Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Tanzagiza tunakoelekea ni wap [emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29]
 
Nimeangalia video kama tatu tofauti juu ya tukio hilo.. Ingawa askari ameonekana kama hajatumia akili bt kwa kiasi fulani alichukizwa na dharau zile.. simtetei kwa kupoteza risasi bali namtetea kwa kuwa mara nyingi viongozi wastaafu huwadharau sana polisi..
 
Na kwa taarifa yako maaskari wanajua kabisa kuwa kuna raia wana silaha na ndio maana hizo SMG zao wanaziweka tayari muda wote.

Hata kwenye tukio hilo la Malima, huyo askari alijua kabisa kutakuwa na kuwaiana na ndio maana akafyatua za kwake ili kujihami na lolote.

Sasa kupiga risasi juu ndio kujiwahi nini? Point kubwa hapa lile kosa si kosa hata la kutumia kirungu achilia mbali risasi.
 
Ni jambo la kushangaza sana kwa pande zote mbili kuzozana hadi risasi kupigwa hewani shida ni nini maana ni swala kufuata utaratibu,kutii sheria na kuelekezana tu tunasoma na kusomesha ili tukaishi vyema na jamii au elimu zetu hazitusaidii????
 
Ni jambo la kushangaza sana kwa pande zote mbili kuzozana hadi risasi kupigwa hewani shida ni nini maana ni swala kufuata utaratibu,kutii sheria na kuelekezana tu tunasoma na kusomesha ili tukaishi vyema na jamii au elimu zetu hazitusaidii????
Dah! Umenifurahisha sana ndg! Kwa hayo mapoint. Unasema!........... Tunasoma na kusomeshanaaa!!!!. Asante!!!!..........
 


Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.

Yalikuwa ni majibizano kati ya PRE SCAN AUCTION MATT waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.

Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.

Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.

Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.

Adam Kighoma Malima alikuwa mbunge wa jimbo la Mkuranga na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, enzi za Kikwete. Anatokea katika chama cha CCM.
 


Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.

Yalikuwa ni majibizano kati ya PRE SCAN AUCTION MATT waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.

Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.

Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.

Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.

Adam Kighoma Malima alikuwa mbunge wa jimbo la Mkuranga na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, aliwahi kuwa pia Naibu Waziri wa Fedha enzi za Kikwete. Anatokea katika chama cha CCM.

====

UPDATES:

Adam Malima afikishwa Mahakamani kwa Kumzuia Askari kufanya kazi yake. Habari zaidi soma=>News Alert: - Adam Malima afikishwa Mahakama ya Kisutu na kusomewa shtaka la 'Kumzuia askari kufanya kazi yake'



Tuna matatizo makubwa sana. Hebu wana sheria fanyeni kazi ya kuusaidia umma kwanza. Halmashauri za majiji, miji na mitaa, ziweke kwanza harama za kueleweka ili wasiwashike madereva kwa makosa ya kutojua wapi hapatakiwi kufanya nini. Pia serikali (TANROAD), ihakikishe kila penye kutakiwa kuwa na harama husika ipo, ni wajibu wao kabla ya kumkamata mharifu kwa kosa ambalo labda hata hajui kama katenda kwa sababu ya kuto kuwepo signs. Hatuwezi kuwa na sheria za kusadikika.
 
Hao Auction Matt wamefanya hicho kipande cha double tree na kile kipande cha old Bagamoyo road, kuelekea Namanga kuwa sehemu yao ya ulaji, wanaingia hadi sehemu ambazo sio rasmi na wanachukua rushwa sana, ushahidi ninao!!
Tupia ushahidi humu tuone
 
Askari wa pili anaonekana kumzuia mwenzake asipige risasi juu.

Kama kweli alikuwa hatarini kwanini mwenzake amzuie na kumsihi aache?

Concentration na macho ya askari wote wawili ilikuwa kwa mtuhumiwa.

Hivyo ni wazi hapakuwepo na hatari yeyote kwa askari hao na kwa ushahidi mwingine yule askari aliwasogelea wale wananchi huku akiongea mbona hakuogopa kuwasogelea wale watu waliokuwa wengi kiasi kile.

*Malima ana makosa pia alipoambiwa mzee ondoka Mara mbili alibakia bado huku akilalamika kwa tendo hilo lazima askari wangekasirika ,Malima pia analo la kujibu.



55135007dcee16dfa8c003b5192fed58.jpg
 
Tuna matatizo makubwa sana. Hebu wana sheria fanyeni kazi ya kuusaidia umma kwanza. Halmashauri za majiji, miji na mitaa, ziweke kwanza harama za kueleweka ili wasiwashike madereva kwa makosa ya kutojua wapi hapatakiwi kufanya nini. Pia serikali (TANROAD), ihakikishe kila penye kutakiwa kuwa na harama husika ipo, ni wajibu wao kabla ya kumkamata mharifu kwa kosa ambalo labda hata hajui kama katenda kwa sababu ya kuto kuwepo signs. Hatuwezi kuwa na sheria za kusadikika.
harama ndio kitu gani?
 
Kwahyo ww ulitakaje?
Hebu jivishe uhusika wa askari halafu Malima kapaki gari wrong packing wanashuka watu unaowasindikiza kwaajili ya kazi hyo ya kukamata wanaoegesha magari ovyo anawaita kuwa ni majambazi mpaka watu wanajaa kwaajili ya kuwadhuru.. Je ungefanyeje?
Acheni ishabiki
868803f0be597e253cdd025118aa0cb9.jpg
 
Kwahyo ww ulitakaje?
Hebu jivishe uhusika wa askari halafu Malima kapaki gari wrong packing wanashuka watu unaowasindikiza kwaajili ya kazi hyo ya kukamata wanaoegesha magari ovyo anawaita kuwa ni majambazi mpaka watu wanajaa kwaajili ya kuwadhuru.. Je ungefanyeje?
Acheni ishabiki
868803f0be597e253cdd025118aa0cb9.jpg
Hapo lile tukio limeangukia kwny kifungu gani..?
 
Back
Top Bottom