Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetishika sana na hii!Yet, kuna watu wanasifia ujinga huu. Nchi yetu ina shida sana.
Achana na maelezi, je kwa ulichokiona unadhani kulikua na ulazima gani wa kupiga risasi?
[emoji81] [emoji81] [emoji81]Mie ni Mkazi wa Jaribu Mpakani huku Mkuranga, unaweza kurudia kuandika comment yako?
huyu askari zuzu sana yaani kitu cha kutumia busara n akili yeye anafytua risasi.Kwa Matumizi Haya Ya Hovyo Hovyo Ya Silaha
Ni Hatari Sana Kwa Askari Lakini Pia Wananchi Tujitahidi Kujua Nguvu Ya Umma Ni Kubwa Kuliko Silaha.
Utemi Haufai Popote Pale!!!!
Unaandika mambo meengi halafu mashudu tupu. .
Kweni interahamwe walianzishwaje nadhani ni hivihivi.Hiyo clip ikifika Ikulu aliyekua anamzuia mwenzaje ni lazima awajibishwe kwa kitwndo cha yeye kama afisa wa serikali kumpinga afisa mwenzake hadharani badala ya kuonyesha uwajibikaji wa pamoja na Hugo aliyekua amepanic na kupiga risasi hovyo, IGP ataagizwa ampandishe cheo.
Nenda CCP utaoneshwaMawazo ya kipuuuzi nimeanza kufahamu kwa nini raisi anasema sipangiwi ,maana akiwasikiliza ninyi roho zenu zimejaaa chuki na ushabiki usio kua na maana.Unafahamu ni sheria gani inampa mamlaka askari kutumia risasi za moto?? Au unabwabwaja tu.
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Aliye na cheti feki hata umpe mafunzo ya kupika Chai, kesho yake mwambie aipike mwenyewe lazima uone maajabu tu.
Tatizo pia kwani lazima majembe auction mart lazima watembee na askari wenye silaha?! Kama majembe wakihatarishiwa maisha yao si polisi wapo?! Kuna biashara gani kati ya majembe auction mart na polisi?! Kwani majembe auction mart hawawezi tu kupiga faini za EFD mtu akalipe mbele kwa mbele kama trafiki baada ya kuchukuwa picha za gari lilipopakiwa time na siku?! Hapa kuna maswali na majibu mengi ambayo ni rahisi sana, kulikuwa hakuna haja ya kutumia chombo cha moto kipuuzi kama vile, yaani imefika wakati askari anajiona hayuko kamili bila silaha?!Sitagusia sababu za kilicho sababisha gari ya Mtoto wa Malima kukamatwa. Ntajikita kwenye matumizi sahihi ya silaha ya moto.
Mimi ninavyojua mbunge anapigiwa salute akiwa kwenye eneo la jimbo lake tu.K
Kikawaida/kitaratibu/kiitifaki mbunge ni mtu mwenye heshima katika jamii , askari alipaswa kutoa salamu ya saluti , askari wetu hawajui mipaka yao!
Bakari Malima jembe ulaya.Malima yupi huyu anayetetewa humu?