DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ilipovujishwa hii video ya tukio na hiyo club, ikavujishwa pia video ya boss akiwa na manzi wake. Sijui ilikuwa ni bahati mbaya au walipanga baada ya kuona wamerelease video kwa raia. Kwenye video inaonesha wapelelezi wakizipitia video zinazochukuliwa na CCTV za pale na hiyo moja ndiyo imemrecord boss wa pale.
 
Hii kesi ndio imemalizwa tayari kwa maelekezo kutoka juu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…