Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Hao Auction Matt wamefanya hicho kipande cha double tree na kile kipande cha old Bagamoyo road, kuelekea Namanga kuwa sehemu yao ya ulaji, wanaingia hadi sehemu ambazo sio rasmi na wanachukua rushwa sana, ushahidi ninao!!
 
Ko hawa watu wanaona cku hizi Tanzania imekuwa yao mpaka wanataka kila kitu waonekane wao ndo w@0???? Sisi hatjazoea kuishi kwa mitutu ya bunduki.itabidi huyu aliyefyatua risasi juu akapimwe kwanza
 
Kwaiyo ww unataka MTU akivunja sheria achwe sio kila kitu unalaumu askari
Lakini sio afyatue hadharani mbele za watu vile..... Au alitaka kutuonyesha kuwa anahasira sana pale kungekuwa hamna watu. Na yule mzee sio mtu anaejulikana si unge muonja ata nakamoja waje wasingizie ni jambazi
 
Wakuu,Malima pia hakuwa na haja ya kuendeleza majibizano.kwani angetii amri ingemkosesha nini?unabishanaje na askari mwenye bunduki mkononi?tena mpaka kuamua kurusha risasi hewani.japokuwa askari amefanya makosa pia malima hakutumia busara.hakuna anayejua yule askari alikuwa kwenye hali gani kichwani(state of mind).je kama angempiga risasi ingekuwaje?malima angeangalia zaidi kuhusu usalama wake na kama aliona kuna makosa basi angeenda kufungua mashtaka kwenye sehemu husika.yeye(malima)alikuwa anajaribu kuonyesha nguvu aliyonayo kitu ambacho ni kosa.sheria ni lazima zifuatwe bila kujali wewe ni nani
 
Shehena ya masilaha ya kujihami uliyokuwa nayo morogoro ipo wapi Adam? Siyo vizuri kunyanyasika hivi.

Kama askari huyo ataachwa bila kufukuzwa kazi kwa kweli itakuwa aibu kubwa kwa watanzania.kama silaha zinatumiwa vibaya hivyo sijui tunakokwenda.Nachelea kusema huyo askari hakufanyiwa usaili wa kutosha alipokuwa anaajiliwa kazi ili kujua maadilili yake ova.
 
Adam nae anatembeaga na SMG, Bastola na mapete meeengi mengi hadi morogoro anaendaga nayo.
 
Wewe ni msemaji wake ? Tunasubiri tamko la waziri husika kukemea vitendo km hivyo manake vinajirudia!
Hii BONGO ya Tz iko na shida gani bana toto mwaga mboga kaka ipo dada ipo mama ipo yotee kaa tuu eti subiri baba aje aone zeni agombeze ndipo watazoa shiiiiii
 
Nahisi
Ko hawa watu wanaona cku hizi Tanzania imekuwa yao mpaka wanataka kila kitu waonekane wao ndo w@0???? Sisi hatjazoea kuishi kwa mitutu ya bunduki.itabidi huyu aliyefyatua risasi juu akapimwe kwanza
Jamaa aliambiwa kidharau mnamtisha nani na MATOY YENU hayo naye Gwanda akaona isiwe tabu ngoja nikuoneshe hiz ni za ukweli.
 
Aaaaah! huyu hana maadaili alishawahi kuibiwa laptop guest house kule Moro, kwahiyo hapa lazima ameonyesha jeuri ya kutosha kwa askari.
 
Hana kazi kwa lipi kwani kakosea nini hyo smg kamnyooshea mtuu achemi ushabiki bana.. ina maana kwa vile alikuwa waziri ndo avunje sheria??
Uwaziri sio taaluma kama huyo askari alivyo mtaaluma. Kwa hiyo ilibidi afande ajue hilo
 
Back
Top Bottom