Huyu dogo kadhalilisha utumishi wake, kadhalilisha utumishi wa umma, idara ya Usalama kama kweli ni TISS, yapaswa achukuliwe achukuliwe hatua Kwa KUKIUKA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA, KULEWA, UHUNI NA KUPIGANA HADHARANI,KUFANYA JARIBIO LA KUUA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upumbasvvu,🥱🥱Wamiliki wengi wa silaha sahvi ni wpmbv na wjng na hawana uzoefu,mbinu za kuitumia
Naongea hivi maana nna ushahidi
Kabisa kwa nlichowahi kukiona
Ova
Labda ilijam si wanasemaga zinajam zinakataa kutoa risasiNadhan bastola Haina risas maana naona alo koki akapiga akakutana na msunyo wa bunduki kua Haina risas ,inaonyesha alidhamiria Leo iwe mazishi ,,
Failed state inakuja pale mpuuzi mmoja akifanya madudu na haki wa kumfanya lolote.Kauli ya kipumbavu sana hii
kwahiyo mtu mmoja mpuuzi akifanya madudu basi nchi nzima inakua failed state? Seriously?
Uko sahihi.La cosa Nostra ilianzaga hivi hivi yaani MAFIA,,,,,na haya ndio maendeleo.....
Kama mtu unaonewa na hakuna vyombo vya kukupa haki KUNA MBADALA(LA COSA NOSTRA)👍
Typical banana republic!Ishaisha hiyooo
Ova
Dah nomaKashakata pesa huyo wenyewe mawinga wa mahakamani huwa wanafurahi kweli kesi za wenye pesa hizi
Desemba sasa hiiHii kesi iliishia wapi?
Tunasubiri November 20 kama walivyosema atakuwa produced mahakamani tena.
Julian ameshalipwa out of court…Desemba sasa hii
OkayJulian ameshalipwa out of court…
Kuna tarehe ya mchongo imewekwa tena, Ila yeye na mkewe wamemwaga pesa so itaisha kimchezo tu…Okay
Ila Derick hakuna hatua zozote za kinidhamu alizochukuliwa?
Vitu kama hivi nilitegemea kwenye hii kesi.Kuna tarehe ya mchongo imewekwa tena, Ila yeye na mkewe wamemwaga pesa so itaisha kimchezo tu…
Aisee,zama za unanijua Mimi ni nani?zimerudi kwa Kasi.
Na hiyo night club mtu anaingia vipi na chuma