Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,403
- 4,373
Hata kama akafahamika ametenda kosa gani?Kwa hiyo video tu unataka undani gani hapo, sitashangaa nikisikia unashangilia baadae wakisema huyo polisi hafahamiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama akafahamika ametenda kosa gani?Kwa hiyo video tu unataka undani gani hapo, sitashangaa nikisikia unashangilia baadae wakisema huyo polisi hafahamiki
Nimeshangazwa, askari wa ajabu kweli huyo!Kwa hiyo askari akizomewa anajibu kwa risasi Tz???
Kula kiapo ndio kula nini? Hebu dadavua hicho alichokula malima na cha huyo askari tulinganishe.Inashangaza sana askari junior kama huyu kufanya mambo ya ajabu yale...kwanza anasema ameapa hivi yeye na Malima nani hasa kala kiapo??? Na viapo vingapi hasa??? Kingine kuna haja gani kutumia risasi kama huna tishio la maisha?? Huku ukisisitiza serikali haiheshimiwi??? Hivi kweli yule askari ana mafunzo sahihi??? Naamini kuna haja ya kuweka sheria na mafunzo mapya na kuondoa kabisa mlolongo wa kikoloni ndani ya majeshi...hakuna alie salama huo ni ukweli.
Uko sahihi kwa 100%!huyo polisi atakuwa hana vyeti
Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.
Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.
Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.
Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.
Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.
Kama huoni kosa hapo nashauri jamii forum waanzishe clinic ya watu kupimwa maana wengine wangetakiwa kuwa hospitaliHata kama akafahamika ametenda kosa gani?
Kwa maelezo haya, polisi hajafanya kosa kabisa kufyatua risasi hewani.
Kwa sababu, naona maelezo hapo yanasema wananchi walikuwa Karibu kujichukulia sheria mikononi.
Hivyo, polisi kuokoa maisha ya aliyedhaniwa ni jambazi ili asitolewe roho.
Au mi nimeelewa tofauti!?
Hata wewe hujakatazwa kuwa polisi na hata ningekua polisi bado raia hawezi kunipangia namna ya kufanya kaziMbona povu linakutoka kwani ulilazimishwa kuwa polisi