Masaa 72 Yanga waliowapa TPLB yamekwisha, Sasa tukutane CAS

Yaan mkae Kikao Mtandaoni kisha mpewe point 3 na gharama za maandalizi?

Afu kesho mkapeleka Basi Mo simba Arena na wachezaji sijui likiwa tupu?
 
Utopolo hamna akili kweli.

Kwanza mkienda huko CAS mtakutana na mafaili kibao ya wachezaji wanaidai yanga.

Mechi itarudiwa na mtacheza tu .

point za Bure hamna subiri tarehe ipangwe uje kwa Mkapa uvuje jasho la damu dkk 90 utafute point 3 za halali.
 
yule manara mshenzi sana maneno yake ni kama yalitulaani
 
Patrick apigwe marufuku kuandika barua kwenda CAS, atawaangusha utopolo kama alivyowaangusha Kesi za kina Morison na hivi Karibuni Kagoma!

Suluhisho ni kumuomba ama JK au Sande Manara ndo Waandike barua CAS, maana peke yao ndo Wamebakiwa na AKILI
 
Hichi kitimu chenye kuwakilishwa na rangi ya mavi mavi,njano mavi ya mwanadamu na kijani mavi ya ndege..wanamambo ya mavi mavi kama rangi zao..takataka mavi kunuka
 
Tulieni na ninyi simlisha kimbiaga daby? Sasa kelele za nini? Simba siwame lipizatu kuweka mizani sawa mtani?
 
Mtakutana mnywe uji wa mapande.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…