Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Sawa kama walikosea,kwanini wasifuate taratibu halali za kuwakamata?
lazima utenganishe kati ya kazi na ishu binafsi hivyo basi ukifuata taratibu huwezi kupandwa na jazba kiasi kile.
Jeshi linataratibu zake,ni zile?

Kwanini kama alikuwa sahihi mwenzake amtulize?
Aliona nini?
Aliyepiga risasi aliangalia wapi anapiga au alikuwa tu anapiga juu?
Hivi kila sehemu hapa nchini,juu ndiyo sehemu salama zaidi?
Polisi ali over react yes
Mwenzake alimtuliza kwakuwa machine yake ya hasira ilikuwa down at that time.. kawa na busara kuliko mwingine
Aliyepiga risasi alipanda hasira za kimorani ahahahahahah ready to kill simba....lol
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Viongozi wetu wapate busara waone lipo jambo lakufanyia kazi kuhusu polisi na wananchi.

Utengano unaoendelea si dalili nzuri.

Sisi watanzania tumezoea kujadiliana. Tunaulizana, tunaeleweshana, mambo yanakuwa sawa.

Polisi waongee kwa werevu na raia. Na raia waelewe na kutii.....si ndiyo askari wetu tunaotaka watulinde?

Ipo fahari gani wewe askari usijinyeyekeze kwa jamii yako....watu wako? Nini sasa maana ya kuwa shujaa kwa jamii yako?

Viongozi waone haya mapema. Wote tunashuhudia utengano unaoendelea kati ya polisi na jamii.

Mzaha mzaha........
 
Polisi ali over react yes
Mwenzake alimtuliza kwakuwa machine yake ya hasira ilikuwa down at that time.. kawa na busara kuliko mwingine
Aliyepiga risasi alipanda hasira za kimorani ahahahahahah ready to kill simba....lol
Naona umeingiza mizaha sio professionalism
 
True. Kama wangekuwa peke yao sehemu iliyojificha au usiku mkali, yule kijana angeweza kabisa kumtandika Adam risasi ya kichwani. IGP anapaswa kumtafuta yule kijana. Ila kwa maajabu ya Tanzania, usishangae kuambiwa ''huyu mtu tunamtafuta na sio askari police''
Bora hiyo, kesho huyu mtu anakuwa promoted. Utaona.
 




Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.

Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.

Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.

Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.

Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.

Adam Kighoma Malima akuwa mbunge wa jimbo la Mkuranga na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, enzi za Kikwete. Anatokea katika chama cha CCM.

Hii ni hatari
 
Malima amechanganyikiwa kukosa ubunge.
Askari akikupa amri lazima utii tu hata kama una haki zote.
Ingekuwa mie ni yule askari nisingepiga juu kuharibu kuharibu mazingira tu,ningempa Malima risasi kama tano za kwenye vidole vya miguu akajifunze utii bila ya shuruti
 
Malima amechanganyikiwa kukosa ubunge.
Askari akikupa amri lazima utii tu hata kama una haki zote.
Ingekuwa mie ni yule askari nisingepiga juu kuharibu mazingira tu,ningempa Malima risasi kama tano za kwenye vidole vya miguu akajifunze utii bila ya shuruti
 
Polisi ali over react yes
Mwenzake alimtuliza kwakuwa machine yake ya hasira ilikuwa down at that time.. kawa na busara kuliko mwingine
Aliyepiga risasi alipanda hasira za kimorani ahahahahahah ready to kill simba....lol
Sasa si angemjaza tu risasi kwanini alikuwa anaongea tu?
We unaona mwisho wa siku nani kachukua credit pale?
Unafoka tu halafu unaondoka?
 
Askari gani emeshika bunduki halafu anataka kulia yeye mwenyewe.?
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Ndo maana tunasema vyeti vikaguliwe kwa askari wote.
Mjinga huyu,hajielewi na kapaniki sijui hajala.

Shit kabisa
 
sijui ni elimu au kuvuta bangi, inamaana hawa askari hawafuatilii hata habari kwnye magazeti na tv kujua huyo raia amewahi kuwa kiongozi tena kiongozi wa kitaifa yaani sio mbunge tu wa jimbo bali pia naibu waziri? hii ni aibu kwa jeshi la polisi la nchi hii.
 
Kama kuna jambo baya duniani kwa kiumbe chochote kile chenye uhai, basi ni dharau.
Nimejaribu kufuatilia issue ya Malima kwa ukaribu...
Ukweli ni kwamba, kuna chembe chembe za kupimana ribs na kuoneshana dharau kati ya raia, waziri, mwanae na waziri dhidi ya Polisi...
Hata kama wewe una haki, kuna namna ya kuzungumza, the issue was already viral.... kumbuka issue ya kumuita "Mwizi alie kwenye gari"
Then Malima anaingilia katikati ya maongezi kati ya polisi na mtuhumiwa (Mwanae)

Mwananchi anadakia polisi akijibizana na Malima "Huna mamlaka wewe, huna mamlaka huyu waziri huyu, ana ulinzi"
Then Polisi anafyatua risasi hewani, Malima anasema " Kiongozi wa msafara wenu yuko wapi " aje hapa....

Hivi wananchi wanadhani hilo walilobeba polisi ni toy au?

Perception ya Dharau inaaniza kwa kijana, kisha baba anaingilia' yet, polisi anaonekana kama third class tu wakati wa mazungumzo, na wananchi wanashadadia....

Nakumbuka kimbembe cha waziri aliewahi ingia kwenye ATM posta bila kupita kwenye foleni....

Viongozi wetu tunawapenda, sheria mmetunga wenyewe, zikiwarudia mnaona mnaonewa... this is hugely unacceptable.....

Yani kwa dharau za kijinga namna ile ningekuwa mimi nisingevumilia hata kidogo.


Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.... The policeman was provoked to the first degree....


Polisi kafunzwa pamoja na kuvumilia kauli kama hizo mbaya huku akichukua hatua stahiki. Kama ni hasira au bunduki hata raia wanazo, unataka niambia wachukuwe hatua mkononi pia?
 
Back
Top Bottom