lucas marwa
New Member
- Jun 10, 2012
- 1
- 0
Hao Auction Matt wamefanya hicho kipande cha double tree na kile kipande cha old Bagamoyo road, kuelekea Namanga kuwa sehemu yao ya ulaji, wanaingia hadi sehemu ambazo sio rasmi na wanachukua rushwa sana, ushahidi ninao!!