Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Askari nao wana yao kama ilivyo kwetu sisi, then I would think kila party ishughulikie hizi tabia mbaya tulizojizoeza ili wote tuongozwe na sheria...Vinginevyo tutashindwa kuitunza amani ya nchi yetu
 
Askari nao wana yao kama ilivyo kwetu sisi, then I would think kila party ishughulikie hizi tabia mbaya tulizojizoeza ili wote tuongozwe na sheria...Vinginevyo tutashindwa kuitunza amani ya nchi yetu
point.. kila mtu ajielewe.. wakubwa wajue kuwa muda wa kuwa above the law umekwisha... na polisi nao watumie busara na heskima na utawala wa haki
 
Kwahiyo mtu akikuuliza mkuu wa masafara yuko wapi ni dharau? Hivi nyie ni nani aliewashikia akili zenu? Au ndio jinsi mlivyozaliwa?
Polisi anapiga risasi hewani halafu unasema eti alidharauliwa.
 
Halafu binafsi nachukia sana Askari Polisi kunyoa viduku kama rais kichaa wa North Korea!!! Ndevu hawafugi ila viduku shida sana (wanaonekana bangi bangi tu)
 
We kama nani umuombe maeleze Mhe Waziri?

IMG_1091.JPG
 
Kama kuna jambo baya duniani kwa kiumbe chochote kile chenye uhai, basi ni dharau.
Nimejaribu kufuatilia issue ya Malima kwa ukaribu...
Ukweli ni kwamba, kuna chembe chembe za kupimana ribs na kuoneshana dharau kati ya raia, waziri, mwanae na waziri dhidi ya Polisi...
Hata kama wewe una haki, kuna namna ya kuzungumza, the issue was already viral.... kumbuka issue ya kumuita "Mwizi alie kwenye gari"
Then Malima anaingilia katikati ya maongezi kati ya polisi na mtuhumiwa (Mwanae)

Mwananchi anadakia polisi akijibizana na Malima "Huna mamlaka wewe, huna mamlaka huyu waziri huyu, ana ulinzi"
Then Polisi anafyatua risasi hewani, Malima anasema " Kiongozi wa msafara wenu yuko wapi " aje hapa....

Hivi wananchi wanadhani hilo walilobeba polisi ni toy au?

Perception ya Dharau inaaniza kwa kijana, kisha baba anaingilia' yet, polisi anaonekana kama third class tu wakati wa mazungumzo, na wananchi wanashadadia....

Nakumbuka kimbembe cha waziri aliewahi ingia kwenye ATM posta bila kupita kwenye foleni....

Viongozi wetu tunawapenda, sheria mmetunga wenyewe, zikiwarudia mnaona mnaonewa... this is hugely unacceptable.....

Yani kwa dharau za kijinga namna ile ningekuwa mimi nisingevumilia hata kidogo.


Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.... The policeman was provoked to the first degree....
Duh! Ina maana ungelitofoa lile tumbo!
 
Kama kulikuwa na makosa yamefanywa,taratibu zipo za kumtia nguvuni.
Kitendo cha askari kupandisha jazba kama ni ishu binafsi vile yani kama vile amechukuliwa mkewe ni cha kipuuzi kwa kiwango cha juu mno.
Jeshi la polisi lina watu wengi sana wa namna hii,hawa wanaitia aibu nchi yetu maana video hizi zinasambaa sehemu nyingi sana.
Ifike hatua sasa wahuni hawa waondolewe ili kuweka ubora na kuongeza ufanisi wa jeshi.

Matendo mengi ya kijinga kama haya ndiyo yanayopelekea raia kuzidi kulidharau jeshi na kuzidisha chuki kati yetu.
 
