Tenaa kwa mujibu ya ile video kafyatua risasi zaidi ya mojaa sasa nikwamba alikuwa anapambana na mwenye silahaaa mwnzake au mizukaa. Wakapimwe jaman ndo hawa wanaojiuagaa wakiwa lindo. Kwa mwenye akilii kiukweli hakukuwa na hajaa ya kumwaga njugu zote zileeUnaelewa Principles Na Maadili Ya Matumizi Ya Silaha? Hata Kama Malima Alidharau, Yule Polisi Kakosea, Hakukuwa Na Ulazima Wa Kufyatua Risasi, Vp Madhara Kwa Wananchi?
Buku 7 itatosha?Ndio maana nimesema nimemkubali sana yule polisi aliyefyatua hakika ana uchungu na watu wenye dharau dadadeki.Kijana kunywa bili niletee sitaki ujinga mimi
Yuko very deep na taifa lake.Big up askariUlimskia jamaa anasema "nimeapa Mimi huu mkanda una bendera, nimeapa" hivi alikuwa ana maanisha nini hasa!?
I personally don't find the logic out of that furious utterances
Nimemkubali sana yule polisi natamani Magu amupandishe cheo ili watu waache ujinga wa kulewa madaraka.pumbafu
Yuko very deep na taifa lake.Big up askari
Wakati wowote anapohitaji kufanya hivyo kwa lengo la kulinda usalama kwa kadri ya ujuzi aliofundishwa.Wameshaona muongozo,aliyemtolea Nape silaha kapeta!Wamesoma game,huyu akipeta basi tutegemee matukio mengi tu ya askari kutumia silaha zao hata pale pasipotakiwa kufanya hivyo!
Swali la msingi;Ni wakati gani au mazingira gani askari anapaswa kupiga risasi hewani???
Pamoja na hayo yote hakukua na sababu ya kupiga risasi hewani kabisa kabisa
Kumbe polisi akijibiwa nyodo inatakiwa afyatue risasi??sijawahi kulijua hiliNimeangalia vizuri, polisi amefyatua risasi
Ukweli usipingika ni kwamba huyo jamaa amewajibu nyodo kwa kua baba yake alikua mtu mkubwa kwenye system, kumbuka inauma sana mtu kukufanyia dharau uwapo katika eneo lako la kazi, mambo haya haya ndiyo yalipelekea Ditopile akampiga mtu risasi kisa anajua yeye ni mtu kutoka kwenye system na wengine anawaona kama vikaragosi, na watu wengi tumekua tukiwadharau polisi kwa kua vipato vyetu vinatupa kiburi.
Tusiegemee upande mmoja wa polisi, tujiulize chanzo cha polisi kukasirika ni nini? Kama yale majibizano yao tungeyasikia yote basi tungejua yule jamaa kamjibu nini polisi mpaka polisi kuchukia kiasi kile.
Hata wewe ungekua KK security ukijibiwa nyodo hata geti utagoma kufungua
Kama hujaelewa hadi na Video basi nna shaka na uhalali wa vyeti vyako
Ndiyo fashion siku hizi.Mbona haya matukio yanazidi kila kukicha?
Hujui kitu usifikiri hiyo silaha amebeba kama manati ya ndege. Huyu ana busara sana kupiga juu kutawanya watu. Malima kama wazirj mstaafu alitakiwa kuwa na busara kuliko kubeza Askari yeye akipata shida anakimbilia kuomba msaada huko huko PolisiUnaelewa Principles Na Maadili Ya Matumizi Ya Silaha? Hata Kama Malima Alidharau, Yule Polisi Kakosea, Hakukuwa Na Ulazima Wa Kufyatua Risasi, Vp Madhara Kwa Wananchi?