Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

kama waliovamia clouds walichekewa, waliomtishia nape walichekewa , huyu askari sio wa kumlaumu sana. ameshajua status quo inataka nini.
 
Kula kiapo ndio kula nini? Hebu dadavua hicho alichokula malima na cha huyo askari tulinganishe.
 
Hii si ishara nzuri kwa nchi hata kidogo tunafika mahali tunakuwa sugu!nimesikia raia wanasema huna mamlaka!Askari anapiga risasi juu wanamuangalia utadhani ni manati au toy...hapa sasa siyo pazuri.
 
Duuu!! Ndo matatizo ya undugunazation ktk serikal etu
 
Watu hamjifunzi, huyo dogo ana lalamika kwa sauti mbona hamheshimu serikali, akijua kabisa Magu akisikia hii issue atamtafuta. Hadi askari wanajua kuwa ukiitetea serikali hata kwa kuipaka matope unaonekana shujaa.

ofcoz dogo ameonyesha upumbavu wa hali ya juu na usio vumilika. mwenzake alikua smart sana.

Tusubiri Magu kuongelea hili jambo, najua akiona hii video atatoa machozi, tuombe asiseme ningekuepo ningempiga kamoja ...
 
Mmh aisee, malima kwa nini hafuati maagizo ya polisi, ingekuwa wa upinzani tungesikia mengine
 
Sasa hii ni full video au umeunganisha unganisha clips?
 

Katika uelewa wako na macho yako yameonaje hiyo video hapo, pale nani alisogea au uliona nani anataka kupiga Nani, ili useme alikuwa anatawanya watu waliotaka kujichukulia hatuwa mkononi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…