, Sasa tukutane CAS

Masaa 72 Yanga waliowapa TPLB yamekwisha, Sasa tukutane CAS

2706714C-4572-49F9-8E52-22826EDC2B8C.jpeg
 
Unategemea mbumbumbu watajibu vipi hoja nzito
Wewe na yanga ninyi nyote ni wajinga wa kanuni. Kwanza yanga haijawahi kushinda kesi yoyote ya caf.

Kasome kanuni ya 34(1.3) inahusu kuahirisha mechi na sababu zinazoweza kufanya kuwe kikao cha dharula na / au kuahirisha mchezo. Simba wanayo sababu ya uvunjifu wa kanuni ya 17(45) na inakubalika kwamba kweli imekiukwa na kuifanya kanuni ya 31 kupata nguvu. Na hapo ndipo kanuni ya 34 inapotumiwa vizuri na bodi ya ligi kukaa kwa dharula. We kuilaza soma uelewe.
 
Patrick apigwe marufuku kuandika barua kwenda CAS, atawaangusha utopolo kama alivyowaangusha Kesi za kina Morison na hivi Karibuni Kagoma!

Suluhisho ni kumuomba ama JK au Sande Manara ndo Waandike barua CAS, maana peke yao ndo Wamebakiwa na AKILI
Patrick simon mwenyewe alishaongea ktk crip yake kuwa simba wana haki ila alisema kwake haikuwa busara kususia. Patrick hawezi kukubali kwenda cas labda awepo mwanasheria mwingine.
 
Tukumbuke tarehe March 10, 2025.
Yanga waliandika barua Kwa bodi ya ligi kudai haki Yao ya magoli 3 pamoja na points 3 na fidia ya Tshs million 56,435,000 baada ya uvunjifu wa mchezo ambao ulikuwa ufanyike tarehe 8 March

Simba waliwashinikiza bodi ya ligi katika hali isiyo ya kawaida bodi ya ligi Kwa kuongozwa na hisia na bila ya kufuata kanuni wanavunja mchezo

Bodi ya ligi walijulishwa wao wakachagua kukaa kimya bila kujibu madai ya young Africans

Sasa baada ya saa 72 kutamatika shauri linaenda kwenye mahakama ya usulihisi wa michezo kimataifa CAS

Hapa hata bodi ya ligi walipanga tarehe mpya ya mchezo hakuna kitakachoendelea Kwa kuwa shauri litakuwa CAS

Kila la heri Young Africans
Yanga bingwa
Leo ndipo nimeamini kauli ya Manara kwamba utopoloni wenye akili ni wawili tu.

Yaani kabisa na wewe umekaa na halmashauri ya kichwa Chako ukaja na hili andiko? Yanga aende CAS kufanya nini? Yanga hii yenye wanasheria mazuzu ishinde kesi huko CAS? Labda !
 
Mkuu Ngara unaona kwenye andiko lako watu wanakuita.
Mjinga.
Utopolo Pro Max.
Utopwinyo nk

Jitafakari Mkuu
Ni utamaduni wetu kukataa ukweli , huko CAS ndiko iliko haki yetu , kitaeleweka tu. Derby yetu imeisha
 
Tukumbuke tarehe March 10, 2025.
Yanga waliandika barua Kwa bodi ya ligi kudai haki Yao ya magoli 3 pamoja na points 3 na fidia ya Tshs million 56,435,000 baada ya uvunjifu wa mchezo ambao ulikuwa ufanyike tarehe 8 March

Simba waliwashinikiza bodi ya ligi katika hali isiyo ya kawaida bodi ya ligi Kwa kuongozwa na hisia na bila ya kufuata kanuni wanavunja mchezo

Bodi ya ligi walijulishwa wao wakachagua kukaa kimya bila kujibu madai ya young Africans

Sasa baada ya saa 72 kutamatika shauri linaenda kwenye mahakama ya usulihisi wa michezo kimataifa CAS

Hapa hata bodi ya ligi walipanga tarehe mpya ya mchezo hakuna kitakachoendelea Kwa kuwa shauri litakuwa CAS

Kila la heri Young Africans
Yanga bingwa
Hakuna mwanasheria wa yanga aliyeshindwa shauri CAS.Usipoteze muda
 
Maamuzi ya Cas yakiwa upande wa Yanga Mjue Yanga Mmekwisha.

Bodi ya Ligi itatungA kanuni ngumu hasa kwa wale wapenda kuruka ukuta na kuvunja mageti.
Na Mtasahau kuifunga Simba kila derby refa atakuwa yule wa Namungo v Simba
 
Back
Top Bottom