Ulitaka Polisi apigwe makofi ushangilie kwan kupiga risasi juu kumeleta madhara gani mpaka useme hana cheti!!!? SHUBAAAAMIT
Huyo polisi hakutishiwa na silaha yeyote iliyopelekea had yy kutumia nguvu kubwa kiasi hicho kwa maana alikua ameshapanda gari anaondoka then alivyosikia kelele za kuzomea akapanik kitu ambacho ukiwa na silaha hata kisu, kupanic ni mwiko unaweza sababisha madhara makubwa. Kwa sisi tuliopitia jkt tunajua mshindo wa bunduki hasa inaposhikiliwa na mkono mmoja tena risasi mfululizo katka mazingira kama yale kuna ghorofa na watu wengi, inaweza bunduki kupoteza uelekeo na kuleta maafa.
 
Ha ha ha Malima teyari ananyea debe...... Kesho mahakamani .....
 
Kwahiyo mtu akikuuliza mkuu wa masafara yuko wapi ni dharau? Hivi nyie ni nani aliewashikia akili zenu? Au ndio jinsi mlivyozaliwa?
Polisi anapiga risasi hewani halafu unasema eti alidharauliwa.
hakukuwa na msafara kaka.. polisi wameitwa na Majembe ili gari litolewe... wamekuja polisi wa2...anaulizia mkuu wa msafara kuonesha kuwa hawezi kuwasilikiliza hao madogo ila boss wao..... nisingepiga juu.. u know wat I mean
 
Tatizo polisi wetu wanapenda kuabudiwa sana....

Yaani polisi anapenda ukimuona ujione kama Mbwa mbele ya Chatu....

Polisi wetu nilishaacha kuwaamini, kama ninatatizo nitaripoti kwa mjibu wa sheria kwa kumbukumbu za baadae mahamani..!
 
Busara na ukomavu wa akili wa Adam Malima katika hiyo video unaonyesha jinsi baadhi ya watanzania ambao wanaifahamu sheria na haki zao za msingi.

Ni jambo la msingi sana mtu kufahamu sheria na haki yako maana hizo ndizo huwapandisha mizuka askari wajinga kama huyo askari kijana.

Ndiyo maana askari mwenzie ambae amekwishatambua kuwa mwenzake amevunja sheria anaonekana anajaribu kumtuliza mwenzie baada ya kuharibu.

Huyu askari ni lazima awajibishwe na jeshi la polisi litoe tamko la kuomba radhi kwa kitendo cha askari wake kukiuka misingi na moka aya kazi yake na pia kwa matumizi mabaya ya silaha.
 
Kama kulikuwa na makosa yamefanywa,taratibu zipo za kumtia nguvuni.
Kitendo cha askari kupandisha jazba kama ni ishu binafsi vile yani kama vile amechukuliwa mkewe ni cha kipuuzi kwa kiwango cha juu mno.
Jeshi la polisi lina watu wengi sana wa namna hii,hawa wanaitia aibu nchi yetu maana video hizi zinasambaa sehemu nyingi sana.
Ifike hatua sasa wahuni hawa waondolewe ili kuweka ubora na kuongeza ufanisi wa jeshi.

Matendo mengi ya kijinga kama haya ndiyo yanayopelekea raia kuzidi kulidharau jeshi na kuzidisha chuki kati yetu.
sawa ila usihukumu upande mmoja... hakuna calculations za hasira/jazba iwe kazini ama kwa mkeo. Besides risk za ujinga kama wa unayemtetea ni kwamba polisi angeweza kuwa mjinga zaidi akampa za bandama akaenda jela tungepoteza nguvu kazi.... Pande zote 2 zimekosea...to my little understanding
 
hakukuwa na msafara kaka.. polisi wameitwa na Majembe ili gari litolewe... wamekuja polisi wa2...anaulizia mkuu wa msafara kuonesha kuwa hawezi kuwasilikiliza hao madogo ila boss wao..... nisingepiga juu.. u know wat I mean

Lazima kuwe na mkuu wa msafara,unadhani hao polisi wanatembea kama kuku? Kwanza uyo Malima kamheshimu sana. Mimi ningemnasa makofi.
 
Back
Top Bottom