Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Askari ameambiwa hana mamlaka, akajibu kwa kufyatua risasi hewani! Kisha akaanza kumsukuma Adam provocatively, ili Adam naye ajibu uchokozi huo kwa kurusha ngumi. Na kumbe Adam ana hekima, kwamba kama jibu la "huna mamlaka" ni kufatuliwa risasi hewani, basi akirusha ngumi atafyatuliwa ya kichwani! Huyu siyo polisi, ni bangi tupu!

Lakini hawa walionywa, kwamba haya mnayoshabikia au kunyamazia wanapofanyiwa wengine, kuna siku yatawarudia na hakuna atakayewatetea. Sijui kama wenzao waliomo mjengoni wanajifunza kitu hapa!
Angelia video vizur
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Wanabodi.
Askari yule katika tukio la Adam Malima afutwe kazi kwa utovu wa nidham alioufanya, ametia dosari jeshi letu pendwa hivyo aubebe mzigo wake.[/QUOTE

Adam ndionan na amefanya nn.Weka story sawa tukuelewe
 
Mkuu kwani unafikiri hilo hawalijui wanajua sana, lengo kuu la mleta mada ni kutaka kujenga hoja ya kuanza kulahumu jeshi la Polisi na Uongozi uliopo madarakani - wako hell bent kutaka ku-incite watu wachukie Jeshi la Polisi - ni wazushi kama nini, eti "risasi zililindima" ukimuuliza risasi ngapi zilivyatuliwa kwenye tukio - hana jibu!! Je, Askari kama hasingefyatua risasi hewani unafikiri aliyekuwa anatuhumiwa kwa wizi raia wengemfanya nini, angeuwawa saa hizi mitandao ya jamii ingejaa lawama za kudai kwamba askari wetu ni wazembe sana badala ya kumuokoa mtuhumiwa, wao wanakaa kando wakishuhudia Mtanzania mwenzao anauwawa kikatiri na wananchi - vigeugeu tu kila kitu wanakileta hapa for political reasons.
Mkuu na wewe una mkanda na bendera???
 
Watanzania wametufanya wajinga kwa kivuli cha Amani haiwezekani Mkuu wa mkoa na wilaya na wabunge na mawaziri sifa iwe kusoma na kuandika alafu heti kuna uhakiki wa vyeti upumbavu amabao hauwezi kutokea Nchi ambazo watu wanajitambua DC na RC sifa iwe kujua kusoma na kuandika
 
Huyu afande hayupo sawa na hawa ndo vijana wa Mwigulu Nchemba kama yeye ana uwezo wa kutumia silaha aende Ikwiriri akapambane na MAJAMBAZI Zama hizi za IT huwez fanya ujinga kiasi hiki,Polisi huyo anapoteza KAZI,just wait.
Kumbe vijana wa Sirro ndo washamba wa SILAHA
 
Mimi sio mwalimu wa kiswahili najua umeelewa nilichokusudia kusema.

Hayo ya l na r achia walioko shule
Inawezekana hujui kama tunaandaa model ya kukagua matumizi sahihi sahihi ya lugha yetu adhimu, nyie msiojua lugha hii itabidi mtuonyeshe makaburi ya babu wa babu wa babu zenu. Huenda mkawa na lugha nyingine ya asili.
 


Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.

Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.

Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.

Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.

Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.



Polisi anasema "kaapa" akitaka serikali iheshimiwe. Kikubwa cha kushangaza sana hiyo ndio manner serikali imewafundisha wafanye kazi?

Very unprofessional! Hii ni sehemu tu ya umbumbumbu na ukilaza wetu. Kuwa polisi na crown ya Jamhuri haina maana ufanye kazi ya polisi unprofessional na kubwata hovyo utadhanu mbwa anabweka.

We need to go back on the drawing board.
 


Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.

Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.

Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.

Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.

Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.

Hamna Aliye juu ya sheria. Period. Awe mtoto wa kigogo au wa Mlala Hoi!
 
Mkuu kwani unafikiri hilo hawalijui wanajua sana, lengo kuu la mleta mada ni kutaka kujenga hoja ya kuanza kulahumu jeshi la Polisi na Uongozi uliopo madarakani - wako hell bent kutaka ku-incite watu wachukie Jeshi la Polisi - ni wazushi kama nini, eti "risasi zililindima" ukimuuliza risasi ngapi zilivyatuliwa kwenye tukio - hana jibu!! Je, Askari kama hasingefyatua risasi hewani unafikiri aliyekuwa anatuhumiwa kwa wizi raia wengemfanya nini, angeuwawa saa hizi mitandao ya jamii ingejaa lawama za kudai kwamba askari wetu ni wazembe sana badala ya kumuokoa mtuhumiwa, wao wanakaa kando wakishuhudia Mtanzania mwenzao anauwawa kikatiri na wananchi - vigeugeu tu kila kitu wanakileta hapa for political reasons.
Mmmmmh lakini mbona kama sijamuona aliyekuwa akituhumiwa mwizi, au ni Malima? Halafu huyo dogo polisi naona kama dhamira yake ilikuwa ni kumtishia Malima na wala hata siyo umati wa watu.
 
Kwa kweli sijaona ulazima wa huyo askari kutumia bunduki katika hilo tukio, ni ushamba na ubabe ulipitiliza, IGP amuwajibishe mara moja, kama wanaweza kudhalilisha watu waliowahi kuwa viongozi katika hii nchi itakuaje kwa sisi raia wa kawaida!
Kua kiongozi sio tija ni vizuri wakati sheria zilizo wekwa ukikosea kua na lugha nzuri.. Sio unaaanza unajua mi nani??? Wadhifa wako ni ofisini kwako watu wanachoaangalia umefanya kosa wakuadhibu..
 
Back
Top Bottom