Entrepreneurial
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 201
- 134
Askari yupo sahihi kufyatua risasi hewani ila hayo maneno yaliyokuwa yanamtoka mdomoni ndo yameondoa dhana yote ya kufyatua hewani....
Utafyatuaje risasi hewani kwa mazingira haya yaliyojitokeza?? kwani walikuwa watu wangapi hapo waliokusanyika na kusababisha amani ya aina yoyote ile kuvunjika??? Hii nchi tuna watu wa ajabu kweli kweli... Kuna hatua za kufuata hata kama raia anakuwa mbishi... Hizi kazi za kutumikia nchi inataka uvumilivu wa hali ya juu... nani anawalazimisha kuvichagua kama hamwezi??