mzalendo.com
JF-Expert Member
- Aug 2, 2015
- 427
- 301
Angelia video vizurAskari ameambiwa hana mamlaka, akajibu kwa kufyatua risasi hewani! Kisha akaanza kumsukuma Adam provocatively, ili Adam naye ajibu uchokozi huo kwa kurusha ngumi. Na kumbe Adam ana hekima, kwamba kama jibu la "huna mamlaka" ni kufatuliwa risasi hewani, basi akirusha ngumi atafyatuliwa ya kichwani! Huyu siyo polisi, ni bangi tupu!
Lakini hawa walionywa, kwamba haya mnayoshabikia au kunyamazia wanapofanyiwa wengine, kuna siku yatawarudia na hakuna atakayewatetea. Sijui kama wenzao waliomo mjengoni wanajifunza kitu hapa!
Wanabodi.
Askari yule katika tukio la Adam Malima afutwe kazi kwa utovu wa nidham alioufanya, ametia dosari jeshi letu pendwa hivyo aubebe mzigo wake.[/QUOTE
Adam ndionan na amefanya nn.Weka story sawa tukuelewe
Mkuu na wewe una mkanda na bendera???Mkuu kwani unafikiri hilo hawalijui wanajua sana, lengo kuu la mleta mada ni kutaka kujenga hoja ya kuanza kulahumu jeshi la Polisi na Uongozi uliopo madarakani - wako hell bent kutaka ku-incite watu wachukie Jeshi la Polisi - ni wazushi kama nini, eti "risasi zililindima" ukimuuliza risasi ngapi zilivyatuliwa kwenye tukio - hana jibu!! Je, Askari kama hasingefyatua risasi hewani unafikiri aliyekuwa anatuhumiwa kwa wizi raia wengemfanya nini, angeuwawa saa hizi mitandao ya jamii ingejaa lawama za kudai kwamba askari wetu ni wazembe sana badala ya kumuokoa mtuhumiwa, wao wanakaa kando wakishuhudia Mtanzania mwenzao anauwawa kikatiri na wananchi - vigeugeu tu kila kitu wanakileta hapa for political reasons.
Una evidence??Ccp ni chuo kinachoongoza kutoa mabashite.
Kighoma Malima kwani yuko hai?
Inawezekana hujui kama tunaandaa model ya kukagua matumizi sahihi sahihi ya lugha yetu adhimu, nyie msiojua lugha hii itabidi mtuonyeshe makaburi ya babu wa babu wa babu zenu. Huenda mkawa na lugha nyingine ya asili.Mimi sio mwalimu wa kiswahili najua umeelewa nilichokusudia kusema.
Hayo ya l na r achia walioko shule
Mkuu vipi tena"Jeshi letu pendwa"
Huyo AFANDE,angalia VIDEO,Una evidence??
mtu anasale za jeshi la polisi na bunduki tena mchana bado unatafuta kitambulisho.Duuu...kuna siku watakuja kum Nape mtu kima sihara sihara tu
afu kwanini wawe wakali wanapodaiwa kitambulisho..??
Kwanini aliyeenda kumkamata asifuate utaratibu.
Hata majambazi nao huwa wanakuja hivyohivyo.
Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.
Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.
Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.
Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.
Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.
Hamna Aliye juu ya sheria. Period. Awe mtoto wa kigogo au wa Mlala Hoi!Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.
Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.
Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.
Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.
Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.
Mmmmmh lakini mbona kama sijamuona aliyekuwa akituhumiwa mwizi, au ni Malima? Halafu huyo dogo polisi naona kama dhamira yake ilikuwa ni kumtishia Malima na wala hata siyo umati wa watu.Mkuu kwani unafikiri hilo hawalijui wanajua sana, lengo kuu la mleta mada ni kutaka kujenga hoja ya kuanza kulahumu jeshi la Polisi na Uongozi uliopo madarakani - wako hell bent kutaka ku-incite watu wachukie Jeshi la Polisi - ni wazushi kama nini, eti "risasi zililindima" ukimuuliza risasi ngapi zilivyatuliwa kwenye tukio - hana jibu!! Je, Askari kama hasingefyatua risasi hewani unafikiri aliyekuwa anatuhumiwa kwa wizi raia wengemfanya nini, angeuwawa saa hizi mitandao ya jamii ingejaa lawama za kudai kwamba askari wetu ni wazembe sana badala ya kumuokoa mtuhumiwa, wao wanakaa kando wakishuhudia Mtanzania mwenzao anauwawa kikatiri na wananchi - vigeugeu tu kila kitu wanakileta hapa for political reasons.
Kua kiongozi sio tija ni vizuri wakati sheria zilizo wekwa ukikosea kua na lugha nzuri.. Sio unaaanza unajua mi nani??? Wadhifa wako ni ofisini kwako watu wanachoaangalia umefanya kosa wakuadhibu..Kwa kweli sijaona ulazima wa huyo askari kutumia bunduki katika hilo tukio, ni ushamba na ubabe ulipitiliza, IGP amuwajibishe mara moja, kama wanaweza kudhalilisha watu waliowahi kuwa viongozi katika hii nchi itakuaje kwa sisi raia wa kawaida!
Basi ilitakiwa kutia sheria bila shurutimtu anasale za jeshi la polisi na bunduki tena mchana bado unatafuta kitambulisho.