Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila bangi au kiroba utafyatua risasi kirahisi vile. Nini ungepata baada ya kufyatua risasi? Tumia busara bana hatuwezi kujenga Tanzania ya viwanda na wahuni kama nyieAaah mkuu bangi inaingiaje hapo? Kuwa na heshima. Sio unaingiza na vitu ambavyo havipo.
Bila bangi au kiroba utafyatua risasi kirahisi vile. Nini ungepata baada ya kufyatua risasi? Tumia busara bana hatuwezi kujenga Tanzania ya viwanda na wahuni kama nyie
very true.. mambo ya jazba ame over reactMalima na mwanae wana makosa.sheria na utaratibu lazima ufuatwe.lakini pia sikuona sababu ya askari kupiga risasi
Unaelewa mini kuhusu police na serikaliKila Police ni serikali?mmh only in tz
Kama unaongelea viongozi wanaotumia vibaya madaraka yao.Viongozi wengi wanayatumia madaraka yao Kama tiketi yakuwa juu ya sheria.
Chumbuni!Habari jeneloo!!!!!
Huyo jamaa ndo wale wale bendera fuata upepo, hajui polisi ni serikali? Mtu ana nembo ya taifa mabegani bado hajui tu?Unaelewa mini kuhusu police na serikali
We kama nani umuombe maeleze Mhe Waziri?Mwingulu Nchemba Tunaomba maelezo
Swissme