Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Ninyi waswahili ndo mnaziona za thamani sana.Hiyo nguo sheria haimuhusu? Au ni ruhusa kuvaa ukiwa nje ya nchi.
Mungu ni mwema sana kwakweli nimefurahi kuona wakitabasamu Mungu aendelee kuwapigania
Watoto, Mungu kawaokoa na Uzuri Wao umeongezeka.
Mungu azidi kuwapigania na kuwashindia.
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu jamaa hata mimi nataka kumuundia tumeHuyu Masanja huyu, Nitajaribu kumdadisi ni nani hapa Nchini. Watu wazima mtakuwa mmelewa.
Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
Mkuu nimekuelewaAcheni ujinga, madaktari ndio wanawapigania mpaka wamepona hivyo
Sheria za tz hazi apply huko. Bila berret, mkanda, namba(kitambulisho) na filimbi, hilo ni vazi la kawaida tuu. Kwanza nchi za wenzetu huwa hawa mind vitu vidogo namna hiyo. Kuna nchi raia anaweza kuvaa jezi ya jeshi la nchi hiyo na akakatiza katikati ya kambi ya jeshi. Ilimradi tuu isiwe full. Pia hatakama ipo full lakini ina fananafanana tuu, hakuna shida. Wenyewe wanaona ni kama uzalendo fulani na mapenzi kwa jeshi lao. Nimeyaona hayo katika nchi 3 miongoni mwa nchi kadhaa nilizowahi kufika.Hiyo nguo sheria haimuhusu? Au ni ruhusa kuvaa ukiwa nje ya nchi.
Haikubaliki huku ubashiteni lkn kwa waliostaarabika hakuna ttzHiyo nguo sheria haimuhusu? Au ni ruhusa kuvaa ukiwa nje ya nchi.
Mbona kama sijakuelewa! Unakataa sio Mungu alio waponya?Acheni ujinga, madaktari ndio wanawapigania mpaka wamepona hivyo
Akitua tu JIA ni kupimwa mkojo na kuunganishwa na yule jamaa.Hiyo nguo sheria haimuhusu? Au ni ruhusa kuvaa ukiwa nje ya nchi.