Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu



Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.

Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.

Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.

Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.

Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.

Nahao watu waliotaka kumpiga Huyo jembe kumsingizia jambazi hamjaona kuwa hawana sheria mlishasema wamemzunguuka hatimae kigetokea nini si kumpiga mwisho mauti huyo polisi yupo sawasawa mnaposikia jambo msijitie kimbelembele engemtwanga mmoja ya makalio ingekua fundiaho kwa wengine kukimbilia umbea
 
Askari anapotakiwa kuonyesha kitambulisho ni wajibu wake aonyeshe. Mavazi na virungu sio vielelezo kamili. Wanatakiwa wavivae kama wanafunzi wa jangwani au zanaki.
 
MANENO YA MH TUNDU LISSU BUNGENI uYAMETIMIA.LEO KWETU UPINZANI KESHO KWENU CCM TUANZE NA NAPE SASA ADAM

Swissme
 
Hawa polisi tabia zao za ajabu sana ndio maana wananchi wanasherekea wanapokuwa wameuwawa........Hawana nidhamu kabisa
 
Wanabodi.
Askari yule katika tukio la Adam Malima afutwe kazi kwa utovu wa nidham alioufanya, ametia dosari jeshi letu pendwa hivyo aubebe mzigo wake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Afutwe kazi wewe ndo unaagiza afutwe kazi au unamaanisha nini kasema afutwe kazi?

Mkiona mambo ya wenzenu mnasimamia kucha ila mkitajwa vyeti feki mnataka huruma ya serikali.

Hata wewe leo ukiwa polisi na raia akakujibu pumba unaweza kupanic kama yule polisi, watanzania wanasema wao ni ueledi wa kila nyanja basi nendeni mkawe polisi ili mtuoneshe huo ueledi wenu
 
Kinachoniuma kwann Askari yule akumpiga hata ya mguu... Au angemfumua tu tumbo huyo Adam malima... Naona stress za awamu ya tano zinamchanganya...
 
Nahao watu waliotaka kumpiga Huyo jembe kumsingizia jambazi hamjaona kuwa hawana sheria mlishasema wamemzunguuka hatimae kigetokea nini si kumpiga mwisho mauti huyo polisi yupo sawasawa mnaposikia jambo msijitie kimbelembele engemtwanga mmoja ya makalio ingekua fundiaho kwa wengine kukimbilia umbea
hayuko sawa bana, hajarusha risasi kumlinda huyo majembe, amerusha risasi baada ya kukasirika eti haheshimiwi.
 
Soon utasikia polisi aliyemfanyia Malima fujo kapandishwa cheo.


Hii nchi we acha tu!
 
Mmmmmh lakini mbona kama sijamuona aliyekuwa akituhumiwa mwizi, au ni Malima? Halafu huyo dogo polisi naona kama dhamira yake ilikuwa ni kumtishia Malima na wala hata siyo umati wa watu.

Sina la kukujibu maana naona unarudi kule kule, ningesema Posili ni wabaya sana, sijui Serikali nii.. saa hizi ningepewa 'like' lukuki - kisa? Nimesema mnacho taka kusikia namely getting even with the current Admninistration, kwani hatuwajui? Ukweli hamtaki kuhusikia because it doesn't serve any useful purpose 4 your hidden POLITICAL agenda, mnacho sahau ni kwamba mbinu zenu za kutaka ku-incite wananchi zikifikia super saturated na nyinyi hamtabaki salama msije mkajidanganya hapa.
 
kosa la hao askari ni lipi mi naona walikuwa wanatekeleza wajibu wao yeye akaingilia kati kutaka wao waachane na dereva tena wangemkamata kabisa
 
Huyo askari mbona anapaniki kijinga hicho, hivi akikutana na jamaa wa kibiti atahimili kweli?
 
Back
Top Bottom